M.njee

19.7K posts

M.njee banner
M.njee

M.njee

@Njee__

Baba Madeline

Tanzania Katılım Temmuz 2016
6.1K Takip Edilen7.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
M.njee
M.njee@Njee__·
Watu Dhaifu Mara Nyingi huona Udhaifu wa Wengine kwenye kila jambo Na sio yale Mazuri (Bora) Yaliyo Fanywa na watu Wengine..
Filipino
23
59
146
5K
M.njee
M.njee@Njee__·
@_kingOFstreet Kiberege Morogoro Ifakala oya acha wanalima kama matrekta
Indonesia
1
0
1
103
M.B.G
M.B.G@_kingOFstreet·
Bila shaka wengi wetu humu hatujaonja mateso ya Jela kiukweli huko sio pakwenda kama kuna namna yeyote kwepa usiende leo nakuletea Magereza matano ya moto sana yaani bora uwe unayasikia tu.....UZI 👇
M.B.G tweet media
Filipino
59
26
419
67.5K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Ile nafasi ya Kai Havertz nimemkumbuka mtu mmoja tu katika soka Duniani . The man himself : CRISTIANO RONALDO mamiyake. Atapiga utosi pale sio wa nchi hii.! Halafu anapiga nastiest SIUUUUUU
Filipino
85
101
1.5K
34.9K
Oladoja
Oladoja@_onlyscott·
Guess the player? 👀 Very Hard
Oladoja tweet media
English
10.1K
577
11K
1.6M
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Wakati tunakaa Simike na maza bana siku nyingi tulikua tunapiga Deshi(hatuli) afu maza anasema tupige goti tuombe na tukitoka tuSmile kama ndani tumekula. Niliapa siku nikipata chochote kitu Mimi nitakula NYAMA kila siku. Yaani imagine kula nyama tu kwangu ilikua inamaanisha KUTOBOA🤣🫵🏾
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Filipino
27
19
225
10.8K
M.njee
M.njee@Njee__·
@gabyconscious Kula nyama kaka haya mambo sio kila mtu anaeza elewa unacho sema
Filipino
0
0
0
25
M.njee
M.njee@Njee__·
@iamFallacy Mchopanga aliumiza sana humo ndani aisee
Filipino
1
0
0
339
♟️
♟️@iamFallacy·
Mpaka leo hakuna ngoma ya Hip Hop kali kuzidi KIMYA KIMYA. Sio Hip Hop tu ni top 3 ya ngoma kubwa na generational kwenye tasnia hapa bongo
Indonesia
26
21
243
7.2K
M.njee
M.njee@Njee__·
@iamFallacy Niko na wewe Juma ni mnyama sana sana
Indonesia
0
0
0
149
M.njee retweetledi
♟️
♟️@iamFallacy·
Jay Moe, The best Rapper and/or Emcee in Tanzania to ever grace the game. Prof ni mbuzi ila my fav hapo ni Mchopanga
English
26
25
215
10K
M.njee
M.njee@Njee__·
@PresenterNoah Mimi ningekua tajiri na bahati nzuri wote wapo na mikataba mizuri ningefumba macho wasingetoka Mana walicho fanya ni upuuzi nisingefanya biashara na mtu
Indonesia
0
0
0
20
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Enhe wanangu wa chelsea tumemsikia Enzo Fernandez na Cucurella, vipi misimamo yenu iko vipi juu ya interviews zao?!
Presenter Noah tweet media
Indonesia
50
6
165
7.2K
M.njee
M.njee@Njee__·
@Lizzie36021 Moja kati ya binadamu waongo kwa hii dunia ya Mungu
Indonesia
0
0
0
27
chuga girl❣️
chuga girl❣️@Lizzie36021·
Mnatumia nini mpka mnakua wazuri ivi jmn hamna ata vitambi au Mimi nakula sana???🥹
Indonesia
48
7
140
10.9K
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Pale kijijini kuna siku mchumba wa kaka alistukiza kuja nyumbani Tulikua Tunakula Dona na Maji ya magadi baba alivyomuona akazuga ananawa mikono kwenye bakuli ya mboga zake.
Filipino
20
37
329
23.2K
M.njee
M.njee@Njee__·
@Adv_innocent We jamaa jau daah mbona unapasema kwetu kaka
Indonesia
1
0
2
1.1K
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
MAN CITY hajapiga shoot hata offtarget , gabriel saliba ni hatari -kipindi cha pili tunamaliza game.....
Adv.Innocent⚖️ tweet media
Filipino
263
72
444
40.3K
M.njee
M.njee@Njee__·
@chapo255 Moo ni fala akiwa anaongelea simba Ila huku kwingine yule jamaa ana ubongo haswa
Filipino
0
0
0
34
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Ukipata nafasi cheki Mkasi with MO Dewji
Indonesia
16
20
374
17K
M.njee
M.njee@Njee__·
@chapo255 game over mwenye uwanja wake kaingia 😀
Filipino
0
0
1
54
M.njee
M.njee@Njee__·
Aisee
Eesti
0
0
2
72
M.njee
M.njee@Njee__·
@DullahTheking2 Kimya kimya ni habari ingine aisee kwanza ile beat aisee
हिन्दी
0
0
0
18
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
A or B A👉🏽MIKASI🎶 ~Ngwair B👉🏽KIMYA KIMYA🎶~ Jay Mo
Filipino
67
26
180
8.1K
Eric Does
Eric Does@ErickKamihanda·
@Njee__ Mzee wa komesho amewakilishwa na mwanake hapo hujamuona🤠
Filipino
1
0
2
253
Eric Does
Eric Does@ErickKamihanda·
Tanzania Hip hop Royalty: The Greatest MCs & Rappers in Bongo History 1. Mr.II (Sugu) 2.Professor Jay 3.Solo Thang 4.Afande Sele 5.Fid Q 6.Ngwair 7.Mwana FA 8.Joh makini 9.Chid benz 10.Jay mo
English
44
11
112
20.2K