YULE BOY

8.9K posts

YULE BOY banner
YULE BOY

YULE BOY

@OMsodoki

father, farmer, carbontanzania, simba &chelsea

Tanzania Katılım Mart 2020
1.1K Takip Edilen1.7K Takipçiler
NOED.
NOED.@Noedson_tz·
Wakali wa mambo mnisaidie hapa... Wapi napata water pump za Boss kubwa na ndogo na bei zake kama itapendeza.
Filipino
4
13
33
1.9K
Zagy G ✨
Zagy G ✨@ZagyGirl·
Wale wa Leverkusen WIN Zidisheni maombi Wanapigiwa mpira hadi sio poa 😂
Zagy G ✨ tweet media
Indonesia
10
3
111
5K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Kwenye kubeti tuonane msimu ujao IPHONE 11 PRO GB 64 FEC ID ✅ BH 98 BEI 350 0627464863
Real Nigger tweet mediaReal Nigger tweet media
Indonesia
6
13
52
6K
YULE BOY
YULE BOY@OMsodoki·
Bora uwe na wezi na matapeli kila kona kuliko kuna na watu kama kina anko t na mashoga wengine kwenye jamii, wezi saiv wapo na unawajua uliwahi kuwapinga? Wananchi watajua namna ya kukwepana na wezi ila watoto wadogo wanaotizama tv na social media wanaona mashoga wanapewa airtime
M.D (🅨)@ReganTesla_

Kaka! Mimi nakuelewa sana na wala point yangu haijakaa namna mnavyoitafsiri.. Kwanza kabisa ni ajabu mnafananisha Betting na Ushoga ambao ni laana tena laana ya kuogopwa. Mimi ninavyojua suala la Kamari ni mfumo ambao umetengenezwa kumuangamiza asie nacho kwa kumbebesha matumaini. Kamari kwa uhalisia ni mchezo ambao Maskini anatakiwa akae nao mbali sana sababu uhalisia ni kuwa yeye ndio mtaji. Mtu ambae ana uwezo kama wewe kamari haitakuharibia kitu sababu kwanza unaifanya kama kazi lakini umeinvest. Maskini wengi tunacheza either tupate ya kula au tupate tulichopoteza jambo ambalo probability ni ndogo sana kwake kuwin. Jambo lingine ni kuwa kwenye kamari kikubwa anachopoteza mtu sio pesa bali uwezo wake wa kufikiri pamoja na muda mwingi ambao kimsingi ukienda umeenda. Imagine mtu anaelala na mawazo ya kuwa Millionaire kwa sababu tu amewekeza 1,000 au 10,000. Hivi ni kweli maisha ni rahisi kiasi hicho? HAPANA. Kamari yenyewe imeshakwambia cheza na tumia kiasi ambacho upo tayari kukipoteza lakini wengi wanacheza wanaachwa na maumivu makali. Mwisho mtu anaingia kwenye addiction ya kucheza kwa kila cent yake anayoipata akiamini tu kuna siku atapata. Je! Atapata lini? Kwa uhakika kiasi gani? Tuache tu kujiangalia sisi lakini pia tuangalie vizazi vyetu. Leo hii imagine watoto wako wanakua huku wakiamini watapata mafanikio kupitia kamari, Maana yake hawatajituma wala kuumiza kichwa kwa ajili ya maisha yao sababu tayari wameshaona kuna sehemu ya kupata kwa wepesi jambo ambalo sio kweli. Mimi simzuii mtu kubet na wala sisemi kwa ubaya ila naona kabisa kwa sababu ya mindset za wengi baadae itasumbua sana. Tutakuwa na wezi na matapeli kila kona na wataumiza yoyote.

Tanzania 🇹🇿 Filipino
1
1
2
132
YULE BOY
YULE BOY@OMsodoki·
Na dili za ubalozi.
Tanzania 🇹🇿
0
0
0
23
YULE BOY retweetledi
Suppressed Voices
Suppressed Voices@supressedvoic·
Tel Aviv looks just like Gaza Allah is the best of planners indeed!
English
95
1.9K
18.3K
170.9K
YULE BOY retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
“Mwamuzi atakayeharibu huo mchezo, sio tu kwamba ataondoka kwenye mpira maisha, tutamfungulia na mashtaka ili tumfunge, hatutakuwa na masihara, hilo mimi nalizungumza wazi kwasababu sehemu kubwa wanaotuletea matatizo ni wao.” - Rais wa TFF, Wallace Karia.
Filipino
76
97
932
39.4K
YULE BOY
YULE BOY@OMsodoki·
@Consolataally 😂😂😂😂 gari unayo we endelea kuomba hayo maombi yakijibiwa tutafanya sherehe
Filipino
0
0
0
17
Charity
Charity@Consolataally·
Mbona tunaomba sisi wanajibiwa wengine?? Zamu yetu itafika lini??
Indonesia
29
39
331
9.3K
YULE BOY
YULE BOY@OMsodoki·
@Consolataally Hayo maombi unayoomba ujibiwe na mungu (trump afanye yake sio)😂
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
0
0
20
Shakur Faith
Shakur Faith@shaks_prince·
Kama upo Chuga hebu tuongee uchukue hii iPhone 17 Pro. BURE, SIUZI. Binafsi sijawahi kuzielewa kabisa hizi simu. Boss hapa dukani kwenye viatu ametupatia zawadi ya mwaka mpya. Ila siwezi kuacha Samsung yangu ili nitumie hii. Nimegoma kabisa😅.
Shakur Faith tweet mediaShakur Faith tweet media
Indonesia
121
64
428
38.3K
YULE BOY retweetledi
Hussein M Bashe
Hussein M Bashe@HusseinBashe·
@kigogo2014 Screen shot utume bcs najua allowance ulikua hujapokea Lowassa hajaangukia pua still alive ,ushajitafutia mradi wa 2030 tutakutana sitting room ambayo huwa tunakutana , mzee lazima tuwepo ili uishi huwa unanisaidia kujua Script writer wako toka March 2021 huwa nihifadhi kila
Indonesia
0
7
91
24.6K