Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu
3.1K posts

Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu
@OWM_SBU
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu Sera.Bunge na Uratibu S.L.P 980 DODOMA, Tanzania [email protected]
Dodoma, Tanzania Katılım Mart 2022
43 Takip Edilen2K Takipçiler
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu retweetledi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Profesa Peter Lawrence Makenga Msoffe kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhandisi Athumani Juma Kilundumya kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo (Umwagiliaji na Zana za Kilimo) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 28 Juni, 2025.




Indonesia
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu retweetledi

Ibada Maalumu ya mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya...
instagram.com/p/DJluuC6KM5-/…

Indonesia

MATUKIO KATIKA PICHA – IBADA YA KUAGA MWILI WA HAYATI CLEOPA MSUYA JIJINI DAR ES SALAAM.
instagram.com/p/DJgjNF_q4hl/…

Filipino

MATUKIO KATIKA PICHA MSIBANI KWA HAYATI CLEOPA MSUYA DAR ES SAALAAM
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (SBU) Dkt. @yonazijim akitoa pole kwa wafiwa msibani kwa Hayati Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu nyumbani kwake Upanga Jijini Dar es Salaam.




Indonesia

WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA MAZISHI YA VIONGOZI
instagram.com/p/DJbipzTKU_1/…
Indonesia






























