Patrick Nkandi

14.7K posts

Patrick Nkandi banner
Patrick Nkandi

Patrick Nkandi

@PNkandi

Accredited Arbitrator & Mediator - Tanzania| Business Development| Communication| Diplomacy

Dar Es Salaam Katılım Ağustos 2011
2K Takip Edilen2.8K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
Information Era. The valuable commodity in the current world. Try to obtain the right one.
English
1
3
36
0
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
@MarekaMalili Nawe usiponunua panapoitwa "Shamba" leo ukifika 55+ utakuwa kama wao😀😀😀😀
Indonesia
1
0
0
33
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Moja ya Regrets ambazo wanazo Wazee wetu wenye 55+ years mtaani, ni kutonunua Ardhi nyakati ilikua cheap na walikua na uwezo huo. Walikua wakiitiwa mashamba na viwanja wanaona mizaha, wanaona ni mapori, wanaona bado wana muda wa kufanya hivyo.
Indonesia
41
58
673
33.7K
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Hii ni pesa ndogo sana, sawa na dola milioni 60. Kariakoo ikifikiriwa vizuri ni “a country of its own”, na inaweza kutupa trilioni moja kwa mwaka within a decade. Ni namna tu ya kuweka mkakati ili Malawi, DRC, Rwanda, Burundi, Uganda na kadhalika wasione ulazima wa kwenda China, Dubai na Uturuki waje hapa Tanzania na kupata bidhaa zilezile kwa bei nzuri sawa na China. Basi tu hatujaamua.
Thom Mnkondya@Thommunkondya

kariakoo inakusanya mapato ya bilion 140 kwa mwaka🙌🏿🙌🏿. Aseee jengeni Structured parking/Multi-storey parking hizo open/surface parking mnazi mmoja na gerezani hazitoshi kabisa pia ni kuharibu eneo. Pia kkoo yote mitaa yake iwekwe lami. Mapato ya kkoo yanakaribia bajeti ya wizara ya ardhi💪🏿🙌🏿.

Indonesia
16
9
111
19.1K
minah🌹
minah🌹@queeen_minah·
@PNkandi 😂😂😂kwakweli hapo ndo mtaniweza
Polski
1
0
0
165
minah🌹
minah🌹@queeen_minah·
Can’t wait for my son to be 18 aanze kunidrive around😂😭🔥since siko na pesa ya kuajiri dereva🙏🏽
Filipino
6
1
71
3.9K
Patrick Nkandi retweetledi
taficotz
taficotz@taficotz·
Ukarabati wa gati (sehemu ya kuegesha na kushusha mizigo iliyopakiwa kwenye meli [floating jetty]) ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) unaendelea, ukitarajiwa kukamilika mwezi Januari 2026 na kuanza kutumiwa na meli za uvuvi za Shirika.
taficotz tweet media
Indonesia
0
1
0
102
Patrick Nkandi retweetledi
Akech Andrew
Akech Andrew@akech_andrew·
Ethiopian airlines MRO has won contracts from Saudi Arabia and South Africa to be doing the maintenance and repairs of their aircraft. No Chinese, American, European or Russian engineers are involved in this department. It's purely run by Ethiopian engineers bred and trained from Ethiopian Aviation University. Ethiopians are putting their differences aside and putting Ethiopia first. When people are united by vision, nothing seems impossible.
Akech Andrew tweet mediaAkech Andrew tweet media
English
66
530
2.8K
121.1K
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
Falme zakiarabu (UAE) zina export mizigo yenye uzito sawa na thamani ya USD $1.4 billioni kifedha. Inatajwa kuwa zaidi ya 50% ni bidhaa zitokanazo na mafuta. Na asilimia nyingine ni bidhaa nyingine. Hii chain of business ukiweza kuwepo kwa hata 1% - 2% ni ($ 14 - 28m)
Indonesia
0
0
0
21
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
@KennedyMmari Mradi ukiathirika na bei jua suala limeanzia kwenye feasibility. Otherwise ikiwa si feasibility basi ni financing terms...time against moneys value etc
Filipino
0
0
1
68
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
@PNkandi Kwa kutumia similar projects ikiwamo SGR (ikiwa swali lako linazungumzia reli)
Filipino
1
0
1
289
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Nipo tayari ya ku-bet kuwa jumla ya gharama za ujenzi wa mradi wa mwendokasi awamu zote inazidi gharama ya ujenzi wa mtandao wa SGR Dar es Salaam kwa urefu ule ule Dar es Salaam nzima. Awamu ya kwanza ya Mwendokasi (kilomita 21) ilikuwa ni karibu bilioni 700-800 ukijumuisha vituo, depots, terminals na kadhalika. SGR kilomita moja ni kama dola milioni 2.5 hivi. Kilomita 21 ingekuwa kama dola milioni 50 (hata tungejumlisha na terminals, depots, karakana na kila kitu, isingeweza kufika dola milioni 200). Tukiamua tunaweza (na tungeweza).
Africa First@AfricaFirsts

Only four countries in Africa have tramway systems: Morocco 🇲🇦, Algeria 🇩🇿, Tunisia 🇹🇳, and Egypt 🇪🇬.

Indonesia
18
7
65
14.8K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Usije kuwaza hata siku moja kwamba usipokua na shida na mtu eti ni ticket ya watu kutokua na shida na wewe.
Indonesia
14
77
583
16.5K
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
@Octavianlasway Viwànda vilisaidia kuimarisha shilingi. Kuimarisha uchumi. Ila changamoto iliyokuwepo "succession plan" ya waliokuwa na uwezo wa usimamizi "walioandaliwa na wakoloni vs kizazi cha watoto wa Uhuru.
Indonesia
0
0
2
94
Eng Octavian Lasway
Eng Octavian Lasway@Octavianlasway·
I always do the same ! Mzee Temu Huwa ananisimua story nyingi sana namna ambayo alienda pia kufanya negotiations WB ili kupata pesa za kuanzisha kiwanda cha Tumbaku , Morogoro. Nyerere hakuwapa posho , walikuwa wanalala kwa jamaa na marafiki hasa wanafunzi wa Afrika waliokuwa US . Alifanikisha Ile issue na akarudi bongo na pesa zikaja na kujenga kiwanda kubwa cha Tumbaku Africa Mashariki na Kati , pale Morogoro. Mwisho Mzee aliacha kazi baada ya kupinga kiwanda kile kuuzwa kwa wawekezaji pale alipopingana na wanasiasa kama mtaalamu wa Uchumi na Uwekezaji . Ninachoweza kusema ni kwamba Tanzania ya Viwanda tulishawahi kuwa nao , hii ambayo Serikali inatuambia sasa ni danganya toto tuu . We used to be an east Africa manufacturing hub back in the days . Siasa yetu ya CCM imeaua kila kitu , hatuendi mbele tunarudi Nyuma . We need Major changes and reforms
Thom Mnkondya@Thommunkondya

Huyu mzee ni jirani yangu,nimejiweka utaaratibu wa kumtembelea kila weekend kupiga nae stori, leo anasema amewahi kutumwa na nchi world bank kunegotiate mkopo wa dollar milion 100😄anasema wao ndiyo walianzisha TAFICO na mpaka ana stafu aliacha shirika la uvuvi lina meli zake 6 🙌🏿

Indonesia
2
5
26
2K
minah🌹
minah🌹@queeen_minah·
@PNkandi Nimetaka na mimi vacation packages mchawi kibunda
Eesti
1
0
0
53
minah🌹
minah🌹@queeen_minah·
Hizo bei za “End of the year” Vacation packages mmeziona lakini?!🥹dooh! Wacha ntafute hela!!!!
English
7
0
67
5.5K
Patrick Nkandi
Patrick Nkandi@PNkandi·
@Octavianlasway Ile movie ilikuwa kali sana...ingawa ikazuiwa kuendelea season 3...mpaka leo kuna debate on it.
Filipino
1
0
1
16
Eng Octavian Lasway
Eng Octavian Lasway@Octavianlasway·
Unaposema tuende China na Russia ndio hivyo hivyo ! Zaidi sana tunakiwa kuwa na amani na utulivu ndani ya Nchi yetu ! Adui siku zote anaingilia pale penye maumivu , kama Nchi tukiweza kupunguza na kuondoa kabisa maumivu kwa raia basi adui atapata nafasi ndogo sana kwetu ! Nenda kaangalie movies Moja inaitaa Tyrant utajua namna haya mambo yanavyoanza
Ezekiel ‘Top Pen’ Kamwaga@ezekiel_kamwaga

Nimeona statements hizi za watu wa EU na USA. Ni muhimu kushughulikia na matatizo yetu ya ndani sisi wenyewe tuyamalize. Lakini ili tuwe salama zaidi, tunahitaji kutafuta namna ya kutengeneza mutual security pact na nchi za China na Russia.

Indonesia
5
1
19
1.9K