Vuta picha jana hii ndio ilikuwa sub ya kutegemewa kubadili mchezo jana...tunahitaji kutengeneza bench linalo tisha kama misimu mi 2 nyuma Yani ndani kuna watu njee kuna watu
Ukiniuliza ni mchezaji gani wa simba unawasi wasi nae kesho anaweza inyima yanga points 3 Mimi ntakuambia ni huyo jamaa hapo kwenye picha ndio mtu wa kumchunga zaidi hasa kuanzia kipindi cha pili
Tangu mechi za makundi zinapelekwa Zanzibar nilisema si kitu kizuri sana nkaonekana mbaguzi, Darby wakaipeleka huko nkasema tumepunjwa mechi zote kubwa msimu nkaonekana mamluki..ila niliona hili likitokea,tuache Shobo na nnchi za Watu, sa hivi tunauwa ligi yetu wao wanajenga yao
Haya tufanye jana Pedro angepata iyo droo anayo taka tukafika matuta nani angepiga hizo penalty na wapiga penalty wote kawatoa kawabakisha kina andambwile na Edmund
Kwa siku za karibuni mechi ya simba na yanga imepoteza ushawishi kabisa, kama hazita chukuliwa hatua za haraka itaenda kufa kama mechi ya gormaiya na Leopard....kitendo mechi kuchezewa kule kwenye tindiga isamuyo ni dalili za awali derby kwenda shimoni