Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿
5.5K posts

Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

@spana_Konki Huyo denge kazi mbona anayo humu ndani 😂🙌
Indonesia
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

@spana_Konki Mbona jamaa kakimbilia kwenye democracy tena?!😁
Indonesia
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

Kwanza niombe Radhi kwa matumizi ya hii picha🙏..
Ninachotaka kusema ni kuwa Sisi wote ni wabinafsi tena tusiojali lolote pindi mambo yetu yakienda, ni humu ndani week hii inaisha tulikuwa tunasambaza Connection za wanavyuo na kuenjoy maisha yetu, hakuna aliyekuwa na uchungu moyoni, hakuna aliyekuwa anakumbuka walioangukiwa na kifusi kariakoo wala waliokutwa na matatizo 29 Oct,.. Si sisi wote tulikuwa na raha na maisha yetu yameendelea,.. leo baada ya kila kitu ndio watu wanaanza kuonyesha tena kama maisha yao hayaendi tena baada ya yale,.. wengine kutukana kama hivyo kwenye F2 kisa nimepost kitu tofauti na kile aliona kinafaa kwa leo,.. Sisi wote wabinafsi mambo yetu yakienda hatumkumbuki aliye gerezani wala aliyepoteza maisha kupambana,.. kwenye Dunia hii iliyojaa ubaya na ubinafsi wewe jichague mwenyewe,.. ukipotea wewe, umepoteza uzao wako na ndoto zako, wao watasahau hata kama uliwahi kuwepo na wataishi kutimiza ndoto zao.. ✍💔


Indonesia

@JMariotz Mkundu wake sijui kanapata wapi na ujasiri wa kuandika hay
Indonesia

Dada yangu bila kukuvunjia heshima hata wewe pia uliplay part kwenye kuhalalisha kilichofanyika, kama ungepita kule Vwawa basi leo ungekua zako bungeni ukigonga meza na mboga mboga wenzio na usingekua na uwezo wa kutweet hivi leo. Heshima na tamaa havijawahi kukaa nyumba moja.
DevotaTweve@TweveDevota
Aliyeua yeye hana hatia?🥹
Indonesia

YALIPANGWA
YALIRATIBIWA
YALIFADHILIWA na
YALITEKELEZWA.
Eee Mwenyezi Mungu tusadie, tufumbue macho na tuongoze kutambua na kuwakataa wenye nia ovu dhidi ya Tanzania.
#NeverAgain
Indonesia
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

Binafsi simshangai @Salym maana baada ya mauaji ya Oktoba 29, 2025
Kikeke alianza kuwapigia simu Waandishi wa Habari wa BBC na DW waliopo Bongo akawa anawaambia kwamba mambo yameshaharibika sasa anaomba wamsaidie Idd Amin Mama, wasipublish habari za watu kupigwa risasi wala kuuwawa bahati nzuri Waandishi walimgomea licha ya kwamba kulikuwa na fungu la pesa endapo wangekubali.
Sasa mtu kama huyu mnadhan atashindwa kusema anaiman na Tume kama habari tu za maelfu ya Watanganyika kuuwa hakutaka Dunia ijue.?

Indonesia
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

Asante MUNGU hili gumu sana limepita.
Kesho narudi RASMI kuendelea na kazi ya kushughulika NA WAKOLONI WEUSI.
Haya magumu ninayopitia wao ndio chanzo kikuu-siwezi kuwaacha mpaka naenda KABURINI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎


SIR TIVA@Sativa255
On GOD❤️🙏
Indonesia
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi
Muuza_Mabati-OG🇹🇿 retweetledi

















