Pascal Paul
360 posts


📍Mwanza
#D9 Hatumtaki Samia ✊🏽🇹🇿
Jamani wanajeshi hawana ishu wao wapo tu wapiteni nendeni zenu 💪🏽
Kama anakuzuia askari piga picha nitumie tunaandaa ripoti
Freedom of movement is key! There is no curfew just ILLEGAL LOCKDOWN that is not justified
#D9Tunatoka
Filipino

@Dr_DGwajima Mama Angu Kipenzi Mungu Akubariki Sanaa Mimi Naishi Zangu Hapa Kijitonyama Huku Nasoma Chuo Sasa Mama Leo Nilikuwa Na Uhitaji Nipate Hata Chochote Kitu.....!
Mungu Atakubariki Sana Mama Angu 🙏🏾
Indonesia

@Sirjeff_D Unasikia Kaka Angu ,
Kula Sana Chipsi In Your 30s
Kula Sana Mayai In Your 30s
Endesha Sana Jaguar In Your 30s
Hakuna Mtu Atayeku Judge Waty Watasema Umekuwa Mtu Mzima.
Indonesia

@BestaMlagila @maendeleoyajami Tafadhali tag wizara ya viwanda na biashara tafadhali @ViwandaBiashara kwa ufafanuzi
हिन्दी

Mheshimiwa sana Waziri @Dr_DGwajima mambo haya yanaanza taratibu mwanaume kufanya matangazo ya nguzo za ndani za wanawake ikiwa kawaida na mengine yataonekana yakawaida @maendeleoyajami
Indonesia

@Sirjeff_D Ni Mmoja Na Kila Atafanikiwa Kwa Muda Wake Kuna Muda Unakandia, Afu Kuna Muda Una Hamasisha Haueleweki 😂
Indonesia

@Sirjeff_D Tuwatu Tulivyoo Hivi Utaskia Anamwambia Demu Wake "Mamtu Nifanyie Mpango Wa 1000 Hapo" 😂 Utozzy Mwingi Hela Hamna
Indonesia

@PascalP71917935 @Sirjeff_D Lete reference ya hii “maana kamili”
Indonesia






