Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya
5.3K posts

Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi

Katika hili la kuwaita wananchi Nguchiro, umepatia kabisa. Fikiria Taifa ambalo maelfu wameuawa, lakini hakuna hatua. Taifa ambalo uongo na uhuni vimegeuzwa sifa, hata baadhi ya viongozi wa dini wakivisujudia kwa sababu vinatoka serikalini.
Taifa ambalo watu wanatekwa, wanapotezwa na kuuwawa, lakini kelele za ushabiki wa Simba na Yanga zinafunika vilio vya damu za wasio na hatia. Taifa ambalo ripoti za CAG zinaanika wizi wa mabilioni, lakini jamii haina hasira, haina msimamo, haina maamuzi.
Tumefikia mahali maovu yanakuwa habari za kawaida, ukatili unakuwa jambo la kupita, na unafiki unaitwa uzalendo. Hapa si wananchi tena, hapa ni kundi lililozoea minyororo yake.
Kwa hiyo ndiyo, kwenye hili umefikiri vyema, sisi ni NGUCHIRO, tunatazamishwa, tunanyamazishwa, na bado tunashangilia. Kuna wakati kumbe unaweza kuwaza vyema. Hapa umewaza vyema. NGUCHIRO tukuache. Thx Bro!!

Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi

Je, nchi za Kiarabu zinatarajia nini katika mazungumzo ya Marekani na Iran?
bbc.in/4vTKHft

Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi

Yule msenge wao alimaanisha sisi nguchiro mnyama au nguchiro binadamu??
CCEMU ni Nguchiro square,💥💥
Follow 👉 @IkindaKani11826
💥 REPOST 💥💥


Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameondoka jijini Islamabad, Pakistan, na kuelekea Moscow, Urusi, kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran.
Hatua hiyo inakuja wakati juhudi za kidiplomasia zinaendelea, huku wapatanishi wa kimataifa wakijaribu kuendeleza uwezekano wa kufanyika kwa mazungumzo zaidi kati ya Iran na United States.
Araghchi alikuwa nchini Islamabad kwa mazungumzo na viongozi wa Pakistan, ambayo yalilenga kusaidia juhudi za kupunguza mvutano kati ya Iran na Marekani.
Baada ya kumaliza ziara hiyo, ameendelea na safari yake kwenda Moscow kwa mashauriano zaidi na washirika wa kimataifa kuhusu hali ya usalama na diplomasia katika eneo hilo.
#KitengeUpdates

Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi

Mashambulizi ya Mali "yanaungwa mkono na maadui wa mapambano ya ukombozi wa Sahel" -Traore
bbc.in/4cPYKtQ

Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi

Serikali kutumia Sh5 bilioni kuimarisha maegesho ya malori Mwandege mwananchi.co.tz/mw/habari/kita…
Indonesia
Peter Mwaswenya retweetledi
Peter Mwaswenya retweetledi


















