HIV For Sale

17K posts

HIV For Sale banner
HIV For Sale

HIV For Sale

@PoisonRecipe

Say my goodbyes and hellos Cause all them roads lead home 👆👆

Tanzania Katılım Aralık 2013
390 Takip Edilen441 Takipçiler
HIV For Sale retweetledi
Goals Xtra
Goals Xtra@GoalsXtra·
This time, the Puskas Award nominee is from the Tanzanian league. 🇹🇿
English
37
489
2.3K
63.3K
RCM
RCM@robkidayo_·
Nazungumza kwa niaba ya Mashabiki wa manchester Tanzania hatumtaki Leao.
Filipino
14
3
49
1.6K
HIV For Sale retweetledi
Premier League
Premier League@premierleague·
Champions League qualification secured for 2026/27 🏆 Congratulations, @ManUtd 🔴
Premier League tweet media
English
2.8K
34.5K
216.4K
13.6M
HIV For Sale
HIV For Sale@PoisonRecipe·
@Maestrowafact Ivi huwezi kuwa mzalendo na nchi yako lakini ukawa unaishi abroad kwa sababu flani flani za kimaisha? au sisi tuliopo Bongo ndio tuna sifa pekee ya uzalendo?
Filipino
0
0
1
174
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Tito rasta, Rais wa 2045 demu wa marehemu Ben saa 8, Sarungi, na nyoko nyoko nyingine zote hazipo Bongo wanaharakati wa kweli Ni Lissu na Heche na wanaokaza wakiwa humu nchini hao wengine ni keyboard warriors manina
Fanuel Arsene@ArseneFanuel

@MaxTz255_ @Maestrowafact kuna mambo hayahitaji nabii kukuelekeza.....yan umtukane Jaji Mkuu mstaafu na unaishi tz alafu uwe salama 😅😅...bongozozo sasa hivi anaongea sana ila hayuko bongo 😃

Filipino
16
7
59
6.7K
HIV For Sale
HIV For Sale@PoisonRecipe·
@xfowz Donkoli kapita nazo mpaka hizi ngoma za juzi juzi alizo fanya na Diamond na Harmonize...Nikki classic zote za prof kazichapa tena kwa viwango
Polski
1
0
2
168
HIV For Sale retweetledi
Mbeumo
Mbeumo@xfowz·
Yes Nikki mbishi ametisha sana lakini mdogo wake professa , Donkoli nae ametisha sana kwenda bar to bar , since he has been his back up artist for long
English
5
11
80
2.7K
chizzo drama
chizzo drama@Chizzodrama·
Hukufanya kwa niaba ya PROF ulifanya kwaajiri ya PROF JAY JOH MAKIN 🫡
chizzo drama tweet media
Indonesia
3
15
228
5.7K
HIV For Sale
HIV For Sale@PoisonRecipe·
Najaribu kuwaza tu kama marehemu Albert angekuwepo leo akapata nafasi ktk BFH ya Jongwe, Nashindwa kupata picha...REST EASY Albert Mangwea
Indonesia
0
0
0
15
HIV For Sale retweetledi
#FreeNinja
#FreeNinja@MwansasuSnr·
Profesa kasababisha perfomance ya Joh Makini na Nikki Mbishi kwenye Jukwaa moja muda mmoja. Jizeeee Favourite wa muda wote
Indonesia
8
37
394
12.5K
HIV For Sale retweetledi
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Haki hushinda mwishowe. 🦁
Filipino
97
261
1.9K
29.5K
HIV For Sale
HIV For Sale@PoisonRecipe·
@JH_Churchill Hii ngoma ni moja ya ngoma mbovu katika project ya Aznas...ujumbe haujaendana na nyakati
Indonesia
0
0
0
5
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺@SwahiliRealTalk·
Mwaka 2017 aliyekuwa mfanyabiahsra maarufu wa Tanzania na kiongozi wa ‘Freemason’ Afrika Mashariki, Jayantilal Keshavji “Andy” Chande amefariki dunia huko Nairobi nchini Kenya. Jayantilal Keshavji “Andy” Chande alizaliwa May 7, 1928 Mombasa Kenya, na wakati wa utoto wake aliishi Bukene mkoani Tabora ambako ndiko alikopata elimu yake ya msingi. Elimu yake ya sekondari aliipata katika Shule ya St. Peter’s School iliyoko Panchgani, walaya ya Satara, Jimbo la Maharashtra nchini India. Baada ya kufanya vizuri katika mitihani yake ndipo alipopata jina jipya la ‘Andy’ ambalo ndilo alikuwa akilitumia mpaka mauti yalipomkuta. Baada ya kumaliza masomo yake, alirudi nchini Tanzania na kuendelea kumsaidia baba yake katika shughuli za kibiashara. Mnamo mwaka 1967 wakati azimio la Arusha lilipopitisha sera ya utaifishaji, mali nyingi zilitaifishwa na kuwa za serikali. Ujuzi aliokuwa nao Andy ulimfanya Mwl. Nyerere amteue kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la Taifa la kuhifadhi nafaka (National Milling Corporation) Mpaka kufikia mwaka 2015 alikwa na utajiri wa dola za kimarekani milioni 892 sawa na TZS trilioni 1.9. Wakati wa uhai wake amewahi kupokea tuzo mbalimbali ikiwemo ya (Knight Commander of the Most Excellent Order of the British Empire) KBE mwaka 2003 ambayo ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kupewa raia wa Tanzania. FOLLOW ME @SwahiliRealTalk kwa historia nyingi zaidi
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
15
26
138
27.6K
HIV For Sale retweetledi
Hater Report
Hater Report@HaterReport·
LeBron and LeBron and Bronny in 2006 Bronny in 2026
Hater Report tweet media
English
300
13K
110.7K
4.1M
HIV For Sale retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Je, wale waliopoteza viungo vyao vya mwili? Waliokatwa masikio? Waliogongwa misumari miguuni? Waliofanya ukatili wa kutisha kama kulawitiwa wakati wakimtetea Mzee MBOWE akiwa mbunge wa HAI, wamepewa faraja au kuombwa msamaha? Wengine walilazimika kutelekeza familia zao na kuwa wakimbizi kwa kuhofia usalama wao. Hali hii inajenga picha kuwa Mzee MBOWE ameweka maslahi yake binafsi mbele na kusahau gharama kubwa waliyolipa wafuasi wake. Hii ni dhihaka kwa watu wote ambao waliwahi kuamini katika njia zake. Hii inatuogopesha ambao tumewahi kumpambania hadharani. Hata hivyo, SABAYA anatakiwa kuomba msamaha mwenyewe, siyo kuombewa msamaha. Kimsingi, msamaha ni jambo la kibinafsi na la kimaadili kati ya mtu aliyekosea na yule aliyekosewa. Msamaha wa kweli unahitaji sauti ya mkosaji mwenyewe.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
189
411
1.8K
88.6K