
RFI Kiswahili
35.9K posts

RFI Kiswahili
@RFI_Sw
Idhaa ya kiswahili ya @RFI (Radio France Internationale) ipo kwa kukuhabarisha habari za kimataifa
Nairobi, Kenya Katılım Temmuz 2011
298 Takip Edilen6.8K Takipçiler




Waokoaji na wapiga mbizi wamepelekwa katika Mto Padma nchini Bangladesh kuendelea na operesheni ya utafutaji miili baada ya basi lililokuwa limebeba watu 40 kutumbukia majini wakati likijaribu kuingia kwenye kivuko, na kusababisha vifo vya watu wasiopungua 24.
#padmabangladesh
Indonesia

Intaneti imezimwa nchini Iran kwa siku 27 sasa, kulingana na kundi la ufuatiliaji wa mtandao la NetBlocks, huku nchi hiyo ikiwa imeondolewa kwenye mtandao wa dunia kwa saa 624.
#iran #INTERNET #blackoutfit #NetBlocks

Indonesia



Mkutano wa wakuu majeshi kwa ajili ya kulinda Mlango-Bahari wa Hormuz kufanyika rfi.my/CYqP.x

Indonesia


Cuba: Mpango wa misaada ya dharura wajadiliwa katika UM ili kuepuka 'mgogoro wa kibinadamu' rfi.my/CYpz.x

Indonesia

Marekani: Sintofahamu kati ya timu ya usalama ya Mke wa rais wa Kongo na ujumbe wa Rwanda rfi.my/CYpj.x

Indonesia

Sudan yaishutumu Ethiopia kwa kuunga mkono wanajeshi wa RSF katika Jimbo la Blue Nile rfi.my/CYpO.x

Indonesia


Licha ya kuthibitisha kwamba Iran inapitia mapendekezo ya Marekani, Waziri wa mambo ya kigeni wa Tehran Abbas Araqchi alisistiza kwamba ujumbe wanaoupokea kupitia kwa wapatanishi hauwezi kuchukuliwa kama mazungumzo.
#DonaldTrump #IranWar
Indonesia

Hatari ya bwawa kudondoka Nairobi, wakazi wanaoishi maeneo ya chini waagizwa kuhama rfi.my/CYpA.x

Indonesia

Rais Donald Trump hapo jana Jumatano (Machi 24) alidai kwamba Iran ipo kwenye mazungumzo na serikali japokuwa Tehran inaogopa kuthibitisha hilo.
Kulingana na Trump, viongozi waliosalia nchini Iran wanaogopa kuuawa na watu wao iwapo watakiri kufanyika kwa mazungumzo.
#IranWar
Indonesia







