Ruiz Robert

93 posts

Ruiz Robert banner
Ruiz Robert

Ruiz Robert

@RuizRobert6

BUSINESS ORIENTED

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2018
653 Takip Edilen72 Takipçiler
Mohit Mishra
Mohit Mishra@mohitmishr93531·
You only need ChatGPT + a laptop + 1 hour/day to make $8,500/month. I’ve prepared the exact step-by-step guide. Normally $179, but it’s free for 24 hours. To get it: • Like, Repost & Peply "NEED" • Follow me so I can DM you
Mohit Mishra tweet media
English
1.2K
490
922
182.8K
GoldTraderMo
GoldTraderMo@goldtradermo·
POV: you made it
GoldTraderMo tweet mediaGoldTraderMo tweet mediaGoldTraderMo tweet mediaGoldTraderMo tweet media
English
91
10
90
2.7K
Ruiz Robert
Ruiz Robert@RuizRobert6·
@AmeaPower Can i get your WhatsApp number please am unable to reach out you despite all attempts done. Am from Tanzania and my WhatsApp number is +255784787167
English
0
0
0
16
AMEA Power
AMEA Power@AmeaPower·
In Uganda, near our 24MWp Solar Project, we are supporting community-led initiatives focused on youth development & education. We have supported youth-led sessions in 5 schools, reaching 600+ students and backed a peer mentor training to inspire change from classroom to community
AMEA Power tweet media
English
1
0
1
75
Azam TV
Azam TV@azamtvtz·
#BreakingNews Ivory Coast ndiyo mabingwa wa AFCON 2023, likiwa ni taji lao la tatu. FT: Nigeria 1-2 Ivory Coast. Je, nini kimewabeba? Burudani ilikuwa LIVE #AzamSports3HD kwa Tanzania pekee Kumbuka mechi zote za AFCON umezishuhudia LIVE na kwa ung'avu wa HD kupitia #AzamTV na #AzamTVMaxApp. Lipia mapema kifurushi chako cha shilingi 25,000 ukamilishe burudani. #AFCON2023 #FainaliZaAFCON2023 #MichuanoYaAFCON #MaskaniyaAFCON2023 #AzamTV #AFCON #AFCONFinal #Final #Fainali #Nigeria #IvoryCoast #NigeriaIvoryCoast #NGRCIV 📷 @AFPphoto
Azam TV tweet media
Polski
6
1
40
5.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
RT moja ya heshima na ya kibingwa kwa Ivory Coast….. ukisha RT wachagulie ‘kibao’ kinachoendana na story yao kwenye AFCON 2023……. tuanze na sikati tamaa ya Darassa ft. Ben Pol.
millardayo tweet media
Indonesia
60
71
1.7K
72.6K
millardayo
millardayo@millardayo·
Msafara wa Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda umepata ajali katika Mji wa Masasi Mkoani Mtwara majira ya saa tisa alasiri leo Feb 11,2024 ukihusisha magari zaidi ya saba yaliyokuwepo katika msafara huo uliokuwa unatokea Mkoani Ruvuma kuja Jijini Dar es salaam. Watu wasiopungua saba wamejeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, hakuna kifo kilichotokea kwenye ajali hiyo na hali ya kiafya ya Makonda ipo salama. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
171
63
1.5K
160.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
Rais wa Yanga Eng. Hersi Said katika kuadhimisha miaka 89 ya Klabu ya Yanga ametangaza rasmi kuwa Mfadhili wa Timu hiyo Ghalib Said Mohammed (GSM) amekubali kujenga uwanja wa Yanga katika eneo la Jangwani. “Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na Mdhamini na Mfadhili wa Klabu yetu, Ghalib Said Mohammed (GSM), nipende kuwataarifu Wanachama na Mashabiki wa Klabu yetu kuwa leo, GSM ameridhia kwa dhati kushiriki kwenye kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Young Africans Sports Club, katika eneo la Makao Makuu ya Klabu yetu, Jangwani, Jijini Dar Es Salaam. “Nichukue fursa hii kumshukuru sana GSM kwa dhamira hiyo inayokwenda kutimiza ndoto ya Uongozi wangu, Kamati ya Utendaji na Wanachama na Mashabiki wa Young Africans kwa kuwa na uwanja wetu” #MillardAyoSPORTS
millardayo tweet media
Indonesia
134
93
2.7K
149.1K
Ahmed Ally
Ahmed Ally@ahmed__ally·
Pa Omar Jobe kafunga Freddy Michael kafunga Enheee nyie wenzetu mshambuliaji wenu wa gizani kama mnatorosha sukari ya Magendo vipii au bado ana tafuta attachment na mashabiki
Ahmed Ally tweet media
Indonesia
197
173
3.6K
105.2K
Azam TV
Azam TV@azamtvtz·
#AFCON2023 Ni Bafanabafana wanakwenda nusu fainali kwa mikwaju ya penati. AET: Cape Verde 0-0 Afrika Kusini (Pen: 1-2) Tukutane nusu fainali Februari 7 LIVE #AzamSports3HD kwa Tanzania pekee. Kumbuka mechi zote za AFCON Live na kwa ung'avu wa HD kupitia #AzamTV na #AzamTVMaxApp. Lipia mapema kifurushi chako cha shilingi 25,000 ili usipitwe na fainali hizi. #AFCON2023 #FainaliZaAFCON2023 #MichuanoYaAFCON #MaskaniyaAFCON2023 #AzamTV #AFCON #CapeVerde #SouthAfrica #AfrikaKusini #CPVRSA 📷 @AFPphoto
Azam TV tweet media
Indonesia
1
1
28
5K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Mlisema Pacome kutoitwa Ivory Coast ilikuwa makosa?😀
Farhan Kihamu Jr tweet media
Polski
133
41
2.4K
107.5K
Azam TV
Azam TV@azamtvtz·
#AFCON2023 Rekodi ya bingwa mtetezi kutofika robo fainali, inaendelea….. Senegal ‘OUT’, wenyeji Ivory Coast wanakwenda robo fainali kwa mikwaju ya penati. AET: Senegal 1-1 Ivory Coast (Pen: 4-5). Baadaye saa 2:00 usiku ni Mali vs Burkina Faso LIVE #AzamSports3HD kwa Tanzania pekee. Kumbuka mechi zote 52 za AFCON Live na kwa ung'avu wa HD kupitia #AzamTV na #AzamTVMaxApp. Lipia mapema kifurushi chako cha shilingi 25,000 ili usipitwe na fainali hizi. #AFCON2023 #FainaliZaAFCON2023 #MichuanoYaAFCON #MaskaniyaAFCON2023 #AzamTV #AFCON #Senegal #IvoryCoast #SenegalIvoryCoast #SENCIV
Azam TV tweet media
Indonesia
5
3
53
10.1K