Brythony Runana

2.4K posts

Brythony Runana banner
Brythony Runana

Brythony Runana

@RunanaAthman

Life goes on......With or without you

Tanzania Katılım Nisan 2021
4.4K Takip Edilen7.6K Takipçiler
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Ndg yangu kaka yangu na rafiki yangu Daniel chonchorio nimwaka mmoja toka umechukuliwa nawatu wanao jiita wasio julikana Nataka nikuhakikishie Tutakulipia kisasi hata kwa familia zao hatutorudi nyuma kamwe tutakudai kwanguvu zetu zote nuswara la mda to Watapenda na watakuleta
Indonesia
3
24
166
10.1K
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
MWACHIENI MH @TunduALissu hana hatia acheni kibri cha madaraka ya mtutu wa bunduki mwachieni akapate matibu asitokee mpumbavu akasema tunalialia No Tunataka haki Kwa Mwenyekiti Wetu Maelekezo Makamo Mwenyekiti Mh @HecheJohn Vijana Wa Kitanzania Wenye Akili timamu tunayafanyiakaz
Brythony Runana tweet media
Indonesia
10
95
232
2.6K
Brythony Runana retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Dunia inajua kwamba kesi ya Mwenyekiti wetu ni uongo.. Dunia haijatuacha na haitatuacha katika mapambano haya.. Kila mtu kwa sauti kubwa tunapaswa kupiga kelele kila siku kuhusu #FreeTunduLissuNow Hii ndio iwe kampeini yetu.
John Heche tweet media
Indonesia
33
359
1.2K
14.7K
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Mimi kijana Mtanzania Ninae jitambuwa nitakuwa sehemu ya maandamoni ya kudai haki ya Mh @TunduALissu achiliwe huru maana hana hatia Watawara waoga na waovu wameamuwa kumziba mdomo hatutakubari kamwe huu ujinga tutafanya maandamano ya kihistoria ili achiliwe huru bira masharti
Brythony Runana tweet media
Indonesia
11
128
466
4.5K
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Watu wa kigoma kigoma kigoma kigoma nimewaita mara 4 hivi kweli Mnaletewa SANDA na huyu mpumbavu mnashangilia hivi ninyie au mmerogwa nyie ndio wa kuletewa SANDA mnaona kitu cha maana mmekuwa wapumbavu kiasi hicho naona tutaona mengi kesho mnaletewa majeneza mfe kwa wingi
Brythony Runana tweet media
Indonesia
0
0
0
115
Brythony Runana retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
The legend 🔥👊🏽 Tundu Antipas Lissu! A man driven purely by principles and his passion for Justice despite living with a bullet in his spine and his body wrecked by 16 bullets - he survived and fights on! Ladies and gentlemen meet the People’s President of Tanzania ✊🏽 #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
34
342
1.8K
83.2K
Brythony Runana retweetledi
BeLINDA
BeLINDA@belindaPINDA01·
Repost kwa maumivu ya huruma na upendo.. Repost bila kuchoka ✌️ Mh. tundu lissu...
BeLINDA tweet media
Indonesia
10
343
890
9.8K
Brythony Runana retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Kwa mujibu wa mtoa taarifa ndani ya mfumo inaonekana kesi ya Lissu itaendelea na ubovu wake hadi Lissu akubali kumpigia magoti Bi Msumi! Si mnaona na kauli za wasaidizi wake ni mulemule! Eti hakuna haki bila amani!! Thubutu! Naomba tumpe sapoti ya kula aina @TunduALissu ashikilie hapohapo hadi kieleweke! Gen Z muhimu sana kuwa front kwa role model wenu 🔥 Anafikiri huyu Mwuaji Mkuu kuwa hii ndo njia ya kusafisha damu aliyomwaga ? Dhulma inafutwa na HAKI! Acha aendelee kututia hasira vizuri! #FreeTunduLissu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
47
152
659
22K
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Leo nataka kuwambia serikali isiyo chaguliwa na wananchi niserikali ya shetani hivi mnawezaje kumnyima mh @TunduALissu chakula mnahisi watanzania tunafurahia unajuwa umefika wakati wa kuwakataa hadharani kuwa hatuwataki kwa vitendo na kelele nyingi mpaka dunia ijue tunawachukia
Indonesia
0
1
2
79
Brythony Runana retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Naona vikao na posho vinatafutwa kwa bidii kabisa. Janja Janja.
Indonesia
36
166
1.2K
44.2K
Brythony Runana retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
🔥🔥 Asante my brother @HecheJohn ✊🏽 Ndo maana tunasikia milio kila kona walafi walianza kupiga hesabu za maridhiano ila umesimama imara! Sasa eti “ananufaika na Lissu kuwa ndani” mara wanaharakati Wakome! Wakae kwa kutulia kama maji kwenye mtungi! Wananchi tuko very clear na umeeleza vizuri: “Hali ya maridhiano yenyewe imedhihirisha kuwa haijalindwa na Katiba mpya. Hatuna suluhisho la kweli mpaka wananchi waamue kiongozi wao kupitia uchaguzi huru na wa haki." #NoReformsNoElection haikuwa geresha na tunasema #SamiaMustGo 👊🏽💥 Mbona #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
18
176
901
36.8K
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Serikali ya Tanzania mnafanya mambo ya hovyo mnasahau kuwa kifo huwa hakina taalifa wara kengere mnaweza kuondoka bila kutubu tubuni haraka Mungu Anataka kufanya jambo kubwa na gumu kwenu jambo ambaro kila mtanzania atapata furaha na hofu dhidi ya watawara waovu itakwisha
Brythony Runana tweet media
Indonesia
0
0
1
37
Brythony Runana retweetledi
Brythony Runana
Brythony Runana@RunanaAthman·
Kesho Tarime patawaka moto Wenye Tarime yao kesho nikesho usipange kukosa Watanzania wapenda haki Wote kuweni tayali Mambo Mazuri yatazungumzwa kesho na Mwenyekiti Wa Jimbo La Tarime mjini Mh Saut
Brythony Runana tweet media
Indonesia
0
1
2
40