Severine Alphonce

605 posts

Severine Alphonce banner
Severine Alphonce

Severine Alphonce

@SAlphonce

Katılım Ağustos 2012
718 Takip Edilen48 Takipçiler
Lissu ni Mhaini
Lissu ni Mhaini@Dunguboy1·
Faza Maskio Kitima kaamua kuwachana ukweli kuwa Muwe mnajipa utaratibu wa kuhudhuria Misiba Chadema wanataka kuwa karibu na wananchi ila kwenye kuhamasisha fujo tu na sio kwenye mambo mengine ya kijamii. Acheni kujificha na Tumeona kuwa Chadema wameitambua serikali
Indonesia
4
18
14
818
MTETEZI WA CHADEMA
MTETEZI WA CHADEMA@Mtetezi_chadema·
NIMEPENYEZWA:TAARIFA KUHUSU JOHN MNYIKA Mwenye taarifa za alipo John Mnyika tafadhali apige simu namba (022) 2668866. Tunamtafuta kwa ajili ya kuchukua nyaraka muhimu za chama hazionekani ofisini na yeye hapatikani na hatujui yupo wapi."- @HecheJohn
MTETEZI WA CHADEMA tweet media
Indonesia
7
17
17
520
MTETEZI WA CHADEMA
MTETEZI WA CHADEMA@Mtetezi_chadema·
Heche Aseme Tu nia yake ya kuanzisha chama kipya aache kuhadaa wana chadema. Mimi ni mwanachama wa CHADEMA MTIIFU TENA NIPO KWENYE LILE GENGE ALILOSEMA DKT.SILAA yote katika yote nimegundua njama za heche kuiua CHADEMA NA KUHAMA NA WANACHAMA KUANZISHA CHAMA KIPYA CHA CHAMIMA
MTETEZI WA CHADEMA tweet media
Indonesia
20
13
14
1.4K
MTETEZI WA CHADEMA
MTETEZI WA CHADEMA@Mtetezi_chadema·
𝙉𝙄𝙈𝙀𝙋𝙀𝙉𝙔𝙀𝙕𝙒𝘼 𝙉𝙊𝙒:Jamani Hapa ni Khanyigo Parish Kigango cha Kabaya huko Bukoba, Kagera usiku wa kuamkia leo waumini wameharibu mali za Kanisa na kuacha ujumbe kama TEC haitamchukulia hatua Charles Kitima ambaye amethibitika kuwa na mtoto wataendelea kuharibu mali😪
MTETEZI WA CHADEMA tweet mediaMTETEZI WA CHADEMA tweet mediaMTETEZI WA CHADEMA tweet mediaMTETEZI WA CHADEMA tweet media
Indonesia
14
9
16
4.2K
MTETEZI WA CHADEMA
MTETEZI WA CHADEMA@Mtetezi_chadema·
NIMEPENYEZWA: KUTOKA CHADEMA ZA NDAAANI Hatua nzuri sana mmefanya ndugu zangu Chadema Pongezi kwa heche na dada ake lissu Hii itasaidia kumtoa lissu mbaroni asije akanyongwa hadi kufa. Mimi nimefurahi kwahili.
MTETEZI WA CHADEMA tweet media
Indonesia
9
16
17
1.4K
Kilwafinest 🦈
Kilwafinest 🦈@Kilwafinest·
LEO LEO KAZI IPO MUHAINI ATAOMBA MAJI YA KUNYWA. Shahidi wa leo, P6, anaonekana kucheza mechi kwa kujiamini kama kiungo fundi anayejua kuupiga mpira kabla ya kutoa pasi ya mwisho. Amejiandaa vya kutosha. Katika hatua ya maswali ya utetezi, Lissu alimuuliza shahidi kuhusu tofauti ya umri wake. Alisema kuwa kwenye maelezo ya polisi aliandika ana miaka 23, lakini leo mahakamani amesema ana miaka 24, hivyo aeleze tofauti hiyo. Shahidi akajibu kwa utulivu ☺️☺️ “Ni kweli niliandika miaka 23 mwaka jana. Sasa tupo 2026, nina miaka 24.” Mhaini amebaki na mshangao kidogo kana kwamba kalenda imefanya kazi yake kimya kimya kuwa Lissu hajui kama huu ni mwaka 2026. Ukumbi umepoa kwa sekunde sasa, Lissu anaomba apewe maji ya Kunywa!
Kilwafinest 🦈 tweet media
Indonesia
3
15
11
812
MtataProMax
MtataProMax@MtataProMax·
Ukifuatilia hii kesi utagundua Lissu ndio anafundishwa sheria. Ukisoma propaganda za watu wa UFIPA unaweza kudhani kwamba hii kesi ni nyepesi kwa Mhaini, lakini ukitazama kwa jicho la kiwakili, utagundua Lissu imemkalia vibaya..
MtataProMax tweet media
Indonesia
73
7
21
7K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@Bizydan 🐸🚮🚮🚮 jipangeni upya! Tambwe Hiza alikufa na ujuzi?? Mna fail wapi???
Indonesia
0
0
0
4
Wiseman
Wiseman@Bizydan·
Mambo yamezidi kuwaka moto baada ya Ushahidi mzito kuibuka ukionyesha uhusika wa mwanaharakati maarufu Maria Sarungi na mafaili yanayodaiwa kutoka kwenye kesi tata ya Jeffrey Epstein, bilionea wa Marekani aliyeshutumiwa kwa unyanyasaji wa kingono na usafirishaji haramu wa binadamu. Jeffrey Epstein, ambaye kesi yake ilitikisa dunia nzima, alikamatwa na kufunguliwa mashtaka makubwa kabla ya kufariki akiwa mahabusu. Baada ya sakata hilo, FBI imekuwa ikiachilia mafaili na vielelezo mbalimbali vilivyopatikana wakati wa uchunguzi. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, katika moja ya barua pepe zilizodaiwa kutumwa kwa Epstein, kulikuwa na mawasiliano yakizungumzia upatikanaji wa warembo wapya wa Miss Universe kwa ajili ya matumizi ya shughuli za Eipsten (kuwauza kingono kwa watu mashuhuri na wenye fedha). Cha kushtua zaidi, inadaiwa jina la mrembo mmoja kutoka Miss Universe Tanzania lilitajwa. Miss Universe Tanzania ipo chini ya usimamizi wa Maria Sarungi, ambaye anahusika moja kwa moja na kila hatua muhimu, kuanzia mchakato wa uchaguzi wa mshindi, safari za kimataifa, hadi usimamizi wa karibu wa washiriki. Ushahidi huu umezua taharuki kubwa, huku wengi wakianza kuona mambo mazito yalikuwa yakifichwa nyuma ya pazia la safari na shughuli za mashindano hayo chini ya maria Sarungi. Kinachozidi kushangaza ni ukweli kwamba Maria Sarungi amekuwa akijitambulisha hadharani kama mtetezi wa haki za binadamu lakini ameshiriki moja kwa moja katika jambo hili ambalo moja kwa moja linatweza utu wa binadamu na kuvunja haki zake zote. Mambo haya Pamoja na mengine mengi anayofanya Maria Sarungi yanazidi kuibua maswali mazito kuhusu uhalisia wa harakati zake na nia halisi iliyo nyuma ya shughuli hizo.
Wiseman tweet media
Indonesia
6
19
19
2.2K
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
🚨TAARIFA YA UFUATILIAJI | WIMBI LA VIJANA WA CHADEMA KUKIMBILIA KENYA 🇰🇪 Ufuatiliaji wa kina umefanyika kufuatia taarifa zilizodai kuwepo kwa wimbi kubwa la vijana wa CHADEMA  kukimbilia nchini Kenya kwa ajili ya harakati. Matokeo ya ufuatiliaji yanaonyesha yafuatayo: 🔎 Kuna ushahidi kuwa, katika siku za karibuni, vijana wa BAVICHA au wanachama wengine wa CHADEMA walienda Kenya kwa lengo la kujifunza mbinu za harakati. 👥 Jumla ya waliokwenda Nairobi ni watu 15. — Waliorejea Tanzania: 4 — Waliobaki Kenya: 11 📍 Waliopo Kenya (11): John Nguti, John Kitoka, John Pambalu, Twaha Mwaipaya, Hilda Newton, Rose Mayemba, Shija Shibeshi, Appolinary Boniface, Nuru Ndossi (anaishi mpakani Namanga kwa shughuli za biashara Arusha), Celestine Simba, David Jumbe. 🏠 Hali ya maisha: Wanachama waliopo Nairobi wanadaiwa kupokea USD 700 kwa mwezi kutoka Amnesty International, kiasi wanacholalamikia kuwa hakitoshelezi gharama za maisha ya Nairobi. Kutokana na ugumu huo, baadhi yao wanaishi kwa makundi ndani ya nyumba moja. 👉 Mfano: John Nguti, Hilda Newton, Rose Mayemba na Shija Shibeshi wanaishi pamoja. 🔁 Nia ya kurejea: Nuru Ndossi na Shija Shibeshi wanatajwa kutaka kurejea Tanzania kutokana na ugumu wa maisha. 🇹🇿 Waliorudi Tanzania (4): Brenda Rupia, Gervas Lyenda, Zacharia Obadi, Lucas Ngoto. ℹ️ Maelezo ya ziada: Brenda Rupia alirejea Tanzania wiki moja baada ya kupokea USD 700, na anatajwa kujisitiri ili kurejea kwake kutojulikane, akihofia kuathiri mahusiano na wafadhili. 📌 Tathmini: Ugumu wa maisha nchini Kenya ni tofauti na matarajio ya awali, hali inayosababisha baadhi kurejea na wengine kufikiria kurejea. Inadaiwa pia kuwa ni suala la muda kabla msaada huo kukoma baada ya malengo kufikiwa.
Nyani Ngabu tweet media
Indonesia
18
21
29
3.5K
Wiseman
Wiseman@Bizydan·
Dalali wa kuuza mabinti kwenye kisiwa cha Epstein @MariaSTsehai kupitia miss universe,sasa mambo kwa ushahidi.
Wiseman tweet mediaWiseman tweet mediaWiseman tweet media
Filipino
2
18
18
1.3K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@Getrude_mollel Hii agenda yenu ya UDINI ilisha fail BIG time. Mmepuuzwa vya kutosha ! Badilisheni mwelekeo! Hakuna mpumbavu wa kumsgika maskio humu
Indonesia
0
0
0
6
Getrude Mollel 🇹🇿
Getrude Mollel 🇹🇿@Getrude_mollel·
Na katika hao wakristo zaidi ya 90% ni wakatoliki, usishangae sana kuona kwanini Chadema inashadadiwa sana na kanisa katoliki. Kanisa lilishawahi kutunga Ilani ya uchaguzi ya Chadema 2010 na wakamsimamisha aliyekuwa padre wao kuwa mgombea wa Rais. Hatari sana.
Ugwanda Ng'anzi@UgwandaA52308

Zaidi ya 90% ya viongozi wa kikanda wa Chadema ni wakristo. Wajumbe wa Halmashauri Kuu nao zaidi ya 90% ni wakristo. Ukiona Muislamu ujue ametoka Zanzibar, which is expected because hata by random picking Mzanzibar atakuwa Muislam since kule 98% ni Waislamu. Kuna shida.

Indonesia
6
2
9
1.6K
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Kuna ukweli mchungu ambao CHADEMA hawataki kuusema au wanaogopa Kupotezwa na Heche,kuna hujuma dhidi ya Tundu Lissu anaeendelea kusota Gerezani ambazo zinafanywa na Heche ili aendelee kukaimu nafasi hiyo ya uenyekiti wa chama na kutumia rasilimali za chama kwa manufaa yake binafsi na ndio maana sasa hivi shavu dodo anatafuna posho zote za uenyekiti na hasa ikizingatiwa kuwa ameendelea kaimu uenyekiti. Sasa CHADEMA nawaacha na Maswali unafikiri ni nani anafaidika uwepo wa Lissu gerezani? Kwa nini juhudi za dhati za kupigania uhuru wa Lissu hazionekani kwa viongozi wa CHADEMA Zaidi ya michango ambayo kila siku inaibuliwa na mwisho wa siku zinaishia matumboni mwao, Jiongezeni mtakuja shituka mda ushaisha.
BarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet media
Indonesia
82
14
26
9.5K
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Tusubiri Tume ambayo iliundwa na Rais,hiki ndio chombo pekee ambacho kitatupa ukweli na uhalisia wa kilichotokea okt 29 haya mengine ya wanaharakati kwa kushirikiana na vyombo vya habari vya mabeberu BBC na CNN ni porojo na propanganda ambazo zinataka kuleta taharuki Nchini, hakuna wmbacho watakuambia cha kweli kuliko ambacho tutakipata baada ya tume kutuletea ripoti
Indonesia
2
0
0
77
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
NINI VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA WANAKITAFUTA DHIDI YA TANZANIA? Vyombo vya habari vya kimataifa, hususan BBC, CNN na Aljazeera, vimekuwa vikihusishwa na juhudi za kuchochea propaganda dhidi ya Tanzania kufuatia matukio ya vurugu ya Oktoba 29, 2025. Inadaiwa kuwa mwanaharakati wa Kitanzania, Maria Sarungi, anayehusishwa na chama cha siasa cha CHADEMA, aliratibu kampeni kubwa za mitandaoni wakati na baada ya uchaguzi akiwa jijini Nairobi, kwa kushirikiana na waandishi wa mashirika hayo, ikiwemo CNN Nairobi Bureau. Baadhi ya wanaharakati wanaodaiwa kufadhiliwa, kama Sativa na Hilda Newton, walihamasisha maandamano nchini Tanzania. Ikumbukwe kuwa vyombo hivi vya habari vimeshawahi kushutumiwa kimataifa kwa kuandika habari zisizo na uwiano, huku BBC ikiwa tayari imewahi kuomba radhi kwa makosa ya kiuandishi. Aidha, kuna madai kuwa baadhi ya waandishi wa CNN na BBC walikuwa na taarifa za awali kuhusu vurugu kabla hazijatokea. Baada ya kushindikana kwa matukio ya Oktoba 29, CHADEMA na washirika wao wameibuka na mradi mpya kupitia BBC Africa Eye unaoitwa State of Fear, unaolenga kuichafua Tanzania kimataifa bila kuipa Serikali nafasi ya kujibu. Watanzania tuamke. Dunia inaionea wivu amani na utulivu wa Tanzania, na kuna wanaotamani kuona machafuko yakitokea kwa maslahi yao binafsi. Ni wakati wa kuungana, kulinda amani yetu na kupinga viashiria vyovyote vya kuvunjwa kwa amani vinavyoratibiwa na vyombo vya habari vya kimataifa. AMANI YETU NDIO URITHI WETU, NDIO MAENDELEO YETU — TUITUNZE.
BarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet mediaBarakaWambura tweet media
Indonesia
28
18
22
2.8K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@barakawamb Propaganda hapo ni ipi? Na Ukweli ni Upi??? Ww endelea kuangalia TBC & Safari Chanel kule kuna UKWELI na UWAZI mtupu
Filipino
0
0
0
2
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Jumuiya ya Mtakatifu Yohana Parokia ya Yombo Dovya Januari 27 iliungana na kushiriki zoezi la upandaji wa miti katika kata ya Makangalawe Wilayani Temeke ikiwa ni sehemu ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt . Samia Suluhu Hassan katika siku yake ya kuzaliwa lakini cha ajabu aliyeonekana sehemu ya Msafara wao Bi Agatha Yakobo baadae ilivuja Clip akionekana katika mazingira yakutengenezewa hoja ili aonekane si halisia katika dhehebu hilo bali ni mipango tu ya watu. Kupitia Video hii hapa Mwanamama huyo anakiri kuwa alirekodiwa pasipo matakwa na anathibitisha walipewa vitisho li kutekeleza yote hayo.
Indonesia
60
28
190
31.8K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
💥 Vatican wamepiga kwenye mshono! 🔥 Yaani kumbe mmeenda kuongelea litume kuonyesha kuna uchunguzi ila wao wameeleza watu wanataka uchunguzi huru! Kwa kifupi they saw through you! Picha hata mi kwa koneksheni zangu kesho nikienda Vatican nitapata si ishu! Mwambieni Kombo work done equals to ZERO Na kimama chenu kama anajiamini angeenda mwneyewe Vatican kama alivyoenda kabla! Mwaka huu hamchomoki na mauaji halaiki na #TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
31
118
549
50.2K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@HildaNewton21 Unatuhumiwa huku kupiga hela za Lissu! Nitokeze ujibu mashtaka kumbe na nyie ni wapigaji kiasi hicho! Kenge wahed
Indonesia
0
0
0
6
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Wauaji wamefika Vatican kutaka kujisafisha wanadhan kupiga picha na Papa Leo ndo kutabalisha ukweli kwamba wameuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi kwa kuwapiga risasi. Leo wapo Vatican wanajikomba komba wakat huo huo wakiwa bongo wanampa Habibu Mchange pesa awalipe wahuni ili watukane Kanisa la Katoliki.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
39
69
500
29.3K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@eastafricatv Ndugu,pamoja na kuzima Internet tarehe 29/10/2025 lkn Papa alifanya maombi rasmi ya kuiombea Tz ! Leo mnapeleka unafiki wenu huko? Je wale waliokwenda Ubalozin imekuaje?? Acheni maigizo
0
0
0
7
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Katika kuwasilisha ujumbe wa Mhe Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Balozi Kombo amemuomba Baba Mtakatifu aombee amani nchini Tanzania baada ya maafa yalijitokeza katika uchaguzi Mkuu 2025 Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ameahidi kuiombea Tanzania amani na utulivu, baada ya maafa ya Oktoba 29, mwaka jana, huku akidokeza amewahi kuishi nchini katika mikoa ya Morogoro, Dar es Salaam, Ruvuma na Arusha. Balozi Kombo amekutana na Papa Leo XIV, leo Jumatano Januari 28, 2026 saa chache kabla ya Katekesi ya kiongozi huyo wa kiroho Vatican. Katika hatua nyingine, Balozi Kombo na ujumbe wake ulikutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Vatican, Askofu Mkuu, Paul Gallagher, ambaye pamoja na mambo mengine amewasilisha wito rasmi kutoka kwenye Ukulu Mtakatifu kwa Tanzania kufungua ubalozi Vatican. Kwa sasa Tanzania inawakilishwa kutokea Ujerumani. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet mediaEastAfricaTV tweet media
Indonesia
47
4
114
19.8K
Severine Alphonce
Severine Alphonce@SAlphonce·
@Eric__Bernard Kinacho endelea nyuma ya pazia kwa hili kanisa hapa nnchini ni nni? Bahati nzuri Wakatoliki sio wanafiki!
Indonesia
0
0
0
8
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume. 🙏
MR BEN tweet mediaMR BEN tweet media
Slovenščina
34
6
94
10.2K