SAMIA APP

4.6K posts

SAMIA APP banner
SAMIA APP

SAMIA APP

@Samia_App

Katılım Ağustos 2024
2 Takip Edilen1.3K Takipçiler
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride rasmi la kumaliza Mafunzo la Maafisa Wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha, tarehe 22 Novemba, 2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Filipino
0
0
1
77
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride rasmi la kumaliza Mafunzo la Maafisa Wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha, tarehe 22 Novemba, 2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Filipino
0
3
5
109
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowatunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo cha Kijeshi Monduli Mkoani Arusha leo November 22,2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
2
3
72
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) leo November 21,2025 ambapo kesho November 22,2025 anatarajiwa kuwatunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye Chuo cha Kijeshi Monduli.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
1
2
59
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 21 Novemba, 2025
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
1
50
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2025 kabla ya kuzindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
1
46
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Dkt. Samia Atunukiwa Tuzo ya Rais wa CAF Rais wa Jamhuri ya Muungango wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa tuzo ya Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya mpira wa miguu
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
1
51
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama ya Tanzania Mohamed Chande Othman katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Tume hiyo, Ikulu Chamwino, tarehe 20 Novemba, 2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
3
37
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Ndani ya Siku 100: Kitongoji cha Nyundo B Mtwara Kimepata Umeme Wananchi wa Kitongoji cha Nyundo; Kijiji cha Nyundo B katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba Mkoani Mtwara wameishukuru na kuipongeza Serikali kwa kufikishwa huduma ya umeme
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
1
37
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Ndani ya Siku 100: Vitongoji 965 (64%) Mkoani Arusha Vimeshapatiwa Huduma ya Umeme Kupitia REA
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
1
42
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Ndani ya siku 100; Wakulima 368 Mkoani Mara Wanufaika na Mashine za Umwagiliaji Wakulima wadogo 368 kutoka kata 15 za mkoa wa Mara wamekabidhiwa jozi 34 za mashine za umwagiliaji. Vifaa hivi vinasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao ya bustani na mbogamboga, kupunguza utegemezi wa mvua, na kurahisisha kilimo cha msimu mzima.
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
1
2
43
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Ndani ya siku 100, Serikali imeshatangaza ajira 12,000: 7,000 za walimu na 5,000 za wahudumu wa afya
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
2
2
43
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais Dkt. Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu, tarehe 19 Novemba, 2025, Ikulu Chamwino, Dodoma.
Indonesia
0
0
0
25
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Ndani ya siku 100, Serikali imepiga marufuku vituo vya afya kuzuia miili ya marehemu kwa madai ya malipo ya matibabu
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
0
0
32
SAMIA APP retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 19 Novemba, 2025.
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
0
35
122
8.7K
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza Baraza jipya la Mawaziri, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 17 Novemba, 2025.
SAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet mediaSAMIA APP tweet media
Indonesia
0
2
3
65
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Kuanza Ujenzi wa SGR SGR kutoka Tanga hadi Musoma, na kutoka Mtwara hadi Mbamba Bay (Ruvuma) inayofika pia Mchuchuma na Liganga.
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
1
2
50
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Uzalishaji wa umeme Uwezo umeongezeka kutoka Megawati 1,600 na kufikia Megawati 4,000. Lengo ni kufikia Megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 na kufikia vitongoji vyote nchini.
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
1
1
53
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Uzalishaji wa umeme Uwezo umeongezeka kutoka Megawati 1,600 na kufikia Megawati 4,000. Lengo ni kufikia Megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 na kufikia vitongoji vyote nchini.
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
2
4
38
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
Nishati safi ya kupikia Lengo ni kufikia asilimia 80 ya Watanzania wanaotumia Nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034
SAMIA APP tweet media
Indonesia
0
2
3
39