Daniel Samson

41.5K posts

Daniel Samson banner
Daniel Samson

Daniel Samson

@SamsonDanielDS

Katılım Ocak 2025
84 Takip Edilen271 Takipçiler
Daniel Samson retweetledi
ALLIIGATOR TEARS
ALLIIGATOR TEARS@SunKey1367·
I am not safe..Police are hunting my house…just in case they get me…dont stop saying #FreeTunduLissuNow
English
0
7
10
532
Daniel Samson retweetledi
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
“Msimamo wa mwanadamu haupaswi kuwa gereza la dhamira yake. Kuna nyakati ambapo ukimya huwa mzigo kuliko maneno. Sidai kuwa mimi ni mkamilifu, lakini nimeamua kutii dhamira yangu kuliko kuigiza consistency isiyo na ukweli. Si busara kushinikizwa kuonyesha “uanaume wa kisiasa” kwa kubaki sehemu ambayo dhamira yako haiwezi tena kutulia”
Filipino
141
133
809
26.2K
Daniel Samson retweetledi
ubuntu
ubuntu@UbuntuSt·
@MsigwaPeter Uko sahihi mchungaji japo ulitumia hasira Sana km vile ulikuwa unalipa kisasi Kwa Mzee Wa uchagani ambaye pengine anaweza kuwa hatar kuliko hata kijani yenyewe Kwa demokrasia ya nchi yetu. Kila la heri Mungu akubariki Sana.
Indonesia
1
1
13
717
Daniel Samson retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️HUYU NDO THOBIAS MWESIGA, MUUAJI‼️ Mwesiga kasoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) baada ya kumaliza Chuo, mwaka 2014 aliajiriwa kama afisa wa TISS kitengo cha Siasa Bungeni. Kama mtakumbuka vizuri mwaka 2019 Mwesiga alimtishia Zitto bastola ndani ya bunge, ni tukio ambalo lilizua mjadala sana kwenye mitandaoni ya kijamii, kila mtu akawa anajiuliza huyu jamaa ni nan, wengi tulimfahamu kupitia tukio hilo. Baada ya kumtishia Zitto bastola, Mwendazake Magufuli alimpandisha cheo, alimtoa Bungeni na kumpeleka Ikulu ambako walimfanya kuwa Mkuu wa Dawati la Siasa. Nduli Idd Amin Mama alivoingia tu madarakani alimteuwa Mwesiga kuwa Mkurungenzi wa TPDC April 20, 2021 baada ya watu kupiga kelele sana, akatengua uteuzi wake, Mwesiga alipotea kwenye mambo ya siasa maana baada ya uteuzi wake wa TPDS kutenguliwa, alipelekwa NEMC ambako alikuwa afisa wa kawaida. September 2024 wakati tunajiandaa kwenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa Nduli Idd Amin Mama akamrudisha Ikulu ambako alirudi kuwa Mkuu wa dawati la Siasa na mtu ambae alimpigia chapuo mpaka akarudishwa kwenye hiyo nafasi ni Hussein Bashe maana kipindi hicho Nduli na Bashe walikuwa damdam. Mwesiga aliporudishwa tu kwenye hiyo nafasi kazi yake ya kwanza ambayo alifanya ilikuwa ni kukamata na kutekwa vijana wengi sana na kazi yake ya pili ilikuwa kuharibu Uchaguzi wa Serika za mitaa, votongoji na vijiji ambapo alifyeka majina ya wagombea wote wa Vyama vya upinzani ili maccm yapite bila kupigwa kwenye Uchaguzi wa Novemba 27, 2024. Baada ya kuharibu Uchaguzi wa mitaa aliendelea kuteka na kupoteza watu ambapo alimeka @mdudenyagali Aman Manengelo, Mbeshi Paul, Juma Kaswahili n.k Mwesiga ndo aliyempa maelekezo Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi ili aseme hawatambui Viongozi wetu ambao Mwenyekiti Mhe. Lissu aliwateuwa na Baraza Kuu likawapitisha akiwemo Katibu Mkuu Mnyika, Manaibu na Wajumbe wa Kamati Kuu Mwesiga ndo aliyetumika kumnunua Said Issa na wenzake ili wafungua kesi Mahakamani Kuu ili kuzuia CHADEMA isifanye shughuli za kisiasa Ikumbukwe kwamba Mwesiga na Msajili wa vyama Jaji Mutungi wanatoka Kijiji kimoja ndo maana akiwa kwenye Dawati la Siasa kwa kushirikiana na msajili Mutungi waliweza kuishughulikia Chadema sana Kama mtakumbuka vizuri wakati kampeni ya #NoReformsNoElection ilivoshika kasi kila kona ya nchi, ilipofika September kuelekea Oktoba 29, Kuna vijana zaidi ya 104 kutoka Mikoa mbalimbali nchini akiwemo Mwenyekiti wetu wa Ludewa walitekwa na kupotezwa hadi leo lengo ilikuwa kutisha watu ili wasiandamane Oktoba 29, sasa Mratibu wa matukio hayo ya watu kutekwa na kupotezwa alikuwa ni huyu Mwesiga. Baada ya Oktoba 29, 2025 kupita Mwesiga aliondolewa kwenye Dawati la Siasa kwasababu kuu mbili. 1. Kwenye project ya CHAUMWA aliipiga Serikali haram ya Nduli Idd Amini Mama bilioni 15 ambazo zilikuwa kwa ajili uhamisho wa Mhe. Mbowe kutoka CHADEMA kwenda CHAUMA maana Mwesiga aliwahakikishia kwamba ameshamalizana na Mhe. Mbowe na kwamba Mbowe amekubali kuwa mgombea Urais wa CHAUMA so pesa ilipigwa na Mhe. Mbowe hakwenda CHAUMA Jambo la pili, Mwesiga alikuwa anathumiwa kwamba alikuwa akipanga safu ya Bunge kwa kurecommend kwamba Kamati Kuu ya CCM impitishe fulani kuwa mgombea au imkate. Mwesiga na baadhi ya Viongozi wandaamizi wa Serikali haram walituhumiwa kwamba walipanga safu ndani ya CCM ili waje kupitisha Spika wao, mwisho wa siku waje kumuondoa Nduli Idd Amin Mama kwa Bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani nae na miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa pamoja nae ni pamoja na Job Ndugai, Hussein Bashe, Dotto Biteko, Jenista Muhagama, Tulia Akson, William Lukuvi, Kassim Majaliwa n.k Kwasasa Mwesiga ni afisa wa kawaida ndani ya Mamlaka ya Kudhibiti ya kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) huko kazi yake kubwa ni kuwaomba rushwa watuhumiwa wa kesi kubwa za madawa ya kulevya kwa ahadi ya kwamba atawasaidia kuyajenga na DPP ili awafutie kesi lkn pia anafanya lobbying ili ateuliwe kuwa Mkurungenzi ili aendelee kunufaika na rushwa za wauza madawa.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
27
100
376
19.2K
Daniel Samson retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Huwezi kusema uko ktk chama cha siasa cha upinzani lakini unajizuia kumuunga mkono Lissu aliyeyatoa maisha yake kwa ajili ya mapambano hayo. Wengine wanapoteza muda na pesa za Watanzania.
joseph_selasini tweet media
Indonesia
7
178
678
5.2K
Daniel Samson retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Haijaisha Mpaka iisheeee
Jebra Kambole tweet media
Filipino
4
110
548
4.8K
Daniel Samson retweetledi
John Nguti Chadema
John Nguti Chadema@JohnNgutiCDM·
"Msiogope kwani, Hakuna jambo baya zaidi ya yale ambayo tayari tumeyapitia linaloweza kutupata". Tundu Lissu, 25/05/2026.
John Nguti Chadema tweet media
Indonesia
3
84
386
3.7K
Daniel Samson retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
An icon ✨ of democracy and freedom #FreeTunduLissu Huyu ndo alama na tunu ya Taifa! Mnavyoendelea kumshikilia ndo mnaendelea kumjengea larger than life reputation - sifa ya kipekee! Binadamu huwezi kupangua mipango ya Mungu! Soon Tundu Lissu will be free - wajipange madhulmat!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
6
125
467
4.1K
Daniel Samson retweetledi
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Picha hii inastahili REPOST 500 kama salamu kwa mwenyekiti wetu TUNDU LISSU kwenye magumu yote anayopitia kuwa tupo nae pamoja.🙏🏾
John Pambalu tweet media
Filipino
5
252
689
3.9K
Daniel Samson retweetledi
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA Deogratius Mahinyila ametoa msimamo wa BAVICHA juu ya waliohama chama hiko na sasa kuanza kurejea.
Filipino
0
30
144
3.1K
Daniel Samson retweetledi
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
#TheInterview | Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa amerejea rasmi CHADEMA amesema baadhi ya maneno aliyokuwa akiyasema baada ya kuhamia CCM yalikuwa ni sehemu ya siasa za jukwaani, huku akiomba radhi kwa kauli zake za kipindi hicho baada ya kutangaza rasmi kurudi CHADEMA #TheInterview | #SupaBreakfast | #EastAfricaRadio
Indonesia
3
9
49
2.7K
Daniel Samson retweetledi
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
#TANZANIA: LEMA AMVAA VIKALI MWIGULU SAKATA LA WATU KUTEKWA, AWEKA WAZI ISHU YA BEN SAANANE Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati, Godbless Lema akiwahutubia wakazi wa Dodoma mjini waliojitokeza maelfu kusikiliza hoja za chama hicho Mei 24, 2026 amemvaa vikali Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba kuhusu sakata la utekaji, amkumbusha wakati yuko Waziri wa Mambo ya Ndani sakata la Ben Saanane. Lema amemnukuu Mwigulu juu ya kauli yake ya utekaji kuwa ni ka mchezo na anaujuwa vizuri, Lema amesema Mwigulu aeleze umma wa Watanzania sakata la kutekwa Ben Saanane ni nani alimzuia kuendelea kufuatilia. Zaidi: youtu.be/2OARo80cJP0
YouTube video
YouTube
Indonesia
4
49
162
5K
Daniel Samson retweetledi
Freddie
Freddie@frediejustine·
…. IN THE NAME OF GOD & FOR THE GOOD OF OUR COUNTRY. Haki Huinua Taifa.
Freddie tweet mediaFreddie tweet media
English
1
31
209
2.5K
Daniel Samson retweetledi
Celestine Simba
Celestine Simba@Celestine_Simba·
Najivunia kuwa sehemu ya kanda ya kati. Kwa mara nyingine tumevunja rekodi yetu wenyewe na rekodi ya kanda nyingine. The sleeping giant is about to stand up again. Asanteni kwa kutuheshimisha.
Celestine Simba tweet media
Indonesia
7
48
320
3.9K
Daniel Samson retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Picha hii inastahili REPOST 500 kama salamu kwa mzee wetu TUNDU LISSU kwenye magumu yote anayopitia kuwa tupo nae pamoja.🙏🏾
SIR TIVA tweet media
Filipino
33
1.5K
3.5K
33.7K