sarafina
22.8K posts

Sabitlenmiş Tweet
sarafina retweetledi


Hata ukisema ujikeep busy na kuuza Samaki na Viwanja bado utakwazika tuu
Jamii Forums@JamiiForums
DODOMA: Abubakar Asenga ambaye ni Mbunge wa Kilombero (#CCM) ameyasema hayo Januari 27, 2026 akiwa Bungeni. #JamiiForums #Siasa
Indonesia
sarafina retweetledi

Kila kheri kwenye kulia na kugaragara
KIRA 🤍@Iamkrebkira
First sign of a responsible boyfriend 😌♥️
Indonesia

sarafina retweetledi


@nulphin @MariaSTsehai @lifeofmshaba @HildaNewton21 @C_NyaKundiH @mangekimambi Nacheka Kama mazuri 😀

Ndugu zake wamemuona aise ndo huyu apo Kwenye video 😭😭
NB: This post does not support any violence it's just for awareness


Mateo@luganomwakimi
Huyu jamaa alikuwa anatafutwa sana na ndugu zake hawakumpata leo anaonekana kwenye ile Video ya Mwananyamala amefariki.😭😭😭
Filipino

@MiriamMkanaka Kuna wakati namuuliza Mungu mbona umenyamaza jamaniii yaani naongea mwenyewe siku hizi khaaa naona nakuwa mwendawazimu haki jamani jamani
Indonesia
sarafina retweetledi

Halafu tuendelee na maisha kama kawaida
Msambinungwa😍😂@AnthonyEme27082
Huyu baba nafikiri hakuamini kama binti amefariki ndo mana alivyofika kwenye jeneza kaishia kulipapasa na kuangua kilio kizoto imagine mwanaume tena mtu Mzima analia namna hii inamana huyu binti alikuwa tegemeo kiasi gani Mungu mtie nguvu huyu baba nimelia nae wallah🙌😭😭😭💔
Filipino

@MiriamMkanaka Apumzike kwa Amani 🙏to soon ila Mungu ndio jibu ya yote
Indonesia

Honestly kwa Umati uliojitokeza Bochi kwa ajili ya Clara inaonesha jinsi gani alikuwa mtu wa watu si Mtandaoni wala mtaani kwake
Dar mtu kuacha kazi zake nakuja kukushika mkono ni kazi mno But Mortuary ilijaa mpaka watu wakisimama, Asante kwa X Familia kwa upendo mlionesha
Tuliofika na walio mshika mkono kwa kutoa walicho barikiwa,walio ombea Familia kipindi chote hiki, Shukrani za dhati kwenu, Familia imeshukuru mno kama roho inaona kama wanavyosema basi anatabasamu na upendo wetu, Apumzike kwa Amani🙏❤️

Indonesia
sarafina retweetledi





