Sdk, PhD

37.1K posts

Sdk, PhD banner
Sdk, PhD

Sdk, PhD

@SdkKalula

Father | Husband | Anko | mTz | Part-time Farmer | ICT4D Enthusiast | RTs ARE NOT ENDORSEMENTS |

+255 Katılım Ocak 2013
456 Takip Edilen3.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
Do you and God will do the rest.
English
0
2
12
0
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
@TitoMagoti Poleni sana Tito. Mungu wetu amlaze Magesa mahala pema peponi. Homa ya ini is deadly, tumemzika rafiki yetu Rajabu Mfutakamba a month ago kwa tatizo hilo hilo.
Indonesia
0
0
0
37
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
We lived a lovely, modest, happy life. Washikaji zetu - Kim, Imma, Kabisi, Mahona & co - ni mashahidi wa ushirika wetu. Magesa would've accomplished so much if he were alive. Ila Mungu mjuzi zaidi. Keep resting in peace, my guy Magesa! Mioyo yetu imejawa na shukrani🙏
Tito Magoti tweet media
Filipino
52
53
467
9.3K
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Mwanangu Magesa alikuwa na shida ya tumbo. Awali aliambiwa ana vidonda vya tumbo. Kuna nyakati tumbo likimshika alikuwa hawezi hata kutembea. Siku moja alizidiwa. Tukakimbia hosp. Niliitwa pembeni Daktari akaniuliza: "Magesa ni nani yako?" Nikamjenga! 🧵🧵
Tito Magoti@TitoMagoti

My guy Magesa Gamba battled hepatitis B. It was humiliating to see him in a shape of hopelessness and helplessness. Sikuwahi kujua msiba until I frequented ICU for my G. ‘Saini tuzime mashine maana ubongo ushakufa’ was unbelievable! Keep resting in power, my dawg Magesa🤲

Indonesia
196
168
673
78.2K
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
With DAB there, AFCON yetu come 2027!
English
0
0
0
106
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
RIP Ssebo… You kept us glued to our TVs every Friday. Kilikuwa kijiwe poa.
English
0
1
2
61
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
Ukute katuga & Co ndio Watabe ofisini kwao.
Filipino
3
1
10
1.9K
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
UPUUZI OF THE HIGHEST ORDER.
English
0
0
2
71
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
Grace Matata; that's the tweet.
English
0
0
0
28
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
Hiki kinachoendelea Court Room ni AIBU.
Eesti
0
0
1
59
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
@TitoMagoti Investor, huyu mwanenu miyeyusho sana 😂
Indonesia
1
0
0
22
Sdk, PhD
Sdk, PhD@SdkKalula·
Piga kazi kaka Top Pen @ezekiel_kamwaga
Jambo TV@Jambotv_

VIDEO: Msomi wa Masuala ya Siasa za Maridhiano, mwandishi wa habari mwandamizi, Ezekiel Kamwaga @ezekiel_kamwaga , ametoa dira mpya kuhusu mchakato wa maridhiano ya kisiasa nchini Tanzania, akisisitiza kuwa hatua ya kwanza ni kujenga mtangamano wa tabaka la wanasiasa (Elite Cohesion). Katika uchambuzi wake ulioenea mitandaoni, Kamwaga amebainisha kuwa nchi imefika hatua ambayo maridhiano hayakwepeki kufuatia matukio ya kisiasa ya kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka jana. Amesema kuwa bila viongozi wa vyama hasimu kukutanishwa na kuanza kuaminiana, juhudi nyingine zozote zinaweza kugonga mwamba. Kamwaga, ambaye amebobea katika utafiti wa kwanini siasa za maridhiano hufaulu au kufeli barani Afrika (masomo aliyoyachukua nchini Uingereza), amefafanua: “Maelewano baina ya viongozi wa juu wa kisiasa katika taifa lolote ndiyo hujenga kitu kinaitwa elite cohesion yaani mtangamano wa tabaka la wanasiasa. Kwa sasa hilo halipo na bila hilo itakuwa vigumu kufikia maridhiano yoyote ya kisiasa nchini”.

Filipino
0
0
1
65
Sdk, PhD retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
SC TUNDU AM LISSU.. Amongst the Greatest of All Times!!🫡🙌🏼
English
14
107
620
5.3K