Young Sembo

1.1K posts

Young Sembo banner
Young Sembo

Young Sembo

@SemboYoung

Katılım Kasım 2021
1.5K Takip Edilen87 Takipçiler
Young Sembo retweetledi
Azam TV
Azam TV@azamtvtz·
Kocha Mkuu wa #SimbaSC Zoran Maki leo ametambulishwa rasmi mbele ya waandishi wa habari, ambapo pamoja na mambo mengine, amesema ana kazi kubwa ya kufanya kutokana na #SimbaSC kupata mafanikio makubwa kwenye michuano ya kimataifa barani Afrika. #AzamSports #SisiNiSoka #AzamTV
Azam TV tweet mediaAzam TV tweet media
Indonesia
1
6
254
0
Young Sembo retweetledi
Mwanaspoti
Mwanaspoti@MwanaspotiTZ·
Samatta kwenye vita nzito ya namba Fenerbahce bit.ly/3RqLgZQ
Indonesia
0
1
21
0
Young Sembo retweetledi
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
"Timu yetu itaondoka tarehe 14 mwezi huu kwenda kwenye mji wa Ismailia nchini Misri na itarudi Agosti 5. Tutaondoka na wachezaji wote isipokuwa wale ambao watakuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa. Tukirejea itakuwa ni Simba Day."- Ahmed Ally.
Indonesia
0
1
28
0
Young Sembo retweetledi
FC Barcelona
FC Barcelona@FCBarcelona_es·
Familia azulgrana
Español
18
180
4.7K
0
Young Sembo retweetledi
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
"Timu yetu itaondoka tarehe 14 mwezi huu kwenda kwenye mji wa Ismailia nchini Misri na itarudi Agosti 5. Tutaondoka na wachezaji wote isipokuwa wale ambao watakuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa. Tukirejea itakuwa ni Simba Day."- Ahmed Ally.
Indonesia
3
6
366
0
Young Sembo retweetledi
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
"Kocha Zoran Maki tumeingia nae mkataba wa mwaka mmoja lakini tunaweza kuongeza mkataba kama akifikia malengo. Tunataka kurudisha ubingwa wetu wa Ligi Kuu na ASFC lakini pia Ngao ya Hisani. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika tunataka kufika nusu fainali."- Ahmed Ally.
Indonesia
0
2
33
0
Young Sembo retweetledi
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
"Kocha Zoran Maki tumeingia nae mkataba wa mwaka mmoja lakini tunaweza kuongeza mkataba kama akifikia malengo. Tunataka kurudisha ubingwa wetu wa Ligi Kuu na ASFC lakini pia Ngao ya Hisani. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika tunataka kufika nusu fainali."- @ahmed__ally
Indonesia
7
4
209
0
Young Sembo retweetledi
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
"Nipo hapa kuifanya Simba kuwa bora zaidi ya msimu uliopita. Mwaka huu ilimaliza nafasi ya pili, msimu ujao kuwa ya kwanza, msimu uliopita ilikuwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika na mwaka huu kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika."- Kocha Simba Zoran Maki.
Indonesia
0
1
33
0
Young Sembo retweetledi
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
🗣 “Nipo hapa kuifanya Simba kuwa bora zaidi ya msimu uliopita. Mwaka huu ilimaliza nafasi ya pili, msimu ujao kuwa ya kwanza, msimu uliopita ilikuwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika na mwaka huu kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.” - Kocha Zoran Maki.
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Indonesia
0
7
374
0
Young Sembo retweetledi
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Pumzika kwa amani totoo 😓
Latviešu
3
4
66
0
Young Sembo retweetledi
Gem🫶
Gem🫶@gemstick01·
"Timu yetu itaondoka tarehe 14 mwezi huu kwenda kwenye mji wa Ismailia nchini Misri na itarudi Agosti 5. Tukirejea itakuwa ni Simba Day. Usajili kesho tutaendelea kwa kushusha mchezaji mkubwa. Huu sio usajili wa Afrika bali wa dunia itasimama."- Ahmed Ally.
Gem🫶 tweet media
Indonesia
19
10
717
0
Young Sembo retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
🚨 Mkutano wetu na wanahabari unaanza sasa. Kaa karibu na kurasa zetu. #NguvuMoja
Indonesia
32
49
1K
0
Young Sembo retweetledi
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
#MICHEZO Klabu ya @SimbaSCTanzania inatarajiwa kuweka kambi ya wiki 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23 katika mji wa Ismailia nchini Misri huku kikosi hicho kikitarajiwa kuondoka nchini mnamo Julai 14 na kurejea nchini mnamo Agosti 5,2022. #EastAfricaRadio
EastAfricaRadio tweet media
Indonesia
6
4
164
0
Young Sembo retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
"Tupo kwenye mkutano wa kuonyesha dira mpya ya Simba kuelekea kwenye msimu mpya. Mbele yenu ni kocha wetu mpya, Zoran Maki."- @ahmed__ally #NguvuMoja
Indonesia
17
48
750
0
Young Sembo retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
"Kocha Zoran Maki tumeingia nae mkataba wa mwaka mmoja lakini tunaweza kuongeza mkataba kama akifikia malengo. Tunataka kurudisha ubingwa wetu wa Ligi Kuu na ASFC lakini pia Ngao ya Hisani. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika tunataka kufika nusu fainali."- @ahmed__ally #NguvuMoja
Indonesia
52
60
909
0
Young Sembo retweetledi
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
"Timu yetu itaondoka tarehe 14 mwezi huu kwenda kwenye mji wa Ismailia nchini Misri na itarudi Agosti 5. Tutaondoka na wachezaji wote isipokuwa wale ambao watakuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa. Tukirejea itakuwa ni Simba Day."- @ahmed__ally #NguvuMoja
Indonesia
20
55
839
0