Gem🫶

4.4K posts

Gem🫶 banner
Gem🫶

Gem🫶

@gemstick01

Katılım Ağustos 2021
50 Takip Edilen406.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Gem🫶
Gem🫶@gemstick01·
Ni Bora kujenga nyumba ya Vyumba Vitatu Kibaha ndani ndani uishi huko au kupanga Apartment Kali Tabata?
Gem🫶 tweet media
Indonesia
108
43
1.5K
110.6K
FC Barcelona
FC Barcelona@FCBarcelona_es·
𝐂𝐎𝐌𝐔𝐍𝐈𝐂𝐀𝐃𝐎 𝐌𝐄́𝐃𝐈𝐂𝐎 El jugador del primer equipo 𝗠𝗮𝗿𝗰𝘂𝘀 𝗥𝗮𝘀𝗵𝗳𝗼𝗿𝗱 presenta unas molestias en la rodilla izquierda derivadas de un golpe recibido en el partido ante el Mallorca. Es baja por precaución para el partido de mañana contra el Atlético de Madrid.
FC Barcelona tweet media
Español
405
639
19.1K
3.8M
Boniface Jacob
Boniface Jacob@ExMayorUbungo·
Oyaaaaaaa wakimaliza kuuza akiba yetu ya dhahabu nasikia wataanza kutuuza watu Wanene. Vibonge wote nawapa hii code,kaeni kimasta sana,lolote linaweza kuwakuta. Kama unajijua ni Kibonge usitembee ovyo usiku.Vibonge wanahitajika sana huko uarabuni kama Wapishi.
Boniface Jacob tweet media
Indonesia
140
270
2.1K
53K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Hiyo move ya kuuza dhahabu hiyo pesa itaenda kutafunwa tu!! Aliesema kuna siku hii nchi itauzwa yote hakukoseaga……Red flags ndio hizo!! Na kwa bunge hili la familia moja, hakuna pale wa kuishauri wala kuisimamia serikali, kila mtu anaangalia maslahi yake binafsi!!
Indonesia
64
182
1.6K
31.8K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Hili la kila mbunge kumsifia Rais bungeni, msingi wake huwa ni nini? Ni wanapewa script hiyo wapite nayo au? Ili iwe nini!? Wasipofanya hivyo kwani ni Consequences zipi wanahofia watakutana nazo ikiwa mbunge hatolewi hadi amalize term yake!! Na mbona wapo waliosifia last term na hawajarudi!! Kazi ya kubwa ya bunge ni kuisimamia na kuishauri serikali na idara zake!! Kuwasilisha maslahi ya wananchi na kutunga sheria!! Hili la kumsifia Rais na kumtetea kila kitu ni wrong move!! Ikiwa urais ni taasisi na unaisifia kila saa taasisi hiyo ambayo ndio serikali unayopaswa kuisimamia…..🤔 Wale sio wawakilishi wa wananchi ni wahuni tu waliovaa suti na tai!!
Indonesia
56
106
849
29.8K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Tumepeleka na bado tunapeleka ndugu zetu, jamaa na marafiki kwa waganga wakatibiwe akili tukiamini wamerogwa!! Ukweli ni kwamba haya ni maradhi ya afya ya akili yanayopaswa kutibiwa hospitali ama kwenye idara za afya ya akili na wala sio ushirikina!! Cha ajabu wakati mwingine hata hospital wanashindwa na kukushauri ukajaribu kwa waganga au nyumba za ibada!! Kuna mawili…. its either huduma zetu za afya sio bora, au bado tuna jamii yenye imani za kishirikina zaidi ya uhalisia uliopo!!
Filipino
48
44
694
30.4K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na mwingi wa rehema kwa kunijalia kuifikia siku nyingine ya kumbukizi ya kuzaliwa na umri wa miaka 66. Kwa moyo wa dhati, nimepokea na ninawashukuru nyote kwa salamu zenu za upendo. Nimesherehekea siku hii kwa kupanda miti. Wito wangu kwenu, tujenge na tuendeleze utamaduni wa kupanda miti na kutunza mazingira ili nayo yaendelee kututunza sisi na vizazi vijavyo.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
354
166
615
52.7K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
Kenya is preparing for a major infrastructure push as key national stadiums are scheduled to be shut down for upgrades, with the goal of reaching elite continental standards before AFCON 2027. 🏟️✨ Authorities are under real pressure to deliver venues that match the level expected for a tournament of Morocco’s benchmark quality and time is ticking. Big test off the pitch, long before the first ball is kicked. #AFCON2027 #AfricanFootball #AFCONwithMicky
Micky Jnr tweet media
English
10
20
208
11.8K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
Ramovic is quietly cooking at CR Belouizdad this season: 📊 So far: • 23 games • 12 wins • 7 draws • 4 defeats 🏆 2nd in the Algerian Ligue 1 🌍 Top of their CAF Confederation Cup group 🏆 Through to the Algerian Cup quarter-finals That’s consistency on all fronts that is the league, Africa and domestic cup. Serious work flying under the radar. #CRB #AfricanFootball
Micky Jnr tweet media
English
6
2
186
9.7K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 Simba wanafahamu Chama huyu sio yule, lakini bora uwe na huyu kuliko kuwa na Mutale ambaye hajui afanye nini akiwa ndani ya boksi la adui. Kuna kundi kubwa la wanachama na mabosi ambao wamesamehe yote yaliyopita kuhusu Chama kuliko kumuona Mutale akikokota mpira kuelekea kwa adui.” — Edo Kumwembe.
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Filipino
25
30
827
39.6K
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Kipa wa zamani wa timu ya Taifa Tanzania @TaifaStars_ na Yanga SC, Peter Manyika amefariki dunia Alfajiri ya leo katika Hospital ya St. Monica, DSM. Mwili wake umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala huku chanzo cha kifo chake kikielezwa kuwa ni kuugua kwa muda mrefu. #KitengeUpdates
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
10
12
440
20.4K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Wanangu wa Manchester twendeni kwanza kanisani halafu tukitoka tukafanye shughuli yetu kizalendo kabisa ili tukomboe mpira wetu
Presenter Noah tweet media
Indonesia
6
1
59
2.1K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
Three eras. Three icons. One impossible choice… Sadio Mané 🇸🇳 – Humble king, UCL winner, AFCON hero, carried a nation on his back. Samuel Eto’o 🇨🇲 – Serial winner, UCLs, trebles, big-game animal. Different level of mentality. Didier Drogba 🇨🇮 – The final boss. Big matches = Drogba time. Chelsea legend, clutch DNA. Different generations, same greatness. African football royalty. 👑🌍 I’m not starting a war but… who’s YOUR favorite? 👀 #AfricanFootball
Micky Jnr tweet media
English
53
94
790
53.3K
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Miroshi büyük maçlarda harika bir oyuncu, forvet ve aynı zamanda tüm savunma pozisyonlarında da oynayabiliyor, Fenerbahçe maçında başarılar dileriz.
Shaffih  Dauda tweet media
Tanzania 🇹🇿 Türkçe
12
6
368
34.9K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Watu gani Wanastahili Kuongezewa Salary? 1. Walimu 2. Polisi 3. Madaktari 4. Mawakili Nasoma Comments Wanangu
Indonesia
81
24
258
21K
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Haya mahusiano yametupa funzo, ukiweza kumuweka mbali mpenzi wako na Mitandao ya Kijamii utaepusha Mengi.
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
31
26
868
65.4K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Tuliwaambia TUTAKUJA KAMA MAZOMBIE. Siku imefika mamae. ASSno hawaamini macho yao.
Indonesia
35
67
735
36.9K