shady msigwa retweetledi

4. Yohana
Yohana ndio mtume pekee aliyeaminiwa kufa kifo cha kawaida.
Ingawaje haikuwa rahisi lakini alifika uzeeni.
Inasemekana Yohana alipitia mateso makali ikiwamo kuchemshwa kwenye pipa la mafuta. Baada ya kushindikana kufa Alifungwa na kupelekwa kisiwa cha Patmo, ambako aliona maono yaliyoandikwa katika kitabu cha Ufunuo. Yohana Alikufa akiwa mzee huko Efeso.


Indonesia






















