Enhee Who are you limejibiwa na mwingine
$3.4 billion tokea uhuru alafu huyu Kimama anauliza ninyi ni akina nani?!
Wendawazimu huu!
Dunia imeshasanuka hii si demokrasia!
Ndo maana tunasema #SamiaMustGo ASAP
#D9+
Familia ya Neema Steven Chozaile, Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita Vijijini, imevamiwa na polisi leo alfajiri saa 11 na kukamatwa watu wote waliokuwepo nyumbani, wakiwemo watoto wadogo. Walipigwa wakilazimishwa kusema alipo mama yao.
@MariaSTsehai Lakini sauti ile ile ya Mungu inasikika leo:
“Waambie Watanzania waendelee mbele.”
Bahari yetu itagawanyika.
Haki itashinda.
Utawala wa Farao utazama.
Tunaendelea mbele.
Mungu yupo pamoja nasi.
Tanzania itaokoka.
🇹🇿✊🏾🔥
Jamani Dar es Salaam naona sasa watu wanasema waende Ikulu 😓
Mmepandisha hasira watu kwa kuuwa gizani! @SuluhuSamia huwezi kutuua alafu ukatuongoza!
Push push 🇹🇿
Huyu Mama asikae hata dakika moja ana Janjaweed yake
#Uchafuzi2025
Hii Nchi inahitaji Uhuru na ukombozi wa haraka sana.
Inawezekanaje mtandao unavurugwa.
Maisha, biashara za watu zinaharibiwa kwasababu ya ujinga na hakuna mtu wa kujibu au kuwajibishwa?
TRA mtakusanya kodi kwenye biashara za mitandao ambayo haiko reliable mtu mmoja au wawili kwa mapenzi yao wanaweza kuvuruga mtandao wa watu millioni 65!!!!
Shame.
China sio bidhaa tu wanaship hadi tech.
Nanunuaga kila kitu kuanzia VPN premium,spotify logs, na software kibao.
Tena kwa bei ya chini sana
Nilete THREAD au nyie wajuaji? Au nikiwaita kwa Fursa nyie ndo FURSA?😂
Kesho popote ulipo ungana nasi kwa maombi ya kufunga na kuomba kwa ajili ya mdogo angu @DEUSDEDITHSOKA na wenzake.
Ambao kesho watatimiza mwaka mmoja tangu watekwe na Jeshi la Polisi.
Tufanye Ibada kwa ajili yao naamini Mungu wa Mbinguni atatenda.🙏🏻😭
Tangia nizaliwe kwa mara ya kwanza leo Ndo namuo mwanadada wa Tanzania ambae ni msanii kua na akili timamu..hakika No Reform No Election imewatoa Nyoka Pangoni