Sabitlenmiş Tweet
Tanzania Media Women
11.3K posts

Tanzania Media Women
@TAMWA_
A peaceful Tanzanian society which respects human rights from a gender perspective. #ZuiaUkatili #WanawakeWanaweza
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2013
648 Takip Edilen14.2K Takipçiler

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani: Zifahamu Sifa na Umuhimu wa Nyuki
@mfukowamisitu @MNRT_Tanzania

Indonesia

Tunaamini mdahalo huu wa leo utaleta mawazo chanya, ubunifu, na kutoa suluhu za pamoja katika kutokomeza ukatili wa kijinsia bila kumuacha yeyote nyuma,” Dr. Rose Reuben Mkurugenzi wa TAMWA. #SautiZetu #ZuiaUkatili #GIZ




Filipino

Leo TAMWA kwa kushirikiana na GIZ wanaendesha mdahalo wa kitaifa wa ushiriki wa wanaume katika kutokomeza ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto #ZuiaUkatili #SautiZetu #GIZ

Filipino

"Mpaka kufikia 2035 tunatakiwa kuwa na vyombo vya habari vinavyozalisha maudhui yenye tija na kuthamini waandishi wa habari kwa ajili ya habari zenye tija kwa taifa" Dkt Rose Reuben - Mkurugenzi -TAMWA #Worldpressfreedomday #WomenInMediaTz #Vikes #IMS

Indonesia

Mwisho wa kutuma maombi ya kujiunga kuwa mwanachama wa TAMWA ni tarehe 14/04/2026 #tamwa #agm #womeninmediatz

Filipino








































