Tanzania Insurance Regulatory Authority

441 posts

Tanzania Insurance Regulatory Authority banner
Tanzania Insurance Regulatory Authority

Tanzania Insurance Regulatory Authority

@TIRA_TZ

Official Twitter Page of Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA)

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2018
3 Takip Edilen1.1K Takipçiler
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Waziri wa utamaduni, sanaa na michezo, Dkt. Damas D. Ndumbaro ambaye ni mgeni rasmi katika tukio la uzinduzi wa taarifa ya utendaji wa soko la bima kwa mwaka 2022 akizungumzia hali ya soko la bima Tanzania kwa mwaka 2022. #tirakwasokosalamalabima
Tanzania Insurance Regulatory Authority tweet media
Indonesia
0
0
1
245
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Wadau mbalimbali wa bima na wageni waalikwa wakiwasili katika tukio la uzinduzi wa taarifa ya hali ya soko la bima Tanzania kwa mwaka 2022. Tupo mubashara kupitia Youtube
Tanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet media
Indonesia
0
0
8
210
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Leo Octoba 2, 2023 TIRA imetangazwa mshindi wa 3 upande wa Taasisi za Serikali zilizotoa mchango kwenye maswala ya uwezeshaji wananchi kiuchumi 2022/23. Tuzo za washindi zimetolewa mjini Dodoma na Mhe. Kassim Majaliwa (Mb.) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye
Tanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet media
Indonesia
1
2
9
543
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Jirani kuimarisha biashara zao. Kampuni zinazounda Konsotia ya Mafuta na Gesi ni 22 ambapo TanRE ni Msimamizi wa Konsotia huku Phonex ikiwa ni Kampuni kiongozi.
Indonesia
0
0
1
78
Tanzania Insurance Regulatory Authority
wabunifu katika biashara zao na kwamba Serikali ipo tayari kutoa ushirikiano stahiki. Nao Mabalozi wa Bima Mh. Japhet Hasunga na Mh. Wanu Ameir kwa upande wao wamemshukuru Mh. Dkt. Biteko kwa kufungua Milango kwa Makampuni ya Kitanzania ya Bima kutumia fursa zilizopo nchini na
Indonesia
2
0
1
110
Tanzania Insurance Regulatory Authority
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mh. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 19, 2023 amekutana na Kamishna wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware pamoja na Naibu Kamishna Bi. Khadija Said ambao waliambatana na Mabalozi wa Bima, Viongozi wa TIRA Pamoja na Kamati ya Ufundi ya
Tanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet mediaTanzania Insurance Regulatory Authority tweet media
Indonesia
1
2
2
232