CCM TABORA ONLINE TV

3.6K posts

CCM TABORA ONLINE TV banner
CCM TABORA ONLINE TV

CCM TABORA ONLINE TV

@TaboraCcm

CHAMA IMARA,SERIKALI MADHUBUTI#KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI NDG.SAMIA SULUHU HASSANI

Katılım Mayıs 2021
4.8K Takip Edilen5K Takipçiler
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo jijini Dodoma nimezindua minara 758 ya mawasiliano pamoja na maunganisho ya Mkongo wa Taifa katika wilaya 85, na kukabidhi Mkongo wa Mawasiliano serikalini. Minara hiyo ambayo ujenzi wake niliuzindua mwaka 2023 imefikisha huduma za simu na intaneti, kwa mara ya kwanza, kwa wananchi milioni 8.5 kwenye vijiji 1,400, hatua ambayo imeimarisha huduma na kufungua fursa za ajira na kiuchumi. Azma yetu ya kuimarisha sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) inatokana na ukweli kuwa katika dunia ya leo mawasiliano si anasa, bali daraja la fursa. Pia, ni utekeleza wa Dira ya 2050 na Ilani ya CCM ya mwaka 2025 ambazo zinalenga kujenga uchumi wa kidijitali katika kukuza fursa za biashara na ajira, kuboresha huduma na kukuza maendeleo ya nchi yetu. Ili kufikia malengo yetu;- 1. Tutaboresha zaidi uwekezaji katika sekta ya TEHAMA. 2. ⁠Tutatoa mikopo kwa kampuni changa za vijana. 3. ⁠Tutajenga chuo cha umahiri cha kidijitali Dodoma. Vilevile, nimeelekeza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ihakikishe huduma za mkongo zinashuka hadi vitongojini ili wanananchi wote, hasa vijana, wanufaike, miundombinu ya mawasiliano ilindwe na huduma za mawasiliano zizingatie maadili ya Kitanzania.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
69
72
244
17.7K
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Mwenyeki wa Cham Cha Mapinduzi Mkoa wa Tabora Ndg SAID JUMA NKUMBA (MNEC) akitoa salamu za Rambi Rambi Kwa kifo cha Mkt wa CCM Tawi la Nyambele Kata ya Itonjanda Wilaya ya Tabora. KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
1
77
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
PONGEZI HONGERA Ndugu JONACE KALIKAWE Kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyeki wa SENETI Mkoa wa Tabora. KILA LA KHERI KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
2
94
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
PONGEZI HONGERA Ndugu RAMADHAN KADOGOSA Kwa kuchaguliwa kuwa katibu wa SENETI Mkoa wa TABORA KILA LA KHERI KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
82
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
ULYANKULU Wananchi wa Jimbo la ULYANKULU wamempa zawadi ya Mbuzi Mbunge wao MHE JAPHAEL LUFUNGIJA kwajili ya CHRISTMAS NA MWAKA MPYA
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
64
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
KALIUA Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya kaliua wamemchagua Mhe WILLIAM MAGEMBE kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya hiyo kwa kipindi cha 2025-2030 MHE MAGEMBE alipigiwa Kura zote 36 za ndio. KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Filipino
0
0
0
58
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
KALIUA Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya KALIUA wamemchagua Mhe ANNASTAZIA SANFORD BEBETE kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya kaliua kwa kipindi cha 2025-2030 MHE BEBETE alipata Kura 33 za ndio na Kura 3 za hapana KAZI NA UTU TUNASONGEMBELE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Filipino
0
0
0
28
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Leo 28/11/2025 Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Tabora kimemteua Ndg HAMIS SHABAN MLOLWA kuwa Mgombea wa Udiwani Kata ya NDONO Wilaya ya Uyui kufuatia aliekuwa Diwani Mteule wa Kata hiyo kufariki KILA LA KHERI KAZI NA UTU TUNASONGA
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
1
29
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Tabora 28/11/2025 kimemteua Ndg HAMIS SHABAN MLOLWA kuwa Mgombea wa Udiwani Kata ya NDONO Wilaya ya Uyui kufuatia alikuwa Diwani Mteule wa Kata hiyo kufariki KILA LA KHERI KAZI NA UTU TUNASONGA
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
18
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA NDUGU:KULWA SHUSHI Diwani Mteule wa Kata ya ITONJANDA amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa na @ccm_tanzania kugombea Nafasi ya MEYA wa Tabora Manispaa 21/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
12
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA NDUGU MUSA KAHOLWE Diwani Mteule Kata ya KITETE amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya @ccm_tanzania kuomba kuteuliwa kugombea Nafasi MEYA wa Tabora Manispaa 21/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
12
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu GHULAMHUSSEIN DEWJI Diwani Mteule wa Kata ya KANYENYE amechukua fomu na kurejesha ya kuomba ridhaa ya @ccm_tanzania kugombea Nafasi ya Meya wa Tabora Manispaa. 20/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
15
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Chama cha Mapinduzi Wilaya TABORA Mjini kimeendelea na zoezi la ugawaji fomu kwa watia Nia wa kuomba ridhaa ya CCM Kwa Nafasi za MEYA ,NAIBU Meya wa Tabora Manispaa zoezi hilo limeongozwa na katibu wa uvccm Wilaya ya Tabora Ndugu MUDHALU KAMUGA KAZI NA UTU TUNASONGA MBEPE
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
24
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu:KESSY ABDULRAHMAN Diwani Mteule waKata YA GONGONI amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya @ccm_tanzania Cha Mapinduzi kuteuliwa kugombea Nafasi ya NAIBU MEYA wa Tabora Manispaa 20/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
18
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu SALMA MWENDAPOLE JUMA Diwani Mteule wa Kata ya TUMBI amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya @ccm_tanzania cha Mapinduzi kuteuliwa kugombea Nafasi ya NAIBU MEYA wa Tabora Manispaa 20/11/2025 KILA LA KHERI
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
18
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu: KHADIJA BUNDUKI Diwani Mteule wa Vitimaalum Tabora Manispaa amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa na @ccm_tanzania cha Mapinduzi kugombea Nafasi ya NAIBU MEYA wa Tabora Manispaa 20/11/2025. KILA LA KHERI
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
11
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu SALUMU MSAMAZI LUGEMBE Diwani wa Kata ya IKOMWA amechukua fomu ya kuomba ridha ya Chama cha Mapinduzi kugombea Nafasi ya NAIBU MEYA wa Tabora Manispaa 20/11/2025 KILA LA KHERI
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
11
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu:MOLO JUMA MOLO Diwani Mteule wa Kata ya IPULI amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea Nafasi ya Meya wa Tabora Manispaa 20/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
9
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu RAMADHAN SHABAN KAPELA Diwani Mteule wa Kata ya ISEVYA amechukuana kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kutetea Nafasi ya Meya wa Tabora Manispaa. KILA HATUA DUA.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
12
CCM TABORA ONLINE TV
CCM TABORA ONLINE TV@TaboraCcm·
TABORA Ndugu: SAADA MALUNDE Diwani Mteule wa Kata ya Ndevelwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Nafasi ya Meya wa TABORA Manispaa 20/11/2025 KILA LA KHERI.
CCM TABORA ONLINE TV tweet media
Indonesia
0
0
0
10