Orengo Msangi
20.9K posts

Orengo Msangi
@TaleMsangi
|God’s son|Family Man|Romans’ 5:8| Baba Hazel & Harvey| #ArsenalFc #Yanga #Talesmart28 #Cosmetics #scents
Arusha, Tanzania Katılım Aralık 2020
512 Takip Edilen1.5K Takipçiler

Mimi bora usinialike kama ni hivi...pilau second hand hili 😭😭
Ray Asel@rayasel94
Uzuri waislamu sio wachoyo 😀
Indonesia

Hiyo nyama unaweza hata kuonja chumvi kweli bila kuleta manung'uniko mezani?
Nurse Saphia@StoneSaphia
Huyu baba ndio maana akija kwangu akiondoka harudi anaondoka kama hakuacha mke dar imagine toka nimeanza kupika saa tatu asubuhi mpaka sasa sijaivusha hata mboga huku watu wengine washakula wakasahau naona aibu 😔
हिन्दी
Orengo Msangi retweetledi

Hii sio sawa!
BARADHULI🇹🇿@Baradhuli2
Hilo tumbo limejaa sadaka za walala hoi kesho mbele ya Mungu litakuzwa liwe kama mlima kilimanjaro.
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
Orengo Msangi retweetledi

@TaleMsangi Ali-relax, game haichezwi kwa shortcut kila siku, kuna kesho.😂😂
Filipino

Tulia janja, ulikuwa unawaza hivi hivi kweli kabla kula kandarasi mawinguni?
Farhan Kihamu Jr@FKihamu
Nadhani inasound sana Mwanamke apewe hela bila kuanza Yeye kuomba omba, yafaa pia Mwanaume atoe pesa bila kuombwa.
Indonesia
Orengo Msangi retweetledi

*“Dear waha na wasukuma”
Niffer💕@NifferSancho_
Dear men, acheni kuvaa bukta za team za mipira kama boxer….
Filipino

@TaleMsangi @MarekaMalili Mimi? Abaya si ndio nasikia ni sawa na bajeti yangu ya miezi 6? 😃🚮🚮
Indonesia

Mbongo ukiwa unatumia “you is…..” si ataona anachati na pang’ang’a?
Daily Noud@DailyNoud
Jack Harlow shoots his shot with Ice Spice and FAILS 😬😭
Filipino









