TimesMajira

16.8K posts

TimesMajira banner
TimesMajira

TimesMajira

@TimesMajira

Ukurasa Rasmi wa Gazeti la Majira

Katılım Eylül 2018
281 Takip Edilen780 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Tanzania inaendelea kung’ara kwenye jukwaa la kimataifa! Katika tuzo za hivi karibuni za World Travel Awards, nchi imejipatia tuzo kadhaa za heshima, ikithibitisha sifa yake kama kivutio kikubwa cha utalii.
TimesMajira tweet mediaTimesMajira tweet media
Filipino
7
5
6
2.8K
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
na wanachama hao waweze kuelewa kazi ya serikali nanamna inavyo endelea kuleta maendeleo na kuboresha huduma ya maji katika Jimbo la Mbarali. #TimesMajiraUpdates
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
1
80
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Katika hatua nyingine Mbunge Bahati Ndingo amewaongoza wananchi na wanachama wa umoja wa wanawake wa UWT wilaya Mbarali kutembelea mradi mkubwa wa maji wa miji 28 uliopo katika kata ya Lugelele unaogharimu kiasi Cha fedha Bilioni 52 Ili wananchi
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
2
101
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
MBUNGE wa Jimbo la Mbunge Mbarali ,Bahati Ndingo amekabidhi Mitungi ya gesi 100 kwa mama Lishe Wilayani humo kwa lengo la kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika matumizi ya nishati Safi ili kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi.
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
3
150
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu serikali mtandao (ICT). #TimesMajiraUpdates
TimesMajira tweet media
Indonesia
0
0
1
39
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Akizungumza wakati wa makabidhiano ya vitendea kazi vya kielektroniki (printa) kwa ajili ya kurahisisha utoaji wa leseni katika ofisi za RPC, Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa Temeke, Masau Malima, alisema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
1
48
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Jeshi la Polisi Tanzania limeihakikishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ushirikiano wa karibu ili kuhakikisha kazi zao zinafanyika kwa ufanisi, kwa kuwa majukumu yao yanategemeana kwa kiasi kikubwa.
TimesMajira tweet media
Filipino
1
0
4
97
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Jumla ya mali za benki hiyo zimeongezeka kwa 4.7%, kufikia TZS trilioni 3.1, na kuimarisha nafasi yake kama mojawapo ya taasisi zinazoongoza katika sekta ya kifedha Tanzania. Kiasi cha mikopo yake kimefikia TZS trilioni 1.8, ikirekodi ongezeko la kuvutia la 19.1% kwa mwaka.
TimesMajira tweet media
Indonesia
0
0
3
52
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Aidha Mbunge Bahati Kenneth Ndingo amekabidhi Mitungi ya gesi kwa mamantilie 100 kwa lengo la kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan kwaajili ya matumizi ya nishati Safi ili kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi
TimesMajira tweet media
Indonesia
0
0
0
20
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
maalumu waliopo katika shule ya msingi Igomelo , Mashuka ,Sabuni na mafuta kwaajili ya wagonjwa waliopo katika hospital ya wilaya
TimesMajira tweet media
Filipino
1
0
1
19
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
JUMUIYA ya umoja wa wanawake Tanzania UWT wilaya Mbarali imefanya maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 48 tangu kuzaliwa kwa chama Cha mapinduzi CCM
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
4
44
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Mashina yaliyozinduliwa ni Tazara Mbuyuni, Uhamila, Magea na shina la dume CCM.
TimesMajira tweet media
Filipino
0
0
1
14
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
CCM wilayani Mbarali imesema kupitia utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM kwa mwaka 2020-2025, ni wazi kwamba CCM itaibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mwaka huu kutokana na usimamizi wake wa ilani kupitia miradi mbalimbali.
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
0
12
TimesMajira
TimesMajira@TimesMajira·
Mwenyekiti wa jumuiya ya vijana wa CCM (UVCCM) wilayani Mbarali Medson Mwambapa kwa niaba ya mwenyekiti wa vijana mkoa Yassin Ngonyani, amewataka wanachama wa CCM kuendelea kutembea kifua mbele kutokana na kazi zinazoendelea kutekelezwa na Chama hicho
TimesMajira tweet media
Indonesia
1
0
2
34