UCSAF-Tanzania
948 posts

UCSAF-Tanzania
@UcsafT
Universal Communications Service Access Fund ( UCSAF)was established to facilitate access to communication services. For more information call 0800110700
Dodoma, Tanzania Katılım Şubat 2021
14 Takip Edilen1.4K Takipçiler
UCSAF-Tanzania retweetledi

BADO SIKU 18!
Jiandae kwa Mkutano Mkuu wa 14 wa Afrika wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao (AfIGF)
Tarehe: Mei 29 - 31, 2025
Mahali: JNICC, Dar es Salaam, Tanzania
Kaulimbiu: Kuwezesha Mustakabali wa Kidijitali wa Afrika.📍
#AfIGF2025 #MtandaoAfrika #Kidijitali #TanzaniaYaKidijitali

Filipino

JINSI YA KUPIGA KURA Skani ama tumia link hii👇kujisajili na kupiga kura.
itu.int/net4/wsis/stoc…
KIPENGELE CHA MRADI: AL C2. INFORMATION INFRASTRUCTURE
JINA LA MRADI: RURAL TELECOMMUNICATION IN ZANZIBAR- ▶️Kisha VOTE FOR THIS PROJECT.

Slovenščina

📌UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MINARA 758 NCHINI.
Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Kilimanjaro. Mgawanyo huu ni idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa husika na Wilaya zake.
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconony
#Minara758NchiNzima.

Indonesia

📌UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MINARA 758 NCHINI.
Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Manyara. Mgawanyo huu ni idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa husika na Wilaya zake.
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconony
#Minara758NchiNzima.

Indonesia

📌UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MINARA 758 NCHINI.
Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Tanga. Mgawanyo huu unaonyesha idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa husika na Wilaya zake.
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconony
#Minara758NchiNzima.

Indonesia

📌UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MINARA 758 NCHINI.
Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Arusha. Mgawanyo huu ni idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa wa Arusha na Wilaya zake.
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconony
#Minara758NchiNzima.

Indonesia

Hadi kufikia Aprili 25, 2025 jumla ya minara 482 kati ya 758 ilikuwa imewaka na tayari imeanza kutoa huduma kwa wananchi katika maeneo mbalimbali.
#Tumewasha
#Tumewafikia
#Minara758NchiNzima
#DigitallyInclusiveTanzania

Indonesia

Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), inatekeleza mradi huu mkubwa unaolenga kuwafikia wananchi milioni 8.5 wa maeneo ya vijijini ambao watafaidika na huduma za mawasiliano mara mradi utakapokamilika.
#MawasilianoKwaWote
#Commucation4All

Indonesia

Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Mwanza. Mgawanyo huu unaonyesha idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa huo, minara iliyokamilika na tayari imeanza kutoa huduma kwa wananchi pamoja na ile ambayo utekekezaji wake unaendelea.
#Minara758NchiNzima.

Filipino

Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Kagera. Mgawanyo huu unaonyesha idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa huo, minara iliyokamilika na tayari imeanza kutoa huduma kwa wananchi pamoja na ile ambayo utekekezaji wake unaendelea.
#Minara758NchiNzima.

Filipino

Mgawanyo wa ujenzi wa minara 758 katika Mkoa wa Mara. Mgawanyo huu unaonyesha idadi jumla ya minara inayojengwa katika Mkoa huo, minara iliyokamilika na tayari imeanza kutoa huduma kwa wananchi pamoja na ile ambayo utekekezaji wake unaendelea.
#Minara758NchiNzima.

Filipino

📌Heri ya SikuKuu ya Pasaka kutoka Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF).
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconomy.

Indonesia

📌Heri ya Siku ya Ijumaa Kuu kutoka Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF).
#MawasilianoKwaWote
#DigitallyInclusiveTanzania
#DigitalEconomy.

Indonesia


















