Ulombo Musa
21.6K posts

Ulombo Musa retweetledi

Mahakama yaifuta kesi ya mgogoro mgawanyo wa rasilimali ya Chadema mwananchi.co.tz/mw/habari/kita…
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es salaam imeifuta kesi mgogoro wa mgawanyo wa rasimali za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kati ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Uamuzi huo umetolewa leo Mei 28, 2026 na Jaji David Ngunyale wakati akisoma uamuzi wa mapingamizi ya CHADEMA ambapo pia ameamuru kila upande ubebe gharama zake wenyewe.
Jaji Ngunyale amesema baada ya kupitia hoja za pande zote mbili, Mahakama imejiridhisha kuwa hati ya madai ilikuwa na mapungufu ya Kisheria kwa sababu haikutaja tarehe rasmi ambayo mgogoro huo ulianza.
Kesi hiyo ya madai Namba 8323 ya mwaka 2025 ilifunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Saidi Issa Mohamed pamoja na wenzake wawili dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa CHADEMA na Katibu Mkuu wa chama hicho.
#MillardAyoUPDATES
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

VIDEO:
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Tanzania Bara Amani Golugwa wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, muda mfupi baada ya Mahakama hiyo kutoa uamuzi wa kuifuta rasmi kesi iliyokuwa inahusu usawa kwenye mgawanyo wa mali kati ya Tanzania Bara
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi

Mahakama haziwi huru kwa kusahihisha madhara yaliyokwisha kutokea, uhuru wa kweli wa mahakama hupimwa kwa uwezo wake wa kuzuia dhulma kabla haijavaa sura ya sheria. Haki inayochelewa baada ya uharibifu kutokea si ushindi wa sheria, bali ni ukumbusho wa udhaifu wa taasisi zilizopaswa kulinda haki tangu mwanzo.
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi

“Kazi ya viongozi wa dini si kuwa tawi la serikali.
Na kazi ya serikali si kuwa mmiliki wa dhamiri za viongozi wa dini.
Mamlaka zinahitaji kusikia ukweli
hasa ule wasioutaka kusikia.
Kwa sababu history inaonyesha:
taifa huwa hatarini sana pale ambapo:
watawala wanataka kusikia sifa pekee,
na viongozi wa dini wanaogopa kusema ukweli., badala yake wanakuwa public relations officers wa serikali .”
Rev Peter Msigwa
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

Mahakama zinazoendeshwa kwa remote sio Mahakama.
Serikali ikitaka kufungia chama wanafungia, serikali ikitaka kuachia chama kufungwa kwa sababu ya pressure Mahakama inaachia.
Mahakama ni lazima zijikite kutafsiri sheria sio namna ya kupunguzia dola pressure
Kwa vyovyote iwavyo, ukiondoa Ikulu, Polisi, Tume ya Uchafuzi, Msajili, CCM, Mahakama inatakiwa kubeba lawama ya moja kwa moja kwa kuwezesha mauaji ya October.
Kwa kutotimiza wajibu wao.
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

Leo tarehe 28 Mei 2026 Mahakama Kuu Masijala ya Dar es salaam imetoa uamuzi na kukubaliana na hoja Chama kwamba kitendo cha waleta madai kushindwa kuonesha lini hasa madai yao yalianza kinainyima mahakama nafasi ya kujiridhisha kama kweli inayo mamlaka ya kusikiliza madai husika.
Kufuatia hali hiyo, kesi hiyo namba 8323/2025 imefutwa rasmi leo.
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

"Kesi hii ya Said Issa Mohamed na wenzake ilikuwa ni kesi ya kutengenezwa na mfumo." Mhe. @amanigolugwa
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi

What are you whining about Kombo? What new lie were you caught in ? Be specific what “misinformation” is circulating on social media? You think that only Tanzanians specifically CCM understand Kiswahili? You lie in Kiswahili and spin in English! It’s not gonna work! 😁
Acheni milio! Unafikiri hawajui Kiswahili duniani! Mnatukana na kubeza wafadhili kwa Kiswahili alafu mnawadanganya kwa lugha laini Kiingereza! Dunia ya leo ni kijiji!
Na bado!
#TutaelewanaTu

English
Ulombo Musa retweetledi

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Alhamisi Mei 28, 2026, imeifuta rasmi na kuiondoa mahakamani hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na Said Issa Mohammed na wenzake dhidi ya bodi ya wadhamini pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Kesi hiyo ilikuwa inahusu madai ya usawa katika mgawanyo wa mali za chama kati ya Tanganyika na Zanzibar.
Tunaenda kama hatutaki @TunduALissu aachiwe tufanye siasa za hoja huu si muda wa kutishiana na polisi✊🏽

Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi

Yani Trump kawagusa kidogo tu wauaji wa Oktoba 29, leo wamefuta kesi ya Mgawanyo wa mali za Chadema na sitashangaa mwezi ujao wakifuta kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu maana sasa hivi wamebanwa kwenye kona hawana pa kutokea.
Wanahaha kujinasua ila uzuri tuliwaonya tangu siku ya kwanza lakini walishupaza shingo sasa kinawaramba.😂😂😂😂
Indonesia
Ulombo Musa retweetledi
Ulombo Musa retweetledi













