BONIE LAYKER
11.3K posts

BONIE LAYKER
@VIEW_Unlimited
SPORTS ANALYST. MEDIA PERSONNEL. ROUNDUP FOOTBALL NEWS. https://t.co/SmRHJxKiIt
SPORTS KING Katılım Mayıs 2019
312 Takip Edilen15.9K Takipçiler
BONIE LAYKER retweetledi
BONIE LAYKER retweetledi

@Jashakiboy28 @Lukala_Ngesse kwahiyo hapo amejitia Dole akalamba siyo🤣🤣🤣
Filipino

@Lukala_Ngesse We nae ni matko tyu kumbe simba anamechi tarhe 3 na mashujaa akitoka hapo anacheza nusu fainali crdb na jkt trhe5 baada ya hapo ana mechi tarhe 8 na pamba then 11 na Kmc sasa hiyo ya trhe 10 may ya mwaka upi
Filipino

@Mkunga_Og Kinachonishangaza hadi wananwake nao wanaandika Comments 🤣🤣🤣
Filipino

@Rydx_017 kwani Lift iko uwanjani Jamni🤣🤣😀
Tungeshinda mngesema mambo ya Lifti😁
Dah wabongo kwa Majungu
Indonesia

@SportsarenatzTz wamemleta yule mzee tena.
kama kawaida hawazingatiagi umri
Indonesia

🇨🇮 | DAVILA MESSI KESSIE 🔜 SIMBA SC 🦁
.
Wakati viongozi wa Simba wakihaha kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao, tayari wameanza kumpigia hesabu winga shoto raia wa Ivory Coast 🇨🇮 D’Avila ‘Messi’ Kessie ambaye inaelezwa huenda mambo yakienda sawa atajiunga na miamba hiyo.
.
D’Avila kwa sasa anakipiga Inova Sporting Club Association ya Ivory Coast, huku nyota huyo akisifika kwa uwezo wa kucheza winga zote yaani kulia na kushoto ambapo msimu uliopita alifunga mabao 11 na kuasisti sita na kama akitua ataungana na Kramo Aubin aliyesajiliwa msimu uliopita, lakini hakutumika kwa sababu ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu, japo kwa sasa amepona.

Indonesia

@FKihamu SIMBA kwa mwaka inaingiza zaidi ya Bilioni 6 kimataifa,kwenye ligi,TV rights na MBets,gates collections na percents ya Mauzo ya jezi.
Alafu mkataba wa MO unasema Bilion 20 kwa miaka 10 means 2B per year.
sasa akisema anapata hasara atuelezee anaipata pataje!?
Filipino

Kwenye boti la Tajiri MO Dewji tutapanda watu wachache sana waliosikiliza Interview nzima na kumuelewa nini anamaanisha, Tajiri ambaye anamiliki Makampuni yalioajiri Watanzania zaidi ya 47,000 akiwa ni Muajiri wa pili nyuma ya serikali kwa kuajiri watu wengi unahisi anaweza kuongea kitu ambacho hakimake sense??
Wengine wanasema MO hana pesa ama anatoa kwa kinyongo lakini ni MO huyu ambaye amesaini Pledge ya Mabilionea duniani wapo 120 tu ambao wakiwa hai wanatoa sehemu ya Utajiri wao kwa Jamii kusolve matatizo mbalimbali, ni MO huyu ambaye amesaini pledge kuwa akifa basi 50% ya Utajiri wake wagaiwe kwa mifuko ya hisanj, mbona hatumsikii akilalamika huko?
Kwenye mpira wa miguu ni ukweli mchungu kuwa Simba ni HASARA kwake! Tujiulize anatoa Pesa za usajili wa Wachezaji wa Kimataifa, wanaolipiwa nauli za kuja, malazi, usafiri, agent fee, vibali vya kazi, mishahara na bonus halafu WANAFELI, wanavunjiwa mikataba wanaondoka, Mlipaji ni MO! Mzigo wote kwake, hapo kuna faida ama hasara?
Team hii inaenda Camp nchi mbalimbali, kwa Wanawake na Wanaume, kuna projects za vijana, gharama za usafiri wa ndege, bonus, kila kitu akaunti za klabu peke yake haziwezi kutoboa! Nani anayetoa mzigo? Jibu ni Mwekezaji, ni nani? Ni MO Dewji, ndio maana anasema kwa mwaka anaingia hasara ya Dola Million 4! Its true hesabu zinapigika na zinaeleweka.
Mmesahau hapa kasajiliwa Aubin Kramo ni majeruhi, kosa la MO? Kasajiliwa Akpan kafloop ni faida ama hasara? Walikuwepo wakina Okrah wakafeli, wahesabu na Wachezaji wazawa waliofeli na kuondoka! Hujataja Makocha na Waajiri! Kuna faida hapo? Ni vile tu hatukubali ukweli mchungu.
Timu haisajili Wanachama maana yake 49% zake tu ndizo zinafanya kazi, Mashabiki wao ni kununua jezi na uwanjani pekee, unatarajia asiingize hasara hapo? Kwanini tuchukie anaposema ni mali yake?Hata kwenye diin Mwanamke usiyemhudumia sio wako.
Mpira duniani bado ni UFUKARA! Gharama ya kuifanya Simba kuwa timu kubwa ni lazima inampa hasara kubwa mno MO, kama ambavyo Roman Abramovich alivyopambana kuijenga Chelsea ilimbidi mpaka akafungue akaunti huko Virginia ili timu ipokee pesa ya zaidi na ameondoka ANAIDAI Chelsea.
VISIT MOROGORO 🇹🇿

Indonesia

@hasheem_ibwe ni Chrismas au Nyerere Day Alikuwa hafiki🤣🤣🤣
Indonesia

Tazama Video: Marekani yatoa kanda ya video inayoonesha uchokozi wa ndege za kijeshi za China bbc.in/46S9Ae0

Indonesia




















