Dr. Yasini Mustafa Joshua

816 posts

Dr. Yasini Mustafa Joshua banner
Dr. Yasini Mustafa Joshua

Dr. Yasini Mustafa Joshua

@YasiniMustafa

Medical Doctor, MSc. Diabetes (USW), Internal Medicine Resident (Alexandria University), Type 1 Diabetic, and techpreneure

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Kasım 2013
353 Takip Edilen359 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
As a doctor If you sabotage a life at these critical moments in one way or the other, You need to re-evaluate your choices in this medical field, and more important your humanity. The decision to treat lies in your hands and no one else - Stay safe, strong and save lives🇹🇿❤️
Dr. Yasini Mustafa Joshua tweet media
English
0
0
4
382
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@DrStrangejm Kwenye kila shilingi mbili utakayo’piga’ hapo shilingi moja weka akiba Huku kwq mama nq mtoto hakuchelewi zege kukulalia😎
Indonesia
1
0
0
158
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@SagiraW Tunaongeza vyeti Hatuongezi shule Soko linalipia vyeti halilipii shule Nenda na soko ndugu mganga
Filipino
0
0
2
257
moranprince 👨🏾‍⚕️
Sema ukikaa na mabingwa clinic utagundua wengi wao management wanayofanya ni tofauti na kwenye vitabu na waliyokuwa wanaitaka kwenye clinical exams
Filipino
9
0
52
4.6K
Dr Mwakalebela
Dr Mwakalebela@Isayadicksonjr·
Swala la kupiga vijiwe vingi sio issue , unaweza kupoteza nguvu zote mbili 😁
7
2
61
3.7K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
Ukipita nae round kama junior anakwambia pale Taifani kwa mwezi hamnahna 7-8M na hapo mambo yakiwa mabaya😂 Ndugu zanguni, pesa ni kama mimba. Tusipoona tumbo, tutaona pua, au miguu au kutema mate😄 Muajiri mkuu anakupa 7-8M monthly then unashida vijiweni Mbagala Rangi Tatu? 😂 Muone shati zake za drafti mbili kama muuza maziwa tushakukariri hata ukiwa mbali. Hata kama hushobokei magari makubwa ndio uweke mafuta ya vibaba kwenye hiyo IST? Hiyo Tecno Y3 badilisha cover na protector basi😂 - maokote yakutanane ndugu speahalisti No body cares, you just lying to yourself😎
Indonesia
9
2
26
2.2K
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Hapo mjini Dsm unakuta Daktari Ana–vijiwe sita na vyote yupo kwa Wakati . Shida ni Kama ana familia basi hadi mke / mume anachukia , Katika mwezi anaweza akarudi nyumbani Siku 4 tu . Aisee watu Wanapambana 🙌🏼
Indonesia
14
26
314
23.1K
Ezekiel Ngitoria
Ezekiel Ngitoria@maishatz·
Imagine investing 70 Billion-Tsh to only get 3% return, not even beating inflation! - capital allocation is a special skill. @MushiAlbert
English
8
1
41
4.1K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@Isayadicksonjr Jibu sahihi ni kwamba Pesa ya kumuona daktari tunachukua (tunapewa) BUT sio madokita wote wanachukua (wengi ~90% hawapati fursa hii) Na tunaochukua hatuchukui yote (just %) na sio kwa kila mgonjwa. Uongo kwangu mwiko mwana TANU chipukizi. Maelezo mengine ni kuongopeana.
Indonesia
0
0
1
122
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@FrankFedric @swahilitimes Jibu sahihi ni kwamba Pesa ya kumuona daktari tunachukua (tunapewa) BUT sio madokita wote wanachukua (wengi ~90% hawapati fursa hii) Na tunaochukua hatuchukui yote (just %) na sio kwa kila mgonjwa. Uongo kwangu mwiko mwana TANU chipukizi. Maelezo mengine ni kuongopeana.
Indonesia
1
0
1
56
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@FrankFedric @swahilitimes Unataka nitoe siri ya kambi? ‘Madokita’ wanaopata airtime ya camera ni top 1% ambayo ukweli ni kwamba hii hela wanachukua japo sio yote. Ndio maana maelezo yao ya kukanusha hayaeleweki Then kuna 99% ya madokita hawajawahi kuiona hii hela ila hawana sehemu ya kujielezea
Indonesia
3
0
0
65
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dkt. Mugisha Nkoronko amefafanua kuwa gharama ya kumwona daktari hailiwi na madaktari isipokuwa ni sehemu ya mapato ya taasisi ambayo hutumika kulipia gharama mbalimbali.
Indonesia
11
20
200
20.2K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@FrankFedric @swahilitimes Mbunge: madokita wanachukua hela Dokita: Uongo huo hatuchukui hata mia Msemaji wa madokita: Unajua maslahi £&@ffhsysyshhsjsu Mbunge: Unachukua huchukui? Msemaji wa madokita: Unajua hii sichukui peke yangu, let us define consultation fee. No unajua nesi anakupima presha😂😂😂
Indonesia
0
0
0
21
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@FrankFedric @swahilitimes Ambiguity Sometimes kukanusha ama kukubali hakuna maslahi kwako so unaliacha suala likielea ili kila mtu atafsiri kivyake Ulitaka waziri aseme pesa ya kumuona daktari inalipwa kwa control number na inachukuliwa na serikali na sio daktari? We kuweza?😂
Indonesia
1
0
1
82
riico
riico@FrankFedric·
@swahilitimes Daktari uko sahihi lakini Hili swali liliulizwa bungeni, Waziri wa Afya alitakiwa kulijibu Bungeni…Likitoka kwako Daktari inakua kama mnajitetea
Indonesia
3
0
6
505
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@IAmHaule Wilaya nzima wewe ndio top, na waganga wenzio wawili watatu wote wafawidhi Unaitwa bwana mganga😂 Unatibu Malaria na “yutiai” “Siza” za kutosha Bia za bure, totoz kula kugalagaza Usipoguswa begani, ndio basi tena Mfawidhi kila ukilala ndoto ni teuzi ya DMO au mratibu TB😂
Indonesia
6
2
19
1.1K
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
The painful thing kuhusu ajira za vijijini ni kwamba sometimes hazikunyimi mshahara… zinakunyima exposure. Unakaa miaka mingi sehemu ambayo hakuna anayekukumbusha kwamba bado unaweza kuwa mkubwa kuliko hapo ulipo sasa.
Indonesia
15
30
215
8.3K
Fred Kavishe
Fred Kavishe@fredkavishe·
Leo wana hisa wana CRDB wanaidhinisha gawio la 90 kwa kila hisa kama hutaki stress za biashara kwenye hisa ni sehemu sahihi Kuweka hela zako. Kwa trend hii ya CRDB wana ukuaji Mkubwa zaidi kwa miaka mitano mpaka kumi ijayo. Anza Leo kuwekeza kwenye hisa uzeeni usisumbue Watoto.
Filipino
10
16
210
13.3K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@Maryftaddoh Nyumbani Kamachumu and Mpimbwe lakini unaishi Dar mwaka wa ngapi huu? Huna nongwa katika hilo Ila nikitoka Dar nkavuka mpaka nongwa ni kama zote. Au nyumbani unamaanisha nini? Ni Dar au Kamachumu? Dar sio mwisho wq chochote, Kama ulivyotoka kamachumu, just keep moving
Indonesia
0
0
0
51
Mariam
Mariam@Maryftaddoh·
Nimeona video ya Juma Lokole anasema wabongo wengi wanaoenda nje wanarudi wamepauka. Jamani Jamani Maisha ya mbali na Nyumbani tema mate chini. Magumu mnoo mpaka ujipate it takes time. 😭
Indonesia
13
25
296
24.6K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@Hon_KibayasiF Senior wa Tamisemi anapush LC300 Binafsi au ya ofisi? Nadhani you are no familiar with local government politics. Hata kama una uwezo wa kiununua, you won’t, and if you do, huyo ajira mpya sidhani kama atakukuta kazini. Utakua umepisha uchunguzi au uchunguzi ushakuondoa.
Indonesia
6
2
28
2.2K
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
MTAMISEMI, mwambie ukweli AJIRA MPYA kuwa wakija ofisini wasicompete na Ma-Seniors. Wasiomuone Senior anapush LC 300 au Discovery wakajua ni huu mshahara wa Gvt.
Filipino
9
20
273
24.1K
Dr. Yasini Mustafa Joshua
Dr. Yasini Mustafa Joshua@YasiniMustafa·
@Narrowbeeflying Kuna sababu ‘chungu mzima’ kwa nini mtu anaweka pesa bank - just kuweka is one of them. Mfano: wapi napeleka statement ya M-WEKEZA kama collateral ya mkopo au Visa ya kuingia au kuishi nchi fulani? Now you know, sababu zingine next time ukiuliza ntakupa😎
Indonesia
1
0
7
1.7K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Kama una kuanzia Mil 15 Kwanini unaiweka Bank?. Tengeneza line ya lipa. Voda, jiunge M-WEKEZA weka hiyo hela kwenye line yako ya lipa halafu iwekeze kwenye M- wekeza kwa siku utakuwa unapata 5k kwa wiki 40k na kwa mwezi 150k. Kuliko hela kukaa bank.
Indonesia
38
55
725
38.1K
ramadhani rupiah
ramadhani rupiah@RamadhaniRupia·
@Positivenga1 Let's say they give you 12% annum, plus 3.2% inflation . Unabakiza kama 8%. Sio mbaya sana ukicompare na saving acc.
English
5
1
18
3.2K
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Wanaowekaga ela UTT huwa wanapiga na hesabu za inflation?
Indonesia
24
19
285
33.2K