Yone19
407 posts

Yone19
@Yonee_19
dear hustle💪💪 Stop negativity to avoid captivty
Mwanza, Tanzania Katılım Ocak 2020
219 Takip Edilen231 Takipçiler

"Gharib Salim Mohamed (GSM) ananipenda sana kuliko hata mke wangu anavyo nipenda mpaka namwuliza kwanini unanipenda sana hivyo? Gharib halali usiku bila Kunipigia Simu, iwe isiwe lazima anipigie simu.
Kwenye Dunia hii hakuna mtu tuna pendana sana zaidi ya GSM, hata mama hanipendi kama anavyo nipenda GSM, yule baba MUNGU amtunze"
🗣️Mwijaku
Hawa watu Wana pendana sana

Indonesia


@zoetjesheeftX Kuna muda Mungu anakuepusha na mengi....shukuru tu....japo ni story
Indonesia

Dada Mimi ni kijana wa kiume, umri wangu ni miaka 25, Mimi ni bodaboda hapa Dar.
Iko hivi hapa nilipo panga kuna huyu dada nilikuwa nimezoeana naye, akawa ananiita asubuhi nampiga picha kwenye simu yake akiwa kavaa nguo za ndani hasa hizi chupi za sasa, tukimaliza ananipa buku ya chai naondoka, ukweli Mimi mpaka muda huu sijui hizo picha huwa anazitumia Kwa kazi Gani mana ilikuwa ni Kila asubuhi.
Sasa Nimefanya hiyo kazi Kwa miezi nane uzalendo ukanishinda kulingana na muonekano wake na jinsi alivyo, nikawa nimeanza kumtongoza, ila Kila nikimtongoza angalau awe ananipa tu mara Moja Moja akawa hanipi jibu anaishia kucheka.
Sasa jumatatu ya wiki iliyo pita aliniita nikampige picha nikakataa nikamwambia mpaka anitimizie ninacho taka , ila Cha ajabu alienda pale kijiweni ninapo paki akawa amemchukua dogo mwingine awe anampiga picha.
Kilicho niuma huyu dogo yeye saivi anapewa na mbaya zaidi Wana fanya mpaka nasikia chumbani kwangu, Kila dogo akija asubuhi wakimaliza kupiga picha Wana fanya na mapenzi huku nasikia mana Vyumba vyetu viko karibu.
Dogo ndo kwanza Wana wiki Moja lakini wamekuwa Wapenzi ila Mimi miezi yote nane alikuwa hanipi jibu anaishia kucheka,
Kijiweni wananicheka Mimi najiona kama siyo mwanaume, dogo ana waonyesha mpaka Ushahidi, ukweli naumia sana mpaka natamani kuhama ila ndo hivyo chumba bado miezi Miwili
Wengine wana weza kuona ni kawaida ila Mimi kinanitesa sana hiki kitu, niliamini huyu dada ipo siku atanipa ila matokeo yake hata salamu siku hizi hatupeani hata nikimsalimia haitiki.

Filipino

@vistovic17 Kwanza uwe na mbio,uwe na nguvu alaf uwe na timing la sivyo utakua unaona tu jezi ileew
Filipino


@BlackSingapore2 Ukiskiliza unaweza kudhani peponi wanaenda na kurud kwa miguu.
Indonesia



























