ZD17KILLER♦

9.9K posts

ZD17KILLER♦ banner
ZD17KILLER♦

ZD17KILLER♦

@ZeddySimon

Mwamba wa kaskazini💪💪 ACTIVIST Mwanaharakati#mpendahaki Mpenda demokrasia na Maendeleo ya watu 🎤✌✌ THE CONQUER ♦

Arusha, Tanzania Katılım Şubat 2021
1.1K Takip Edilen1.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
ZD17KILLER♦
ZD17KILLER♦@ZeddySimon·
Sometimes siyo lazima kila Movements ni za ku-support hata kama zinaendeshwa/kufanywa na watu wetu wa karibu unless zina Maslahi kwako na kwa wengine pia.. REASONING!!!. TUISHI ✊
Filipino
0
2
10
0
ZD17KILLER♦ retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nikisikia hizi habari za watu kutekwa najisikia vibaya sana. Watu zaidi ya saba mnakwenda kumteka kijana asiyekuwa hatari kwa usalama wa nchi nyumbani kwao mbele ya familia yake? Mnaelewa kweli trauma mnayotengeneza kwa hizi familia? Mnajua chuki mnayoipandikiza kwa jamii? Watu waliomteka Damour Nyakairo, @Ninja_Damour muachieni huko mafichoni aendelee na maisha yake. Hatutaki kuona kijana mwingine anatekwa na kupotezwa. Hatuwezi wote kufikiri na kuwaza sawa. Taifa letu litajengwa kwa msigano wa mawazo. #FreeNinjaDamour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
22
346
1.3K
41.9K
ZD17KILLER♦ retweetledi
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Haijalishi itachukuwa muda gani ila moja kati ya mistake tutaifanya ni ku give up kumtafuta mwana. Zoezi la kumtafuta Ninja mitandaoni na Mtaani lisiwe na Kikomo, kikomo ni atakapopatikana. 🤝 #FREENINJA
Taivina James tweet media
Filipino
21
466
1.3K
18.5K
ZD17KILLER♦ retweetledi
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Ain’t see it coming kabisa!! A good day turning bad…. Be safe damu yangu 🤲
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 tweet media
English
16
273
1.8K
36.2K
ZD17KILLER♦ retweetledi
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Naomba kwa umoja wetu tutembeze hii hashtag ifike viral hapa we repost alafu reply #FreeNinja
Filipino
2
33
57
829
ZD17KILLER♦ retweetledi
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
Hata yaliyotokea October 29 hayajaisha vizuri mmerudi Tena huku wakuu💔🙌damn mtupumzishe tu #FREENINJA #FREENINJA
ochola..🦅⚠️ tweet media
Suomi
4
57
83
752
ZD17KILLER♦ retweetledi
FREE NINJA🇹🇷
FREE NINJA🇹🇷@mkemi4mkUu·
Iko siku tutaoneshana makali wanangu nyie endeleeni tu. #FreeNinja
FREE NINJA🇹🇷 tweet media
Indonesia
10
221
462
13.7K
ZD17KILLER♦ retweetledi
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Free @Ninja_Damour hii nchi inaogopesha sana mamae💔 tupaze sauti kwa mwanetu awe huru wazee.
Mangi wa Kichaga tweet media
Indonesia
10
268
570
6.3K
ZD17KILLER♦ retweetledi
Modern History
Modern History@modernhistory·
We're in the same boat.
Modern History tweet media
English
258
5.6K
35K
891.9K
ZD17KILLER♦ retweetledi
𝕂𝕖𝕟x𝕠🥷
𝕂𝕖𝕟x𝕠🥷@kenxo_xiv·
Sometimes you don't have to quit. You just have to rebrand.
𝕂𝕖𝕟x𝕠🥷 tweet media𝕂𝕖𝕟x𝕠🥷 tweet media
English
197
1.8K
32.8K
544.6K
ZD17KILLER♦ retweetledi
Dog
Dog@thefarmers_Dog·
i will never beef cow.
Dog tweet media
English
173
1.1K
16.9K
108.8K
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Sasa East Afrika mmefanya nini hii 😂😂😂 Mmekosa hata mchambuzi mmoja mwenye ubongo kichwani Amechanganya mambo
HT
28
11
60
8.9K
ZD17KILLER♦ retweetledi
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🚨 Luis Enrique on criticism about 5-4 result: “You shouldn't respect all opinions… because if it's a shitty opinion you shouldn't respect it”. “There will be people who like to play football this way, which is the majority, and here I include myself, and others who don't like to play like that”. “I don't care about those opinions. What we show is that most people who love football enjoyed it and that's the important thing”.
Fabrizio Romano tweet media
English
1.1K
2.8K
33.8K
1.6M
ZD17KILLER♦ retweetledi
Megzy Elvis
Megzy Elvis@HumbleMegzy·
@FabrizioRomano Osama Bin Arteta and Abdul Simeone looking at Luis Enrique like this
Megzy Elvis tweet media
English
9
6
98
4.9K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Halafu watu wengi ambao wametumia vyeti vya watu kusomea wanavitabia vinavofanana angalia kuanzia-; Mwigulu Nchemba (Lameck Mkumbo Maderu) Hamisi Kigwangala (Said Bagaile) Palamagamba John (Aidan Mwaluko Kabudi) Paul Makonda (Daud Albert Bashite) Herry James (Erick Ngambeki)
Filipino
30
93
741
0
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Nimefikiria winga ni Olise , Kvara , Doue then fullbacks wangu ni Dalot na Shaw ... mpaka nimetetemeka Should not be televised 😀
Eesti
72
63
968
25.4K
Mchambuzi
Mchambuzi@Baraza_Kuu·
Unamjua lakini? Ni kijana aliyezaliwa mwaka 1981. Haiba yake na sura yake haviendani na umri mdogo alio nao. Kwa nini? Amejaa ganzi na gesi zinazomfanya ajisikie kuripuka kila wakati. Fikiria, ni kijana anayetoka eneo lililobarikiwa na Mungu madini ya kutosha ya dhahabu. Akili yake isivyoweza kuona mbali, amejiweka kwenye harakati za kuichafua nchi yake badala ya kukamata fursa. Ni mwanasiasa aliyefilisika katika mambo yafuatayo: 1. Alitaka kuwa Chacha Wangwe mpya. Watanzania walimshtukia mapema na kumweka sehemu anayostahili. 2. Alishiriki kampeni ya kumpaka matope Freeman Mbowe kwa kumsaidia Tundu Lissu kuendesha kampeni ya kumdhalilisha mwenyekiti wake. Juhudi zake hizo, zimekigawa chama chake na baadhi ya viongozi kukimbilia kwingineko. 3. Anatamani Tundu Lissu aendelee kukaa ndani ili atumie nafasi hiyo kuongoza chama chake kwa kipindi kirefu. 4. Anatamani kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Kila akimtazama Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba anazidi kuumia roho, akihisi yeye ndiye angefaa kuchukua nafasi hiyo. Uwaziri Mkuu ni nafasi yenye heshima yake; siyo ya wavuta bangi wa milimani. 5. Alianzisha kampeni haramu ya kuwakimbiza wawekezaji wa uchimbaji wa madini wa Kampuni ya North Mara huko kwao Nyamango, akiwahamasisha vijana kuvamia mgodi kila mara. Kiu yake ya kutafuta umaarufu kwa gharama ya damu za watu iliendelea kumwanika vibaya kama mwanasiasa aliyefilika. 6. Ni mwanasiasa anayehamasisha siasa za chuki na kutumia damu za watanzania ili kufikia maslahi yake ya kisiasa. 7. Ni mwanasiasa anayeamini kuwa Tanzania inatakiwa kuongozwa na umoja wa mataifa – msimamo unaoanika akili kisoda alizo nazo. Anajitoa akili kuwa alitaka kuzuia uchaguzi ambao chama chake hakikushiriki na akashindwa. Kumbe yeye na chama chao walikuwa wanaamini kuwa nchi yetu inapaswa kukabidhiwa umoja wa mataifa. Imagine!
Mchambuzi tweet media
Indonesia
77
36
51
29K