Mike

4.2K posts

Mike banner
Mike

Mike

@_mike2019

Teacher (chem,IT), IT expert, electrician, husband to Georgina, father to Allan.

Zanzibar South and Central, Ta Katılım Nisan 2019
942 Takip Edilen643 Takipçiler
Caicedo01
Caicedo01@VictorNjau15·
@_mike2019 @MendradMlelwa @EduTalkTz Nimekujibu hivyo ili iwe rahisi wewe kuelewa ya kuwa Mungu baada ya kumfukuza Shetani, shetani akasema anachukua watu wa Mungu wamfuate yeye, Mungu akasema huwezi akijua watu wake wanamtumikia Mungu kwa njia ya Yesu na Roho Mtakatifu.
Indonesia
1
0
0
12
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kama Mungu ndio alimuumba mwanadamu na kumleta hapa duniani, ni wajibu wake kumpatia mahitaji yake ya msingi pasipo sharti lolote. Mwanadamu hapaswi kumwomba Mungu chochote kile, anapaswa kudemand haki yake; anapaswa kumtaka Mungu atimize wajibu wake. Fikiria hivi, kama Mungu aliamua mwenyewe kumleta mwanadamu duniani pasipo kumshirikisha, kwa nini aombwe kuprovide mahitaji? Sio wajibu wa wazazi kuhakikisha watoto wanakula, wanakunywa, wanalindwa dhidi ya magonjwa na kutibiwa, pamoja na kukua katika mazingira sahihi? Kama Mungu hakuwa tayari kukulinda dhidi ya magonjwa, njaa, na mengine yote, alikuleta duniani ili iweje? Kwa nini asingekuacha huko ulikokuwa? Anaposhindwa kutimiza wajibu huu, sio common sense kumkosoa vikali kabisa kwa ukatili na neglect? Kwa nini mwanadamu alazimike kumwomba Mungu chochote kile ikiwa hakumwomba kumleta duniani??🤔
Indonesia
36
5
56
5.7K
Mike
Mike@_mike2019·
@EduTalkTz Hii kule rombo tulikua tunafanya sana sijui ni nini kilikuja kuingia hapo walahi skuiz hamna tenaa
Indonesia
0
0
1
8
Dickson Henry
Dickson Henry@DicksonHen7900·
@EduTalkTz Bora mara kumi lijengwe kanisa ili watu wafundishwe kumwabudu Mungu na kutenda mema, pengine watamkuta huko mbinguni, watasalimika. Kuliko kuchezea pesa kujenga Shule, alafu kuanza kufundishana, idadi ya miguu ya panzi, viwiliwili vya siafu na uhamiaji wa wangoni. 🚮🚮
Indonesia
6
0
2
101
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Hypothetical! Serikali imetumia bilioni 500 fedha ya umma kujenga kanisa au msikiti, pesa ambayo ilipangwa kutumiwa kujenga shule. Utasimama kuwawajibisha viongozi kwa matumizi ya hovyo ya fedha za umma au utawapongeza kwa kufanya jambo jema la kiMungu? Kwa nini?
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
9
6
43
1.8K
Mike
Mike@_mike2019·
@LembrusMchome Amani ipi hiyo ilitaka kuhatarishwa boy? Nchi hii watu wana hofu tuu na woga lakin hamna amani kwa sababu ya uoga wa watawala. Kama wasipojirekebisha kuna siku ujasiri utaishinda hofu na hapo hatutakua na taifa tena. Mzaha mzaha hivihvi mbuzi alimpand mamake na akapata mimba
Indonesia
0
0
1
32
Lembrus Mchome
Lembrus Mchome@LembrusMchome·
Tusizunguke mbuyu na kujifanya tunamwachia Mungu sijui maombi tulipofika kwasasa tunahitaji maridhiano. Tulitaka nginja nginja ila imefel, pia wakaja waliotaka kuvuruga amani yetu kwa kuhamasisha fujo za 29 oct ila Mungu akatuvusha. Twende kwenye meza ya mazungumzo tuponye taifa.
Filipino
127
9
43
12.9K
Caicedo01
Caicedo01@VictorNjau15·
@_mike2019 @MendradMlelwa @EduTalkTz Ni sawa na mwalimu wako wa Bondia akufundishe akupe mbinu zote za kufanya ambayo anaamini ukifuata vizuri unashinda pambano lolote, wewe unaleta uvivu ufuati masharti then unaenda unapigwa badala urudi kufanya mazoezi uliyoambiwa unataka mwalimu akamuue bondia mwenzio
Indonesia
1
0
1
21
Mike
Mike@_mike2019·
@NMweusi85571 Wala haziui mtuu hizi. Ni uendeshaji tuu
Suomi
1
0
0
778
عبدُل
عبدُل@NMweusi85571·
Hizi after miaka mitatu mbele zitakuwa ndo boda boda za dar baada ya kuua ndugu zangu arusha pale now ni zamu ya dar hizi chuma zinaua aisee 🙌
عبدُل tweet media
Indonesia
58
30
456
33.8K
Mike
Mike@_mike2019·
@fbuyobe Kuna dingi mmoja, akimandwa huyo tuu lazima tufunge kata K kwenye upepo
Filipino
0
0
1
323
Mike
Mike@_mike2019·
@EJ_Mwita Mambo meengi pengine yoote uliyoyaweka moyoni hayana impact yoyote kwenye dunia hii. Uruhusu sasa ubongo uwajibike ipasavyo ili yaliyopo moyoni yalete maana. Vyote ulivyoviandika hapa ni hadithi tuu na hauvijui hata kidogo. Usiseme umesoma bibble iliyoandikwa na binadamu
Indonesia
0
0
0
66
Pope Mwita I
Pope Mwita I@EJ_Mwita·
Onesmo upo brilliant sana kwenye mambo ya kidunia lakini umefumbiwa hata usione na kuelewa mambo ya Mungu kwakuwa wewe mwenyewe umeufanya moyo wako kuwa mgumu, Jiachie,mtafute Mungu na umruhusu akufunulie mambo aliyoyaficha kwako hata usielewe, Otherwise Hutoelewa chochote ndugu.
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz

Swali: Ni sahihi watoto kuruhusiwa kusoma biblia pasipo kuchuja maudhui kama yale ya ngono au hata mauwaji?🤔 Ni sahihi watoto kuwa exposed kwenye mada za kumwaga nje, kubaka, mtoto kufanya ngono na wazazi, kuuwa kwa sababu ya ngono, etc?

Indonesia
13
1
31
1.6K
Mike
Mike@_mike2019·
@VictorNjau15 @MendradMlelwa @EduTalkTz Sasa kwanini Mungu amfukuzie duniani kwa watu wake anaowapenda sana badala ya kumuua? Au Mungu hatupendi? Au Mungu "wetu" ni Mungu wa majaribu?
Indonesia
1
0
0
35
George Mwiga
George Mwiga@GeorgeMwiga3·
@_mike2019 @EduTalkTz Ulichokiandika kinaenda kinyume na hicho kinachowafanya muhoji uumbaji. Kweli Dunia ni real na binadamu ni real. Kwa msingi huo source ya dunia ni real na siyo ndoto. Reality comes from a reality. Dunia iliumbwa na watu waliumbwa. Nje ya hapo ni ujingaujinga tu.
Filipino
1
0
0
9
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Nataka kujenga hoja kwamba kumwomba Mungu ni upumbavu. Kabla haujanishambulia, naomba kukuuliza swali: unaamini Mungu ni mkamilifu na uumbaji wake umekamilika? If so, nini tafsiri ya kuomba kwako?🤔 Unaomba nini ambacho kipo nje ya ule ukamilifu?🤔
Indonesia
62
8
82
9.5K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Basi Jacky ananiona mgeni kichizi mitaa hii😂😂😂!
(---) Onesmo Mushi tweet media
HT
59
14
233
24K
Mike
Mike@_mike2019·
@Kajjomma @AfyaCentreCrew Huyu Mungu unayemsema umefundishwa miaka ya juzi tuu ili iwe rahisi kutawaliwa na wazungu na waarabu. Imani za kweli ni zile za babu na bibi zetu zilizokuwepo tangu kale. Toka utumwani boy
Filipino
0
0
2
300
Joseph MMwanzia
Joseph MMwanzia@Kajjomma·
@AfyaCentreCrew Hizi upuzi za sijui traditions nilizikataa and now I can see the difference! As a person unafaa ufikirie on your own sio based on old imaginary nonsenses without necessary impact Amini vitu za Mungu pekee sio za watu🤧🤧
Indonesia
18
3
69
21.3K
Mike
Mike@_mike2019·
@the_dreamer308 @EduTalkTz Haya maandiko uliyoyaweka moyoni badala ya akilini ndio yanakutesa. Kwa uhalisia tuu ndege huamka mapema sana kujitaftia malisho yao, sio wote hurudi salama kwa sababu wengine hukutana na viumbe wengine na kuliwa. Hii ni nature ya viumbe vyote. Usikariri. Elewa
Indonesia
0
0
0
9
Dreamer...
Dreamer...@the_dreamer308·
@EduTalkTz Hoja nzuri saana mwalimu. Ila hapa maandiko yanasema. Mathayo 6:26 "Waangalieni ndege wa angani, hawapandi, hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si bora kuliko hao?"
Filipino
4
0
3
263
Mike
Mike@_mike2019·
@twiiter_B @NMweusi85571 Heri mvuta bangi mwenye akili zake timamu kuliko asiyevuta mpumbavu kama ninyi
Indonesia
1
0
0
3
عبدُل
عبدُل@NMweusi85571·
Huu msikiti wa noor al khikma temeke mwembe yanga pale kumbe ni mdosi mmoja hivi anatoka oil com hapo ndo kafanya hili bhalaa allah atupe moyo kama wa huyu jamaa alafu hajataka sifa kimya 🔥
عبدُل tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
20
15
324
11.1K
Mike
Mike@_mike2019·
@GeorgeMwiga3 @EduTalkTz Hiyo UTUPU ni jambo lakufikirika tuu kwa sababu wakati wa utupu unaousema hakukua na chochote. Nani alithibitisha hilo? Nakukumbusha yakuwa Dunia ni real. Usiniletee habari za ndoto hapa
Indonesia
1
0
0
23
George Mwiga
George Mwiga@GeorgeMwiga3·
@_mike2019 @EduTalkTz Hadi leo sayansi hii inayowapa kiburi cha kuhoji uumbaji, haina majibu wala mfano wowote kutengeneza kitu ambacho kinajichakata chenyewe kutoka kimiminika haki kuwa yabisi. Hakuna. UTUPU haiwezi kutuletea uwepo wa chochote.
Indonesia
1
0
0
14
Mike
Mike@_mike2019·
@GeorgeMwiga3 @EduTalkTz Dunia ni real. No metaphyisics in life. Watu ni real, maisha ni real, kuzaliwa ni real na kufa ni real. Sperm sio kimiminika kama unavisema ni viumbe hai katika form hiyo. Mambo yote katika roho ni yakufikirika tuu na hayana impact yoyote katika uhalisia
Indonesia
0
0
0
6
George Mwiga
George Mwiga@GeorgeMwiga3·
@_mike2019 @EduTalkTz Kama kuumba unakuchukulia kwa kuona kitu kimesimama na siyo muundo wa mchakato unaopelekea matokeo ya kuonekana kwa kitu basi lazima uje na msimamo huu. Lakini binadamu kama alivyo ni fully functional system perfectly engineered to reproduce itself. Uumbaji siyo ufinyanzi kaka.
Indonesia
2
0
0
13
Mike
Mike@_mike2019·
@EduTalkTz @Msakatonge18 Mental liberation is not only spending 7yrs,4yrs, 2yrs and then 3++ years in school and University. Hii ni namna pia yakujaribu kufungua bongo zilizozongwa na abnormal entropy kujaribu kuwaza nje ya box. Nafkiri wakat wa kujibu hoja za namna hii unapaswa ujiweke neutral kwanza
Indonesia
0
0
0
6
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
@Msakatonge18 Nilichokiandika ndio imani yangu! Labda wewe ndio unapaswa kuniacha niamini ninachokiamini?🤔
Indonesia
2
0
0
323
Mike
Mike@_mike2019·
@GeorgeMwiga3 @EduTalkTz Wewe uliumbwa au ni matokeo ya mbegu za baba yako na mama yako waliokutana kimwili zikatengeneza huyo wewe? Hoja yake inahitaji ubongo kutolea majibu sio moyo brother. Achana kwanza na ulichokaririshwa unaweza kuleta hoja ya msingi kabisa
Indonesia
1
0
0
17
George Mwiga
George Mwiga@GeorgeMwiga3·
@EduTalkTz Labda kama hukubali kwamba uliumbwa. Ila kama unakubali kuwa uliumbwa basi huwezi kuona shida ya kuomba kwa aliyekuumba maana anajua njia zako na uwezo wako wa kuhimili kila litakalokukuta. Kuomba msaada wake ni kuonesha kuwa kuna mambo yapo juu ya uwezo wako.
Indonesia
3
0
0
328