Abasi Nasri

36.9K posts

Abasi Nasri banner
Abasi Nasri

Abasi Nasri

@abasi_nasri

Always @liverpoolfan & @SimbaSCTanzania fan, content creator 🔥 🔥 ⚽

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2023
2K Takip Edilen2.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Abasi Nasri
Abasi Nasri@abasi_nasri·
imani lazima iwe kubwa kuliko changamoto au co wapwa
Abasi Nasri tweet media
Filipino
36
57
88
6.2K
Abasi Nasri retweetledi
MTANZANIA 🇹🇿
MTANZANIA 🇹🇿@GilbertPaul095·
Sasahivi TUNDUMA pini ni Dili yaani moja Jero😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻
MTANZANIA 🇹🇿 tweet media
Indonesia
34
41
225
12K
Abasi Nasri retweetledi
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Kikao cha wanaume cha IPM bhana unachangishwa 50k kama Kiingilo ukiingia ndani unaambiwa ukatafute tena hela 😂😂 mara mpe mkeo hela 😂😂 mi niliwaambia mnapigwa haya mmeona sasa? Wakati huyo yeye kakusanya 50k zenu
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Filipino
84
39
493
33K
Abasi Nasri retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Maisha yalikuwaga poa sana bila VPN, mpaka sasa VPN imetutenganisha na Wanetu wengi sana.😢
The mandevu tweet media
Indonesia
24
57
827
13.4K
Abasi Nasri retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
🚨 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Simba imeomba kuutumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid kwenye mechi ya Kombe la CRDB April 12 dhidi ya Dodoma Jiji Kama taratibu zote zitaenda sawa, Simba itacheza mechi tatu mfululizo jijini Arusha 🆚 TRA - April 9 🆚 Dodoma April 12 🆚 Fountain Gate - April 15
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
6
13
509
8.9K
Abasi Nasri retweetledi
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 𝗦𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀
Mwamba profile yake inasoma umri miaka 28, amebakisha miaka kama 4 mpaka 5 kucheza soka la ushindani, ila tayari amekula maisha Valencia. Ilibidi tu muda ufike alichopangiwa na Mungu kitimie. Ndoto zake zinakamilika.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 𝗦𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀 tweet media
Indonesia
6
22
579
14.3K
Abasi Nasri retweetledi
ᄂΛƬΛ𝒙
ᄂΛƬΛ𝒙@latax_·
Roberto Carlos: “Wakati Messi alipotudribble mimi na Cannavaro, akatupita kirahisi na mechi ikaisha, nilimgeukia Cannavaro nikasema: ‘Mungu wangu, huyu ni mchezaji gani? Huyu ndiye Maradona mpya.’ 1/2
ᄂΛƬΛ𝒙 tweet media
Filipino
1
10
107
6.7K
Abasi Nasri retweetledi
BARÇAGUY
BARÇAGUY@blackculer·
Muda wa Marcus Rashford kushine umefika
BARÇAGUY tweet media
Eesti
6
15
84
1.1K
Abasi Nasri retweetledi
Mr.Mbeya
Mr.Mbeya@baraka_asege·
Nimeona kelele nyingi ooh adhabu alopewa Diarra ni ndogo haistahili kwahio ile Mlopewa mashabiki wa 5imba mnaona kama instahili tena Bora Diarra ni mala yake ya kwanza mashabiki wa simba ni mala ngapi mmefanya kosa la aina hio hio why msifungiwe maisha.? @fumbokhanJr
Mr.Mbeya tweet mediaMr.Mbeya tweet media
Indonesia
8
5
48
2.9K
Abasi Nasri retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Ripoti ya CAF ya ukaguzi wa viwanja inasema mpaka sasa Kenya haina kiwanja hata kimoja kilichokidhi viwango vya kuchezewa mechi ya AFCON 2027.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
26
30
698
19.5K
Abasi Nasri retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kuna watu miyeyusho sana, eti Chuck Norris siku yake ya kwanza akiwa mbinguni.😂💔
The mandevu tweet media
Indonesia
11
13
245
7.3K
Abasi Nasri retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
Wanasheria wa Morocco wameionya Kampuni ya GL Events inayoandaa sherehe za Senegal 🇸🇳 za ubingwa wa AFCON nchini Ufaransa Wameomba mamlaka za kisheria nchini humo kulizuia kombe na likionekana watadai fidia kwa uharibifu wa taswira ya soka la Morocco & uvunjifu wa maamuzi ya CAF
FELIX JASON tweet media
Filipino
5
20
579
17.6K
Abasi Nasri retweetledi
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Genius Analyst 🙌huyu jamaa ni bonge la mchambuzi
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
57
27
370
15.2K
Abasi Nasri retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
"Tukishinda kesi yetu kule CAS, tunatakiwa tuwekewe nyota ya tatu kwenye jezi yetu kwasababu tutakuwa tumewashinda ndani na nje ya uwanja" , 😂 🎙️ El Hadji Diouf - Mchezaji wa zamani wa Senegal 🇸🇳
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
2
22
848
10.5K
Abasi Nasri retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
Ila Senegal 🇸🇳 😂 hawataki amani kabisa 😂 kuna shabiki ameamua kuprint matokeo ya mechi zote zilizowafanya wabebe kombe la AFCON 2025 Leo leo kazi ipoooo 🔥 Haya majivuno ya Senegal yanafanana na timu gani hapa bongo? 😂
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
8
19
652
13.6K
Abasi Nasri retweetledi
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Hivi ndio team serious zinatakiwa kuendeshwa, sio Kwetu Mchezaji ana watukana na mnamchangia pesa ya kumlipia faini..!!😂😂
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
11
3
201
5.7K
Abasi Nasri retweetledi
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
🚨Morocco 🇲🇦 iliwateua maafisa wao wa kurekodi kila jambo ambalo Senegal 🇸🇳 watalifanya wakiwa na kombe la AFCON kwenye sherehe za leo Ripoti itawasilishwa kwenye Kamati ya Maadili ya FIFA ikiishutumu Senegal kukiuka Kanuni za Nidhamu za FIFA kwa kukaidi maamuzi ya Rufaa ya CAF
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
14
25
747
24.8K
Abasi Nasri retweetledi
Supermicro
Supermicro@Supermicro·
The Blueprint for Modern AI Data Centers!
English
159
505
8K
59.3M
Abasi Nasri retweetledi
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 Sergio Ramos anasimulia maajabu ya Cristiano Ronaldo nyuma ya pazia: “Ronaldo alikuwa wa ajabu sana vyumbani. Alikuwa anatuambia: ‘Tuzuie tusifungwe, yeye atafunga magoli mawili.’ Na alifanya kweli! Tulifanikiwa kuchukua UEFA Champions League mara 3 mfululizo.”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Indonesia
0
17
232
5.3K
Abasi Nasri retweetledi
Truth WatchDog🇹🇿
Truth WatchDog🇹🇿@TruthWatchDogTZ·
Marehemu alilikata uno hapa
Truth WatchDog🇹🇿 tweet media
Indonesia
56
38
1.1K
88.1K
Abasi Nasri retweetledi
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Mbunge anakunja mshahara plus posho, milio kama 12-18 💴 hivi kila mwisho wa mwezi!! Tufanye 12M kadirio la chini!! So kwa mwaka anakunja 144M. Kwa term moko (5yrs) muhula mmoja anakunja 720M (Bilioni kasorobo) Whaaaaaao!! Ukiwa mbunge kwa miaka 30 unatengeneza 4B+ Kumbuka hapo kuna mpiga kura wake ana umri wa miaka 35 na hajawahi kushika hata laki tatu tu ya pamoja KMMK Walahi🥹 (I’m sorry) Again, mpiga kura huyo hana maji, hana umeme, na akiumwa hana bima ya afya!! Mbunge huyo ana kila kitu sio shida zake!! Na kwa kipindi chote hicho anaweza asiwe tu mbunge, akapewa na uwaziri…… means mshahara uta-double!! Hapo sio tena 12M monthly So kwa miaka 30 mtu anatengeneza 6B plus!! Mixer fursa shindili, yeye na familia yake na ukoo ikimpendeza!! Lakini jimboni kwake ukifika hakuna chochote kilichobadilika, shida,ufukara,umasikini,changamoto milioni!! Na hii ndio legacy wanayoipambania, not otherwise!! Ndio maana mtu huyu anakuwa tayari kukupoteza ikibidi kukuua ili ku-secure bag lake 💰
Indonesia
89
325
1.8K
104K