𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱

17.5K posts

𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱 banner
𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱

𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱

@acord641

City & simba SC fan... 🙌😜||Gen z football addicted|| fun & life facts..

Baxter Estates, NY Katılım Temmuz 2024
2.5K Takip Edilen992 Takipçiler
takadinie
takadinie@takadini_23·
Me kuonekana na msaidia wife kuosha vyombo kufua nguo zake kukuna na nazi ye anaangalia series kwenye tv yetu Samsung 100inches marafiki zangu wanasema limbwata et nimerogwa🥹
Indonesia
14
22
75
2.3K
𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱 retweetledi
BΞBΞRU
BΞBΞRU@incrediboss·
Nidhamu ya pesa huwa inakuwepo ukiwa ukiwa hauna pesa.
Indonesia
26
64
316
8.4K
M O X
M O X@UrBoyMox·
@acord641 Nilitaka uvisit profile najua we si mbea
1
0
1
24
M O X
M O X@UrBoyMox·
Asanteni sana kwa 200k followers
M O X tweet media
Indonesia
47
34
130
4K
MZUNGU PORI💪
MZUNGU PORI💪@Mzungu_pori1·
Mwanamke akikutongoza unatakiwa umjibuje uonekane sio cheap😮‍💨😮‍💨 Asubuhi yote hii niko majaribuni...
Indonesia
18
19
104
5.3K
888
888@444holywitch·
Nimejifunza kwamba maisha hayahitaji kukimbizwa, yanahitaji kueleweka Nimejifunza kuwa watu hawatoi kile unachostahili, wanatoa kile walicho nacho ndani yao. Na mara nyingi tunateseka si kwa sababu hatupendwi, bali kwa sababu tunatarajia watu watoe kitu ambacho hawana THREAD 🧵
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr

Mpaka sasa umejifunza nini kwenye maisha?

Indonesia
7
28
91
3.6K
𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱 retweetledi
888
888@444holywitch·
Nimejifunza kuwa hakuna anayekuja kukuokoa. Pale unapochukua jukumu la maisha yako, ndipo mambo yanaanza kubadilika. Na mwisho, nimejifunza kuwa maisha ni sasa. Sio jana, sio kesho. Kila kitu kiko hapa ulipo. Ukikosa hii moment, unakosa maisha yenyewe.
Filipino
0
4
23
427
𝗮 𝗰 𝗼 𝗿 𝗱 retweetledi
888
888@444holywitch·
Nimejifunza kuwa hisia zako si udhaifu. Ndizo zinakuonyesha ukweli wako wa ndani. Ukizikimbia, unajikimbia wewe mwenyewe. Nimejifunza kuwa nguvu ya kweli si kujifanya hauumii, ni uwezo wa kukubali maumivu yako bila yanauma kiasi gani.
Indonesia
1
3
16
400
MRENO⛑️
MRENO⛑️@mreno255·
Akishakua hivi hata ukimkumbatia tuu anashika mimba na hua haitoki hata achoropoe vipi 🤣
MRENO⛑️ tweet media
Indonesia
29
22
114
4.1K
𝐍𝐨𝐛𝐨𝐝𝐲 𝐢𝐬 𝐬𝐚𝐟𝐞 🎭
Nakumbuka kipindi icho Twitter ilikuwa na makundi ya aina mbili 'wapwa' na 'mabloo' ili uwe bloo inabidi uwe na followers kuanzia 10k kupanda. Waliokuwa na izo namba wakisema kitu ukiwa na mtazamo tofauti wanakuambia "NGOJA NIKUJIBU UPATE ATTENTION" Wako wapi hawa?😅💔
Filipino
37
21
140
8.5K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
“Asante kwa UELEWA WAKO” nani kaelewa hizi ngonjera?😂🫵🏾
SATIVA tweet media
Filipino
107
84
1.3K
73.7K