Mwanasheria Mkuu Profesa Adelardus Kilangi afanya mazungumzo na Uongozi wa TLS.
Jana alhamsi Mwanasheria Mkuu wa Serikali amekuwa na majadiliano ya kina Rais wa TLS Dkt Rugemeleza Nshala na wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi Akimkabidhi kitabu Mwandishi Mkuu wa Sheria Sarah Barahomoka wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwaaga watumishi wanaostaafu Utumishi wa Umma kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.