AnyitikePM retweetledi

Serikali inataraji kujenga maabara tatu za taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) katika mikoa ya kimadini Dodoma, Geita na Chunya.
Ujenzi wa maabara hizi utaboresha uchunguzi wa madini na kupunguza gharama za uchambuzi nje ya nchi.
#MamaAnafanikisha
#KaziNaUtuTunasongaMbele

Indonesia






























