Jr Kumwembe
1.4K posts

Jr Kumwembe
@aullerius
Real Madrid| Simba SC
Masasi Tanzania Katılım Eylül 2018
277 Takip Edilen109 Takipçiler

when a girl is asking for a date>>>>>>>



Miles Saint-Peters@saintssiv
finally, a girl asked me for date!!!!!!🤲😊
English

@Cargo_1911 Ile adhabu ya kulala nje ilitosha, imagine kijijin oya, yule bimkubwa amenifundsha vitu ving sana kwa njia ya adhabu
Indonesia
Jr Kumwembe retweetledi
Mwaka 2020 mshikaji wangu mmoja wa kitambo sana alikuja hospitali ambayo nilikua nafanya kazi akiwa na mtoto mgonjwa.
Nikamsadia kupata Matibabu. Wakati fulani tulikaa chini akawa anaelezea matatizo yake kwamba ana watoto wawili kutoka kwa baby mama wawili na wanamla pesa sana. Akaniambia kwamba anatamani elimu yangu, gari yangu na vitu vingine ambavyo nilikua nafanya. Nikamwabia kwamba mchumba wangu ameharibikiwa mimba mbili na sina mtoto. Ningekua ma uwezo ningekua kama yeye bila chochote…lakini aliniambia niteme mate chini kwamba bora mimi.
Mwaka 2024 alinitafuta akiwa na mtoto wa tatu lakini kipindi hiko Nilikua nimefiwa na mtoto wa mwezi mmoja.
Kwanzia kipindi kile nilijifunza sana kua humble na kutouliza watu kwanini hawana kitu hiki au kile kwenye wakati wakiwa na umri fulani bcoz sometimes baraka zako ziko kwenye mambo mengine kabisa.
Nilikua nina vitu vya msingi ambavyo wanaume wengi wanavitaka…nilikua daktari, nilikua na gari, nilikua najenga nyumba, Nilikua na cycle ya watu ambao wangeweza kufanya chochote nipate mtoto na Nilikua nazalisha watoto wa wengine lakini watoto wangu tu ndio kipengele.
Leo hii career yangu imekua sana, uchumi wangu sio mbaya lakini bado sina mtoto.
Learn from me and be humble.

Indonesia

@TwevePauLo Sio kwapa tu, hata mapumbu lazima unuse, ila sijui kwanin
Indonesia

@iqrawangeci And on on top of that, every thing He bought get lost, a house built felt down
This is to prove a swahili statement "Kisicho riziki hakiliki"
English

















