
Week of action! 🔥
Jumapili hii tutacheza mechi yetu ya kwanza ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya AS Maniema ya DR Congo, mechi itakayoanza saa 10.00 jioni (saa za Afrika Mashariki).
#cafconfederationcup #weareazamfc #timuborabidhaabora

Indonesia


































