Surly 619
64K posts


Nikki Mbishi kanyimwa Tu uwezo wa Kutoa Hits kama Jay ila Nikki anaweza Kua mkali Kuliko Jay 🤔







Wimbo unaoufahamu ambao ndani yake inasikika milio ya risasi 🎶 🔫

Ile page ya VELVET club ya insta aisee huko Dar mnaenjoy ndugu zanguni 🙌🏼🙌🏼


Humu ndani nimeona mjadala watu wanasema unaweza kutoka Dar kwenda Moshi ni masaa 4 tu kwa gari. Dar to Moshi ni KM 550 plus Hamna hamna apo humo njiani utembee speed 120 plus Kwa barabara ya Moshi ile miundombinu yake huwezi kwenda speed hiyo muda wote.




Wanaume tusiokua na maisha ya kueleweka tunapitia magumu mengi sana. 🙌🏿

Nimekaa nikafikiria : Big Petr, JT , Ricky , Gallas, Ashy, The Bison , Obi , Ballack, Jean Claude, Lamps , Didi , Anelka, Malouda my word . Angalia hizo species ,The Powerhouses .!Now ukiitazama vitoto vingi unaweza kuwa bully easily. Ila naelewa hizo Powerhouse now kuzipata mh







