Sabitlenmiş Tweet
.
17K posts

.
@chatagustav0
l'm just a shy guy who wants nothing but peace
Inglewood, CA Katılım Temmuz 2023
758 Takip Edilen782 Takipçiler
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi

Tundu Antipas Lissu alizaliwa mwaka 1968 Mahambe, Singida. Alitoka kwenye mazingira ya kawaida ya kijijini hadi kusomea sheria na baadaye kuwa mmoja wa wanasiasa wakubwa wa upinzani Tanzania
Alijijengea jina kupitia uwakili, kupinga ufisadi, kutetea haki za wananchi na hotuba zake kali bungeni akiwa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mwaka 2017 alipigwa risasi Dodoma na kujeruhiwa vibaya tukio hilo likitikisa taifa na kuacha huzuni kubwa kwa umma
Alitibiwa Nairobi kisha baadae Ubelgiji na baada ya kupata nafuu aliendelea kuwa sauti kubwa ya upinzani dhidi ya serikali mwaka 2020 alirejea nchini na kugombea urais kupitia CHADEMA, ambapo alitangazwa kushika nafasi ya pili nyuma ya mgombea wa CCM. Baada ya uchaguzi huo aliendelea kushika nafasi ya uongozi ndani ya chama kama makamu mwenyekiti
Mwaka 2025 alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama baada ya kushinda uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Taifa dhidi ya Freeman Mbowe jambo lililoashiria mabadiliko makubwa ya uongozi ndani ya CHADEMA! TAL ni mwanasiasa wenye ushawishi mkubwa na mjadala mkubwa zaidi katika siasa za Tanzania
Mwaka 2025, Tundu Lissu alikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya uhaini pamoja na kesi nyingine za kisiasa hatua iliyosababisha kuendelea kushikiliwa na kufikishwa mahakamani huku kesi yake ikiendelea




Filipino
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi
. retweetledi













