Francis Fares Maro

5.5K posts

Francis Fares Maro banner
Francis Fares Maro

Francis Fares Maro

@chiefmaro

#Realestate #Transportation #Agriculture #Mining #construction #Africa #Tanzania #kigamboni #Daressalaam #Bagamoyo #Pwani #Zanzibar #investment #industrial

Kigamboni Katılım Mayıs 2011
2.7K Takip Edilen3.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Francis Fares Maro
Francis Fares Maro@chiefmaro·
Muda wangu mzuri kila siku ni pale ninapo Fanya kazi na kufanikiwa,Maisha bila kazi,fedha na Mali sio kitu,tujitahidi kuweka akiba,tutunze mali na fedha kwajili ya watoto wetu
Indonesia
0
2
5
481
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Kampuni za magari ya China ambazo zimefungua ofisi rasmi (dealership) hapa Tanzania; 1. Cherry 2. BYD 3. GWM 4. Changan 5. Omoda 6. JAECOO 7. JETOUR 8. MG (Morris Garages) 9. CMC Motors 10. BAIC 11. Foton 12. Haval China global automotive takeover siyo hadithi tena. Siyo 'footnote'. Ndani ya miaka 10 ijayo tutawaona sana wakitawala mitaa kwenye magari mapya. Rwanda wameshashika sehemu kubwa. Na magari ya China ni kama ya Sci-Fi kwa technology na muonekano.
Filipino
27
39
300
49.2K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Mnaweza kuchukulia poa ila kuna wazo la biashara halihitaji hata mtaji ni kuikamata tu fursa kwa kutumia mdomo Anzisha kampuni ya kuwasaidia watu kuhama (kuwabebea vitu na kuvipanga) ukiwa Dar utapiga sana pesa maana watu wanahama kila siku wahamishe kutoka geto A kwenda B.
Indonesia
17
6
112
5.9K
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒@BarakaMaviatu·
Zamaniii ilikua ukienda kusoma shule binafsi unaonekana ulifeli. Miaka hiyo watu wote wanaoongoza taifa walikua wanatoka shule za serikali. Iyunga, Ifunda, Songea boys/girls, Iringa girls, Minaki, Mzumbe. Siku ni kinyume chake.
Filipino
19
42
501
23.9K
Zed🇮🇷
Zed🇮🇷@Zephania_Ndaki·
Mambo Yakienda Vizuri Leo Nataka Niwafundishe Dawa Ya Kusafiri Bure Kwenye Mabasi Bila Kulipa Nauli!! Mpo Tayari😂😂😂
Filipino
55
32
263
14.6K
Francis Fares Maro
Francis Fares Maro@chiefmaro·
@The_PR0F3S0R @Nkya_motors Waache wanao puuzia technology hasa hii AI watu wengi sasa hivi tuna tumia AI kwenye vitu muhimu ambavyo hapo awali tulikua tuna pigwa pesa sasa hivi ni nafuu sana
Indonesia
0
0
0
30
The Top P🇹🇿
The Top P🇹🇿@The_PR0F3S0R·
Sikuhizi nikitaka ramani ya ujenzi AI anafyatua architectural drawings zote.. Nampa na ramani ya kiwanja anapata layout yote... Gharama zote za "consultation" nalipia subscription 😂😂.. Na bonus ananipa hadi BOQ na documents zote.. 😂😂 Imagine kusoma miaka mitano halafu leo dah😭
Indonesia
77
60
1K
77.9K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Issue ya KFC kuwepo bongo wakali wamenambia kumbe zinamilikiwa na wachaga tu wa machame hapo ila wanatumia brand ya KFC kibabu wa U.S.A Kwa mukhtasari huo it means hata hizi sheli za PUMA wanaomiliki ni wakinga tu wa makete ila wanatumia brand ya kimataifa. Hii nimeipenda sana
Filipino
81
24
604
50.5K
Francis Fares Maro
Francis Fares Maro@chiefmaro·
@Adventure_36 @LMwimbile Nina kiwanja changu 1607 SQM,Block 16 Barabara kuu hiyo ya Mivumoni na ni kiwanja Cha kona matumizi ni biashara (200 Millions Tsh)
Indonesia
0
0
1
79
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Baraza la Ardhi Wilaya ya Kigamboni liko mbali sana aisee sio mchezo. Sema kuna majengo kule Mivumoni sio powa, watu wanawekeza sana kule
Indonesia
4
10
139
4.8K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact·
iko hivi mkali Ubalozi hutoa taarifa rasmi (G2G), lakini Lobbyist anafanya Salesmanship ya miradi yetu ya kimkakati kama Madini kwa Maseneta. Washington ni soko la ushawishi, usipokuwa na Sales Agent wa kitaalamu, fursa zako zinachukuliwa na majirani zako unaachwa kwenye mataa.
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07

@Maestrowafact Kwani taasisi zetu za kidiplomasia kama Ubalozi/Wizara hazitoshi?

Indonesia
11
13
21
1.2K
Francis Fares Maro
Francis Fares Maro@chiefmaro·
@MkulimaKante @CarlmaaAI Kutokana na wingi wa watu Kuna bidhaa ukiweka sokoni utauza ikiwa una team nzuri ya masoko na mauzo kwa bidhaa za GSM Bado sana kishindana sokoni na MO kama ilivyo kwa Jambo,Sayona,Afiya na Azam yenyewe Bado sana kumpiku MO
Indonesia
1
0
2
71
Kante
Kante@MkulimaKante·
GSM mjanja sana anaplace kete zake kwa akili nyingi sana. Picha linaanza kanunua hisa za kutosha pale mjini Jangwani automatic mashabiki wakamkubali kumbuka Yanga ina mashabiki kama 15+ milioni hata kashateka hisia Mdogo mdogo akaanza kuwasogezea bidhaa mara gsm water, mara g boost which means ana uhakika wa wateja ambao ni Yanga supporters na wengine. Hakika Pesa Inategwa🙌
Filipino
45
33
810
68.5K
Francis Fares Maro retweetledi
State House Uganda
State House Uganda@StateHouseUg·
Obugalo banange @KiiraMotors!! 🗺️ 7,125km from Kampala to Cape Town. One Made-in-Uganda electric bus. 📊 Proven world-class performance at 0.83 kWh/km, 3,240kg CO₂ avoided—powering clean regional travel, 🤝 cross-border connectivity, and people-to-people movement. 🌍 The Kayoola E-Coach moved freely across AfCFTA states as a tradable African good, 📈 expanded market access for African manufacturers, 🤝 secured a landmark 450 e-bus deal, and proved intra-African trade and harmonized operations at scale. When a system begins producing its own data, capital, and contracts, external narration becomes a lagging indicator. Uganda and Africa have crossed that point. We scale.
State House Uganda tweet mediaState House Uganda tweet media
English
104
246
1.2K
111.4K