Daniel Godfrey Chongolo

192 posts

Daniel Godfrey Chongolo banner
Daniel Godfrey Chongolo

Daniel Godfrey Chongolo

@chongolo_daniel

Waziri wa Kilimo (MB), Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mstaafu na Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Tanzania Katılım Mayıs 2022
10 Takip Edilen20.5K Takipçiler
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Kheri ya sikukuu ya Noeli na Mwaka mpya kwenu nyote, Mungu atulinde sawa na mapenzi yake.
Filipino
0
1
3
294
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Nikipokea busara za kwa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dr.AshaRose Migiro katika jukwaa la kampeni Mbalizi, Mbeya. Kazi inaendelea. #naendeleakujifunza
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
7
8
80
1.4K
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Karibu Njombe mgombea Urais wa CCM Dr. Samia Suluhu Hassan. Njombe ipo salama
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
3
5
49
1.3K
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Jana nilifanya ziara katika Halmashauri ya Mji Tunduma na kutembelea Hospitali ya Mji Tunduma ili kujionea namna ya utoaji huduma ya madaktari bigwa wabobezi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambao wametawanywa kutoa huduma za kibingwa na bobezi katika Halmashauri tano za mkoa huu
Daniel Godfrey Chongolo tweet mediaDaniel Godfrey Chongolo tweet mediaDaniel Godfrey Chongolo tweet mediaDaniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
10
14
75
3.1K
Daniel Godfrey Chongolo retweetledi
Matokeo ChanyA+
Matokeo ChanyA+@matokeochanya·
Mkuu wa Mkoa wa Songwe @chongolo_daniel akieleza changamoto zinazokabili mkoa huo kwa Mkuu wa Kanisa la KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa ili Viongozi wa Dini wa kusaidia kutoa elimu kwa waumini wa kanisa hilo.
Indonesia
1
4
8
776
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Leo nimeongoza Wananchi wa Wilaya Mbozi mkoani Songwe kupanda miti katika msitu wa asili wa Ilembo ikiwa ni sehemu ya shughuli za kusherehesha miaka 60 ya Muungano wetu. Hakika Songwe ni salama karibuni.
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
9
17
130
3.6K
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Nawatakia Pasaka njema Wananchi wote wa Mkoa wa Songwe tusheherekee Pasaka kwa kudumisha Amani na Upendo bila kuvunja sheria.
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Filipino
16
13
132
5.4K
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Msisitizo huu wa RPC Senga unathibitisha namna Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe walivyojipanga katika kipindi chote cha Sikukuku za Pasaka. Ombi letu kwa Wananchi tiini sheria na muwe na sherehe njema.
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
4
8
86
2.8K
Daniel Godfrey Chongolo
Daniel Godfrey Chongolo@chongolo_daniel·
Nikimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba nilipopita kumsalimia ofisini kwake Iringa mjini. Mh. Serukamba ni darasa la bidii kwenye kazi.
Daniel Godfrey Chongolo tweet media
Indonesia
59
40
796
32.3K