clickHabari

74.9K posts

clickHabari banner
clickHabari

clickHabari

@clickHabari

Chanzo chako namba moja cha habari Tanzania mtandaoni, kwa lugha ya Kiswahili.

Dar es Salaam Katılım Kasım 2015
0 Takip Edilen213.3K Takipçiler
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Tarehe 08 Aprili, 2026 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma Rais Samia alitangaza kupunguza msafara wake ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa mafuta nchini. Tazama Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10 Aprili, 2026 akiwasili kwenye hafla ya Uzinduzi wa minara 758, maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na kukabidhi Mkongo wa Mawasiliano Serikalini kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026.
Indonesia
1
0
4
504
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Mwili wa aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Marehemu Mhe. William v. Lukuvi ukitolewa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa kuelekea nyumbani kwake , leo tarehe 26 Machi 2026, Area D jijini Dodoma. Mhe. Lukuvi amefariki dunia tarehe 25 Machi 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa Matibabu.
clickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet media
Indonesia
1
2
19
3.4K
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Rais Samia ahimiza umoja wa kitaifa, licha ya tofauti za kiimani. #ClickHabari
Indonesia
0
0
0
121
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kulinda uhuru wa kila Mtanzania kuabudu kulingana na imani yake, huku akisisitiza umuhimu wa kuheshimu mipaka ya uhuru huo ili kudumisha amani na mshikamano wa taifa. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumamosi, Machi 21, 2026 wakati akishiriki Baraza la Eid al-Fitr lililofanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika hafla hiyo, Rais Samia amesema kuwa Serikali inatambua na kuheshimu haki ya msingi ya uhuru wa kuabudu, lakini akaonya kuwa uhuru huo unapaswa kutumika kwa kuwajibika.
clickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet media
Indonesia
0
1
5
348
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiagana na wananchi waliohudhuria swala ya Eid El-Fitri katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI), Kinondoni. jijini Dar es Salaam tarehe 21 Machi, 2026.
clickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet media
Indonesia
0
0
2
170
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki swala ya Eid El-Fitri katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA (Mfalme Mohamed VI), Kinondoni, jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Machi, 2026.
clickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet mediaclickHabari tweet media
Indonesia
0
0
3
144
clickHabari
clickHabari@clickHabari·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Balozi Ombeni Sefue, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18, Machi, 2026.
clickHabari tweet media
Indonesia
0
3
3
168