clementc retweetledi

Rio Ferdinand accused of sports washing after going on Tanzania govt visit hosted by minister - his "good friend" - who has been sanctioned by USA for gross violations of human rights. thetimes.com/sport/football…
English
clementc
34.8K posts

@cycleclement
Be yourself and keep it simple


Baki kusimuliwa tu suala la kutekwa 😭 usifanyiwe hili jambo! Maana in that moment unapata nguvu na akili ajabu! Hadi baadaye watu wanauliza ulipataje wazo kufanya haya!? Ila unapokuwa umebanwa kwanza akili inakuwa CLEAR na kila sekunde unaifanyia tathmini na kutolea maamuzi hapohapo! Pili unakuwa na nguvu ya AJABU! Mi mwanamke ila niliwapiga teke wanaume hadi walipiga kelele 😅 na kung’ata nilipanga wakanikaba! Kuna siku tutakusanyana tusimulie ila baki kusikia kwa wengine Yote kwa yote kuna Mungu pia - tusali sana kila siku na tuombane!





DAAH.




















