clementc

33.6K posts

clementc banner
clementc

clementc

@cycleclement

Be yourself and keep it simple

Katılım Eylül 2021
4.6K Takip Edilen5.8K Takipçiler
clementc retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
MAWAKILI WA CHADEMA WAKIWASILI DODOMA KUTETEA CHAMA CHAO: Ni haki kwa mlalamikaji yeyote kutafuta haki yake mahakamani ila historia inaonesha matumizi ya mifumo ya mahakama kutatua migogoro ya vyama vya siasa hayajaonesha mafanikio ya kudumu barani Afrika. Mfano mashuhuri ni ANC iliyopigwa marufuku mwaka 1960 na Makaburu, ikalazimika kufanya shughuli zake kwa siri, takriban miaka 32 viongozi wake wakifungwa au kukaa uhamishoni. Matokeo ANC ikajijengea uhalali mkubwa ndani na nje ya nchi na hatimaye, Mfumo wa ubaguzi ulipoanguka, ANC iliibuka ikiwa na nguvu zaidi na kushinda uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 chini ya uongozi wa Nelson Mandela. Jaribio la kukiondoa chama hicho kupitia sheria liliishia kukiimarisha. Pili ni Senegal, chama cha PASTEF kilipigwa marufuku mwaka 2023. Hatua hiyo ilichochea hisia za wananchi dhidi ya kile kilichoonekana kama ukandamizaji wa kisiasa, na mwaka mmoja tu baadaye, 2024, viongozi wanaohusishwa na chama hicho walishinda urais. Tukio hili linaonyesha jinsi hatua za kisheria zinavyoweza kubadili chama cha upinzani kuwa alama ya mapambano ya kisiasa. Tatu, Gambia, wakati wa utawala wa Yahya Jammeh, vyama vya upinzani vilikumbana na vizuizi vikali, ikiwa ni pamoja na kupigwa marufuku. Hata hivyo, vyama hivyo vilijipanga upya, vikaungana, na hatimaye kushinda uchaguzi wa mwaka 2016. Hivyo basi, ukandamizaji haukuondoa nguvu zao bali uliwafanya wawe na mshikamano zaidi. Tanzania tunatambuliwa kuvisaidia vyama vya ukombozi wa Afrika hadi uhuru wao, huku vikiwa vimepigwa marufuku na tawala za kikoloni ikiwemo: ZANU-PF ya Zimbabwe, MPLA ya Angola, na FRELIMO ya Msumbiji. Matumizi ya mahakama katika ushindani wa kisiasa hakulipi. USHAURI WANGU TUJISAHIHISHE NDANI NA NJE YA VYAMA VYETU kushindania uongozi bora hasa wakati huu tunapohitaji MARIDHIANO na MSHIKAMANO ili kulileta taifa letu Pamoja.
Anna Tibaijuka tweet media
Indonesia
44
154
506
13.9K
clementc retweetledi
Joyce Evaristi
Joyce Evaristi@JoyceHuru·
Kwa majirani sala zao zinakaribia kujibiwa!
Joyce Evaristi tweet media
Indonesia
10
10
180
15.7K
clementc retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Father ameongea vizuri sana, Kuna ujinga uliingia serikalini na watu wamefundishwa sana huu upuuzi Unapofanya kiapo ni kwa mujibu wa katiba kwa maslahi ya nchini Ukiingia kwenye ofisi kisha ukaanza ambiwa mambo mengine mengi ya kuvunja sheria, ina maana hiyo ofisi inafanya uharifu na uwajibikaji ni lazima hata kama ni Bi Msumi Kwenye kufanya uharifu kinyume na katiba moja kwa moja kiapo chako hakifanyikazi kwenye hizo siri maana umeapa kulinda katiba na sheria, watu wanapouwawa ana kutekwa hakuna sheria inaruhusu upuuzi wa aina hiyo, moja kwa moa unakuwa unashiriki uharifu na unakuwa mshenzi kama wao hapo hakuna siri unafanya unachofanya ni uovu kufanya uovu wenyewe, ni kinyume na imani yako yoyote ile uliyonayo na kinyume na sheria zetu zote
Indonesia
3
25
86
2.4K
clementc retweetledi
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
“Kumshika Tundu Lissu ukamweka kizuizini bila kosa ni hatari kama vile kusafiri na Mwili wa Osama bin laden akiwa ameuwawa na unakatiza Yemen 🇾🇪” I like the sentence
Dr Lwaitama tweet media
2
31
126
3.6K
Unkonfined
Unkonfined@unkonfined·
Stop unfollowing people after they follow you back!
English
1.1K
485
1.8K
59.8K
clementc retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mungu wangu ananipenda sana kuna matukio mengi ya hatari amekua akiniepusha nayo kwa nyakati tofauti mpaka huwa nakosa neno la kusema. Unakuta wakati mwingine nimekaa zangu mahali mara nasikia roho inaniambia ondoka hapa haraka, nanyanyuka na kuondoka ile nimeondoka tu, nashangaa napigiwa simu naambiwa muda ule umeondoka tu hazijapita hata dakika 10 kuna jamaa wamekuja hapa na gari haina plate # walikuwa wanakuulizia. Au wakati mwingine nataka kwenda mahali ila roho inakataa kabisa, asa nikiforce lazima nikutane na lakukutana nalo.😥 Hata ile siku Vijana wa Mafwele wameniotea, roho ilikuwa inanimbia ondoka Kisutu, nikapuuza, mdogo angu @JohnNgutiCDM alinipigia simu mara tatu ananimbia, Sister ondoka hapo Kisutu ni kubaya sana leo, njoo huku Mikocheni HQ nikamuitikia lakin bado nikaendelea kubaki mwisho jamaa wakaniotea. Kiukweli ile siku nilijilaumu sana, moyoni nilikuwa na majuto mengi nikajisemea kama ningeisikiliza roho yangu wakati inaniambia niondoke wala yasingenipata. Kuna muda kila nikitafakari haya mambo huwa nashindwa kabisa niseme nini mbele za Mungu najikuta naishia tu kusema asante Baba wa mbinguni, wewe uliyeumba mbingu na nchi maana kama ungekuwa sio mkono wa Mungu huenda mpaka muda huu ningekuwa nilishapotezwa na kusahaulika. Lakin pia nawashukuru wote ambao huwa mnaniombea kwenye sara zenu wengine hata hatufahamiani lakin mkipata muda huwa mnaniombea Mungu awabariki sana, tuendelee kuombeana maana maombi ni silaha moja kubwa sana katika vita hii maana Biblia inasema ”VITA SI YENU BALI NI YA MUNGU” so tuendelee kusimama upande wa Haki, tuendelee kuamini Mungu atatushindia.🙏❤️
Indonesia
31
93
689
25.7K
clementc retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama mnafki sana kama angekuwa anajua umuhimu wa Umoja wa kitaifa asingeuwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi. Ameuwa ndugu zetu kama kuku akaona haitoshi akaja kutamba na kejeli za kwamba “Nguvu iliyotumika Oktoba 29 iliendana na tukio” Ameona sasa hivi kila anakoenda kutembeza bakuli wanamnyima pesa ndo anakuja hapa na ngojera za Umoja wa kitaifa sijui nyenyenye anadhan sie wajinga. Kamwe hatutasahu huu ukatili aliotutendea Oktoba 29.
Hilda Newton tweet media
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano

Rais Samia ahimiza umoja wa kitaifa, licha ya tofauti za kiimani

Indonesia
5
74
203
4.5K
clementc retweetledi
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
MAHUBIRI JADID KABISA KUTOKA KWA ASKOFU GWAJIMA. MUNGU haya ndio maombi yetu kama taifa tunaomba uyasikie. Sema AMEN🙏
Indonesia
42
167
771
24.9K
clementc retweetledi
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Waendelee kumshikilia ila akidhurika sidhani kama kuna sheikh askofu wala padri ataongea na watanzania wamsikilize (SIDHANI)
💨mangi mkuu tweet media
Indonesia
4
15
59
989
clementc retweetledi
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
Acheni kiburi pokeeni huu ushauri mwachieni LISSU. Bila hivyo mnaendelea kuligawa taifa. Hicho nchicho tunachotaka na kukipigania tangu 1961? Kwani mnashindana na Nani? Mnaogopa nini? Kama mnaogopa harakati zake akiachiwa; je! mataiweza hasira ya wananchi kama akifia mahabusu?
Indonesia
4
22
123
2.9K
clementc retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mwambieni @SuluhuSamia kuwa huu ni ushauri mzuri - iwe kwa bahati mbaya au kutokana na njama zake ovu, Lissu akidhurika atasababisha matatizo makubwa na safari hii hakutakuwa na mwamuzi! Hiki kiburi chake Bi Msumi kitammaliza ila bado ana dirsha ndogo ya kutoboa akimwachia Tundu Lissu! Nje ya hapo mwisho unaomsubiri ni mbaya! Haya si vitisho au utabiri, ni #FACT Haya! #TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Indonesia
21
180
647
28.3K
clementc retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
The violence Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting, demanding free and fair elections. Huyu mwanamke alipigwa risasi geita nyankumbu tarehe 31/10 alikuwa Ameenda kununua mafuta na hapo alikuwa na mimba ya miezi 6,😭ameacha watoto wadogo mpaka sasa ukiwauliza mama yuko wap wanasema Ameenda kununua mafuta 😭😭huyu samia ni muuaji hastahili hata kuongoza familia 😭
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Filipino
213
975
2.8K
303.5K
clementc retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Afrika buana 🙄 Same sh*t different toilets!
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus

#ZIMBABWE: KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI ZIMBABWE TENDAI BITI AKAMATWA Kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe na Waziri wa zamani wa Fedha, Tendai Biti, amekamatwa mjini Mutare alipokuwa akiandaa mkutano wa hadhara kupinga mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba ambayo yanaweza kuongeza muda wa Rais Emmerson Mnangagwa kuendelea madarakani. Kwa mujibu wa chama chake pamoja na makundi ya kiraia, Biti alikamatwa siku ya Jumamosi pamoja na wanaharakati kadhaa na waandishi wa habari. Mapendekezo hayo ya marekebisho ya Katiba, yaliyowasilishwa mapema mwaka huu, yanakusudia kuongeza muda wa urais kwa miaka miwili na pia kubadilisha utaratibu wa kumchagua rais. Makundi ya upinzani yamekosoa mpango huo, yakisema mabadiliko ya aina hiyo yanapaswa kwanza kupitishwa kupitia kura ya maoni ya wananchi.

English
5
15
89
2.9K
clementc retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Polisi wengi wana historia ya shida ya akili Ibra anatajwa hapa ni polisi muuaji wa muda mrefu Wananchi msikubali kuendelea kupigwa na wahuni polisi hana mamlaka hiyo Polisi akianza kupiga mtu athibitiwe hapo hapo
Indonesia
9
65
212
7.3K
clementc retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Imeanzishwa media ya kuwakumbuka ndugu zetu waliouwawa Tarehe 29.10.2025. Media hii itapost kumbukizi zote za uovu WOTE wa Serikali. Media inatwa @Mo29Tv
Hilda Newton tweet media
Indonesia
58
353
1.6K
24.3K