David Djumbe retweetledi

TANGAZO KWA WANAFUNZI WOTE
Pichani ni mwanafunzi anayefahamika kwa jina la *ALBERT JEREMIA SOMBI* mwenye namba ya usajili *DSM/BSLM/25/004449* anaesoma kozi ya *BACHELOR OF SHIPPING AND LOGISTICS MANAGEMENT* Mwaka wa kwanza
Amepotea na mbaka sasa haijulikani wapi alipo kwa yeyote atakae bahatika kumuona sehemu yoyote tunaomba atupatie taarifa kwa namba hizi
0627625975
0793559747

Filipino






















