David Djumbe

4.4K posts

David Djumbe banner
David Djumbe

David Djumbe

@daviddjumbe

Human Rights Activist / PA to Hon Tundu Lissu/ Former Chairman & Founder of TAHLISO / The Green life Network / Consultant

Dar es Salaam Katılım Şubat 2011
796 Takip Edilen6.5K Takipçiler
David Djumbe retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
TANGAZO KWA WANAFUNZI WOTE Pichani ni mwanafunzi anayefahamika kwa jina la *ALBERT JEREMIA SOMBI* mwenye namba ya usajili *DSM/BSLM/25/004449* anaesoma kozi ya *BACHELOR OF SHIPPING AND LOGISTICS MANAGEMENT* Mwaka wa kwanza Amepotea na mbaka sasa haijulikani wapi alipo kwa yeyote atakae bahatika kumuona sehemu yoyote tunaomba atupatie taarifa kwa namba hizi 0627625975 0793559747
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
2
73
239
11.6K
David Djumbe retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Wakenya wanajua rais ni mtumishi wa umma sio Mfalme wala Mtume.. Wakenya wana katiba na sheria bora na wanaziheshimu, wanajua kukosoa serikali au kumkosoa rais sio kosa na sio kosa la kufanya utekwe , kuuwawa au kupotezwa. Kama kiongozi anasema wazi kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake!!! Vipi mama kijijini ambae yeye hana kamba wala urefu wa kula? Watanzania tusikubali.
Indonesia
30
183
676
14.2K
David Djumbe retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
Don’t suppress or silence Gen Z. Let’s answer their questions. What you see as unrest to you is, in fact, a question demanding answers. Gen Z should not be hated they are a generation that questions. They deserve real answers to the fundamental issues about their nation: their economy, their natural resources, and their land not the tired, dogmatic responses and empty rhetoric we are used to. The Apostle Paul deeply understands Gen Z. Mwalimu Nyerere would embrace them wanting them to be patriotic, bold, and unafraid to question the core issues. In 1 Timothy 4 :12 the Apostle Paul says: “Let no one despise your youth, but set an example for the believers in speech, in conduct, in love, in faith, and in purity.” Truth, justice, and accountability this is what Tanzanians are demanding. BAK Mwabukusi
English
8
100
274
5.3K
David Djumbe retweetledi
Hamadi.Mbeyale🔥🔥
Hamadi.Mbeyale🔥🔥@hamadimbeyale·
"Tundu Lissu si MHAINI lakini ana makosa matatu. 1. Kosa la kwanza kupigania rasimali za nchi hii, 2. kosa la pili kupinga utekaji na kosa la tatu. 3. kupigania Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi." #FreeTunduLissu. #UkweliHakiUwajibikaji
Hamadi.Mbeyale🔥🔥 tweet media
Indonesia
3
101
350
4.1K
David Djumbe retweetledi
Mzawa Online
Mzawa Online@mzawaonline·
#VIDEO: Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuna umuhimu wa mahakama kuisikiliza kesi ya Tundu Lissu kwa wakati, kikisisitiza kuwa haki inapaswa kutolewa kwa kuzingatia misingi ya utawala wa sheria. Akizungumza Mei 5, 2026 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari, mwanasheria wa chama hicho, Gaston Garubindi, amesema hawajasema mahakama imuachie Lissu, bali wanachotaka ni kesi yake kuitishwa, kusikilizwa na kuamuliwa kulingana na ushahidi, akieleza kuwa lengo ni kuona haki ikitolewa kwa kuzingatia taratibu za kisheria. Kauli hiyo imetolewa kufuatia kauli ya Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, aliyozungumza Mei 4, 2026 jijini Dodoma, akisisitiza umuhimu wa viongozi wa kisiasa kutoa kauli kwa kuzingatia misingi ya kisheria ili kulinda uhuru wa mahakama. #MzawaUPDATES
Indonesia
2
26
177
8.2K
David Djumbe retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
“KUINGIA BARABARANI” siyo kosa ambalo POLISI wamepewa MAMLAKA KISHERIA ya KUUWA WATU. Kazi ya POLISI ni KUKAMATA watu ambao WANAVUNJA SHERIA na SIYO KUUWA WATU. Kimsingi, POLISI AKIUWA WATU kinyume cha SHERIA, anakuwa ni MHALIFU TU kama WAHALIFU WENGINE.🥲
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
16
59
325
11.4K
David Djumbe retweetledi
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
“Piga mikwaju, wakija kwangu napiga mikwaju,” President Suluhu calls for Ruto’s co-operation to ‘discipline’ Gen Zs agitating for good governance in East Africa
299
390
1.1K
188.1K
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
SAMIA athibitisha kwamba yeye ndiye aliyeamuru wanaharaka Boniface Mwangi wa Kenya na Agatha wa Uganda kuteswa kinyama walipokuja kufuatilia kesi ya Mh Lissu @TunduALissu April 2025. Kauli yake kwamba wana harakati washughulikiwe Kila mahali ni ushahidi mwingine juu ya tabia yake ya kuteka na kuua wanaharakati, na anataka nchi jirani zifanye hivyo pia. ICC INAMSUBIRI, HAKUNA NAMNA ATAPONA HUYU MUUAJI.
David Djumbe tweet media
Indonesia
10
62
267
7.3K
David Djumbe retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
TAARIFA kijana anaitwa Peter Mtondo Bulakuvye (CHADEMA) alikamatwa jana asubuhi na watu wa Usalama na baadae wakampeleka Oysterbay kwa kosala linalodaiwa la kimtandao. Kwamba aliwatumia meseji Mzee Wasira na Prof Kabudi ya kuwataka wamuogope Mungu watende haki. Bado yuko Oysterbay Polisi na hawataki kumuachia wala kumpa dhamana.
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
24
179
810
31.4K
David Djumbe retweetledi
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
'MAMA ANASEMA TUCHAPWE MIKWAJU, TUTALINDA DEMOKRASIA KAMA WATOTO WATOVU WA ADABU!'- SIFUNA AJIBU KAULI YA SAMIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezua mjadala baada ya kutoa kauli akitaka kuchukuliwa hatua kali dhidi ya kile alichokiita “vijana watovu wa nidhamu” wanaojihusisha na harakati za uanaharakati katika ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza wakati wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Tanzania, Samia alisema suala hilo lilijadiliwa kati yake na kiongozi huyo wa Kenya, akipendekeza mamlaka katika ukanda huu zichukue hatua madhubuti dhidi ya wanaharakati anaodai huvuka mipaka na kusababisha fujo kwa jina la demokrasia. Alisisitiza kuwa hatua kali zinahitajika, akionya kuwa neno demokrasia halipaswi kutumika kuvuruga utulivu wa nchi. Kauli hizo zimeibua mjadala, huku baadhi ya viongozi na wanaharakati kutoka Kenya wakijibu hadharani. Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna alijibu kupitia mtandao wa X, akipinga kauli hizo na kusisitiza kuwa kulinda demokrasia si kosa. "Mama anasema tuchapwe mikwaju…tutalinda demokrasia kama watoto watovu wa adabu!” aliandika.
MwanzoTvPlus tweet media
Indonesia
5
76
308
15.4K
David Djumbe retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️INSECURITY TANZANIA ‼️ Another day another body washed up from Msimbazi river - this time it was spotted at Sealander bridge The murderous cabal of @SuluhuSamia legacy is murdering and discarding bodies! Do not be suprised to hear this is another abducted individual! Terible @volker_turk according to Chande these people disappeared like in Europe because of love disputes or bad debts! What is Chande doing on the Fact finding mission to Sudan - it beats me @UN_HRC #SamiaMustGo
English
13
148
407
15.9K
David Djumbe retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Flashback ya HEKIMA za Hayati Nyerere, Baba wa Taifa.
Indonesia
2
49
187
4.9K
David Djumbe retweetledi
Edwin Sifuna
Edwin Sifuna@edwinsifuna·
Mama anasema tuchapwe mikwaju…tutalinda demokrasia kama watoto watovu wa adabu!
Indonesia
673
2.7K
8.5K
396.8K
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
Ujinyee mwenyewe, tukisema umejinyea unanuka mavi ndio tumekuwa wahalifu. HUWEZI NYAMAZISHA SAUTI YA HAKI KWA VITISHO. MAPAMBANO YANAENDELEA HADI HAKI KWA WATANZANIA IPATIKANE. WEWE NI RAIS HARAMU.
Indonesia
4
26
95
1.4K
David Djumbe retweetledi
Edwin Sifuna
Edwin Sifuna@edwinsifuna·
Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki rasmi kama wakenya kwa uovu huo. Ndugu zetu wa Tanzania jueni hatujamtuma mtu! Tunasimama na haki, demokrasia na uhuru wa wananchi katika kanda hii yetu na hatuezi kuonekana kutambua uongozi wa ki imla.
Edwin Sifuna tweet mediaEdwin Sifuna tweet media
Indonesia
192
1.7K
4.8K
130.7K
David Djumbe retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Leo, muda huu, tupo Landmark, Ubungo, Dar es Salaam katika kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Dar es Salaam ambao ni wanachama CHADEMA STUDENTS ORGANIZATION (CHASO), Dar es Salaam na limehutubiwa na viongozi wakuu wa CHADEMA. Kongamano maalum kwa ajili ya kuzungumza na vijana wa CHADEMA katika mustakabali wa kesho yao. Nimefurahi kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu takribani 1,000 wameujaza ukumbi na morali ya hali ya juu kabisa. CHASO ni chanzo cha fikra bora. #PeoplesPower NB; vijana hawajasombwa, hawajalipwa, hawajalazimishwa.
Indonesia
22
222
1.3K
19.7K