David Djumbe

4.4K posts

David Djumbe banner
David Djumbe

David Djumbe

@daviddjumbe

Human Rights Activist / PA to Hon Tundu Lissu/ Former Chairman & Founder of TAHLISO / The Green life Network / Consultant

Dar es Salaam Katılım Şubat 2011
795 Takip Edilen6.5K Takipçiler
David Djumbe retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
“KUINGIA BARABARANI” siyo kosa ambalo POLISI wamepewa MAMLAKA KISHERIA ya KUUWA WATU. Kazi ya POLISI ni KUKAMATA watu ambao WANAVUNJA SHERIA na SIYO KUUWA WATU. Kimsingi, POLISI AKIUWA WATU kinyume cha SHERIA, anakuwa ni MHALIFU TU kama WAHALIFU WENGINE.🥲
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
16
59
320
11.2K
David Djumbe retweetledi
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
“Piga mikwaju, wakija kwangu napiga mikwaju,” President Suluhu calls for Ruto’s co-operation to ‘discipline’ Gen Zs agitating for good governance in East Africa
266
372
1K
158.5K
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
SAMIA athibitisha kwamba yeye ndiye aliyeamuru wanaharaka Boniface Mwangi wa Kenya na Agatha wa Uganda kuteswa kinyama walipokuja kufuatilia kesi ya Mh Lissu @TunduALissu April 2025. Kauli yake kwamba wana harakati washughulikiwe Kila mahali ni ushahidi mwingine juu ya tabia yake ya kuteka na kuua wanaharakati, na anataka nchi jirani zifanye hivyo pia. ICC INAMSUBIRI, HAKUNA NAMNA ATAPONA HUYU MUUAJI.
David Djumbe tweet media
Indonesia
3
48
199
5.6K
David Djumbe retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
TAARIFA kijana anaitwa Peter Mtondo Bulakuvye (CHADEMA) alikamatwa jana asubuhi na watu wa Usalama na baadae wakampeleka Oysterbay kwa kosala linalodaiwa la kimtandao. Kwamba aliwatumia meseji Mzee Wasira na Prof Kabudi ya kuwataka wamuogope Mungu watende haki. Bado yuko Oysterbay Polisi na hawataki kumuachia wala kumpa dhamana.
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
23
169
739
27.7K
David Djumbe retweetledi
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
'MAMA ANASEMA TUCHAPWE MIKWAJU, TUTALINDA DEMOKRASIA KAMA WATOTO WATOVU WA ADABU!'- SIFUNA AJIBU KAULI YA SAMIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezua mjadala baada ya kutoa kauli akitaka kuchukuliwa hatua kali dhidi ya kile alichokiita “vijana watovu wa nidhamu” wanaojihusisha na harakati za uanaharakati katika ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza wakati wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Tanzania, Samia alisema suala hilo lilijadiliwa kati yake na kiongozi huyo wa Kenya, akipendekeza mamlaka katika ukanda huu zichukue hatua madhubuti dhidi ya wanaharakati anaodai huvuka mipaka na kusababisha fujo kwa jina la demokrasia. Alisisitiza kuwa hatua kali zinahitajika, akionya kuwa neno demokrasia halipaswi kutumika kuvuruga utulivu wa nchi. Kauli hizo zimeibua mjadala, huku baadhi ya viongozi na wanaharakati kutoka Kenya wakijibu hadharani. Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna alijibu kupitia mtandao wa X, akipinga kauli hizo na kusisitiza kuwa kulinda demokrasia si kosa. "Mama anasema tuchapwe mikwaju…tutalinda demokrasia kama watoto watovu wa adabu!” aliandika.
MwanzoTvPlus tweet media
Indonesia
5
78
307
14.9K
David Djumbe retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️INSECURITY TANZANIA ‼️ Another day another body washed up from Msimbazi river - this time it was spotted at Sealander bridge The murderous cabal of @SuluhuSamia legacy is murdering and discarding bodies! Do not be suprised to hear this is another abducted individual! Terible @volker_turk according to Chande these people disappeared like in Europe because of love disputes or bad debts! What is Chande doing on the Fact finding mission to Sudan - it beats me @UN_HRC #SamiaMustGo
English
13
150
404
15.6K
David Djumbe retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Flashback ya HEKIMA za Hayati Nyerere, Baba wa Taifa.
Indonesia
2
51
175
4.7K
David Djumbe retweetledi
Edwin Sifuna
Edwin Sifuna@edwinsifuna·
Mama anasema tuchapwe mikwaju…tutalinda demokrasia kama watoto watovu wa adabu!
Indonesia
600
2.3K
7.4K
245.1K
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
Ujinyee mwenyewe, tukisema umejinyea unanuka mavi ndio tumekuwa wahalifu. HUWEZI NYAMAZISHA SAUTI YA HAKI KWA VITISHO. MAPAMBANO YANAENDELEA HADI HAKI KWA WATANZANIA IPATIKANE. WEWE NI RAIS HARAMU.
Indonesia
3
27
95
1.3K
David Djumbe retweetledi
Edwin Sifuna
Edwin Sifuna@edwinsifuna·
Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki rasmi kama wakenya kwa uovu huo. Ndugu zetu wa Tanzania jueni hatujamtuma mtu! Tunasimama na haki, demokrasia na uhuru wa wananchi katika kanda hii yetu na hatuezi kuonekana kutambua uongozi wa ki imla.
Edwin Sifuna tweet mediaEdwin Sifuna tweet media
Indonesia
189
1.7K
4.7K
126.3K
David Djumbe retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Leo, muda huu, tupo Landmark, Ubungo, Dar es Salaam katika kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Dar es Salaam ambao ni wanachama CHADEMA STUDENTS ORGANIZATION (CHASO), Dar es Salaam na limehutubiwa na viongozi wakuu wa CHADEMA. Kongamano maalum kwa ajili ya kuzungumza na vijana wa CHADEMA katika mustakabali wa kesho yao. Nimefurahi kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu takribani 1,000 wameujaza ukumbi na morali ya hali ya juu kabisa. CHASO ni chanzo cha fikra bora. #PeoplesPower NB; vijana hawajasombwa, hawajalipwa, hawajalazimishwa.
Indonesia
22
224
1.3K
19.7K
David Djumbe
David Djumbe@daviddjumbe·
Bongozozo anafanya KAZI kubwa sana ya kuipigania Tanzania iliyo Bora.. HAPA NI ALIPOKUTANA KWA MARA YA KWANZA NA MH TUNDU LISSU @TunduALissu , ilikuwa ni katika Mji wa San Pedro, nchini Ivory Coast.
Filipino
16
125
794
17.2K
David Djumbe retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Tundu Lissu will be free! The issue is not that but the time and circumstances that this will take place! Mnaomshauri Mwuaji in Chief Samia mnafikiri kuna busara imebaki hapo? Sijuu mganga wake ndo kamshauri aendelee kumshikilia Lissu ila akitajiwa tu #FreeTunduLissu anang’aka sana! Alafu sababu hana - mara sijui heshima, mara kanitukana! Ukweli ni kwamba ANAMWOGOPA maana kwa sasa Lissu ni level ya Nyerere ktk kupendwa na umaarufu nje na ndani ya nchi! Na atamwachia tu hakuna namna 👊🏽🔥 Tutaendelea kukaba hadi penalti Tuseme kwa pamoja #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
43
321
1.2K
26.9K
David Djumbe retweetledi
Msigwa Mpenda.
Msigwa Mpenda.@MsigwaMpenda·
Brother @YerickoNyerereT naomba nikukabidhi kauli zako hizi😆😆😆. 1.CHADEMA 2.CHADEMA 3.CHADEMA
10
17
85
3.8K
Famouslady
Famouslady@packer0250·
Everyone filming… then the giant ship rolls completely over
English
902
369
2.7K
3.3M
David Djumbe retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
“Mtu pekee ambae anaweza kutuliza Taifa la Tanzania kwasasa ni Tundu Lissu, muachieni”-; Bongo Zozo
Indonesia
17
404
1.6K
18.6K