David Djumbe retweetledi
David Djumbe
4.4K posts

David Djumbe
@daviddjumbe
Human Rights Activist / PA to Hon Tundu Lissu/ Former Chairman & Founder of TAHLISO / The Green life Network / Consultant
Dar es Salaam Katılım Şubat 2011
795 Takip Edilen6.5K Takipçiler
David Djumbe retweetledi

SAMIA athibitisha kwamba yeye ndiye aliyeamuru wanaharaka Boniface Mwangi wa Kenya na Agatha wa Uganda kuteswa kinyama walipokuja kufuatilia kesi ya Mh Lissu @TunduALissu April 2025.
Kauli yake kwamba wana harakati washughulikiwe Kila mahali ni ushahidi mwingine juu ya tabia yake ya kuteka na kuua wanaharakati, na anataka nchi jirani zifanye hivyo pia.
ICC INAMSUBIRI, HAKUNA NAMNA ATAPONA HUYU MUUAJI.

Indonesia
David Djumbe retweetledi

TAARIFA
kijana anaitwa Peter Mtondo Bulakuvye (CHADEMA) alikamatwa jana asubuhi na watu wa Usalama na baadae wakampeleka Oysterbay kwa kosala linalodaiwa la kimtandao. Kwamba aliwatumia meseji Mzee Wasira na Prof Kabudi ya kuwataka wamuogope Mungu watende haki.
Bado yuko Oysterbay Polisi na hawataki kumuachia wala kumpa dhamana.

Filipino
David Djumbe retweetledi

'MAMA ANASEMA TUCHAPWE MIKWAJU, TUTALINDA DEMOKRASIA KAMA WATOTO WATOVU WA ADABU!'- SIFUNA AJIBU KAULI YA SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezua mjadala baada ya kutoa kauli akitaka kuchukuliwa hatua kali dhidi ya kile alichokiita “vijana watovu wa nidhamu” wanaojihusisha na harakati za uanaharakati katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Akizungumza wakati wa ziara ya kiserikali ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Tanzania, Samia alisema suala hilo lilijadiliwa kati yake na kiongozi huyo wa Kenya, akipendekeza mamlaka katika ukanda huu zichukue hatua madhubuti dhidi ya wanaharakati anaodai huvuka mipaka na kusababisha fujo kwa jina la demokrasia.
Alisisitiza kuwa hatua kali zinahitajika, akionya kuwa neno demokrasia halipaswi kutumika kuvuruga utulivu wa nchi.
Kauli hizo zimeibua mjadala, huku baadhi ya viongozi na wanaharakati kutoka Kenya wakijibu hadharani.
Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna alijibu kupitia mtandao wa X, akipinga kauli hizo na kusisitiza kuwa kulinda demokrasia si kosa.
"Mama anasema tuchapwe mikwaju…tutalinda demokrasia kama watoto watovu wa adabu!” aliandika.

Indonesia
David Djumbe retweetledi

‼️INSECURITY TANZANIA ‼️
Another day another body washed up from Msimbazi river - this time it was spotted at Sealander bridge
The murderous cabal of @SuluhuSamia legacy is murdering and discarding bodies! Do not be suprised to hear this is another abducted individual! Terible
@volker_turk according to Chande these people disappeared like in Europe because of love disputes or bad debts! What is Chande doing on the Fact finding mission to Sudan - it beats me
@UN_HRC
#SamiaMustGo
English
David Djumbe retweetledi

Huyu jama si atusaidie kukabiliana na majizi ya CCM?!!
Wanaiba Kila kitu bila hofu, Rasilimali zetu zinaisha, Hadi kura wanaiba bila hofu.
NITAFUTIENI HUYU TUMPE KAZI.
𝒆𝒏𝒙𝒄𝒉@EN0CX
Man Trapped By A Large Snake After Allegedly Stealing Bananas From A "Witchcraft-Protected" Farm In Tanzania. 😂
Indonesia
David Djumbe retweetledi
David Djumbe retweetledi

Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki rasmi kama wakenya kwa uovu huo. Ndugu zetu wa Tanzania jueni hatujamtuma mtu! Tunasimama na haki, demokrasia na uhuru wa wananchi katika kanda hii yetu na hatuezi kuonekana kutambua uongozi wa ki imla.


Indonesia
David Djumbe retweetledi

Leo, muda huu, tupo Landmark, Ubungo, Dar es Salaam katika kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Dar es Salaam ambao ni wanachama CHADEMA STUDENTS ORGANIZATION (CHASO), Dar es Salaam na limehutubiwa na viongozi wakuu wa CHADEMA. Kongamano maalum kwa ajili ya kuzungumza na vijana wa CHADEMA katika mustakabali wa kesho yao. Nimefurahi kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu takribani 1,000 wameujaza ukumbi na morali ya hali ya juu kabisa. CHASO ni chanzo cha fikra bora. #PeoplesPower
NB; vijana hawajasombwa, hawajalipwa, hawajalazimishwa.
Indonesia

Bongozozo anafanya KAZI kubwa sana ya kuipigania Tanzania iliyo Bora..
HAPA NI ALIPOKUTANA KWA MARA YA KWANZA NA MH TUNDU LISSU @TunduALissu , ilikuwa ni katika Mji wa San Pedro, nchini Ivory Coast.
Filipino
David Djumbe retweetledi

Tundu Lissu will be free! The issue is not that but the time and circumstances that this will take place!
Mnaomshauri Mwuaji in Chief Samia mnafikiri kuna busara imebaki hapo? Sijuu mganga wake ndo kamshauri aendelee kumshikilia Lissu ila akitajiwa tu #FreeTunduLissu anang’aka sana! Alafu sababu hana - mara sijui heshima, mara kanitukana!
Ukweli ni kwamba ANAMWOGOPA maana kwa sasa Lissu ni level ya Nyerere ktk kupendwa na umaarufu nje na ndani ya nchi! Na atamwachia tu hakuna namna 👊🏽🔥
Tutaendelea kukaba hadi penalti
Tuseme kwa pamoja #FreeTunduLissu

Indonesia
David Djumbe retweetledi

Brother @YerickoNyerereT naomba nikukabidhi kauli zako hizi😆😆😆.
1.CHADEMA
2.CHADEMA
3.CHADEMA
David Djumbe retweetledi

A display of #FreeTunduLissu demand by the @dua_africa at the @idualliance 2026 Forum in Zagreb, Croatia 🇭🇷.
#StandWithTundu
#FreeTunduLissu
#IDUForum2026

English
David Djumbe retweetledi





