DarMpya
12 posts

DarMpya
@darmpya_
Bora kusimamia Haki kuliko kuwa mtumwa wa mvunja haki!!!
Katılım Kasım 2021
22 Takip Edilen150 Takipçiler
DarMpya retweetledi
DarMpya retweetledi

Hii nchi wanaofanya kazi kwa V8 ni kama asilimia 0.01%...hamtumii V8 kwa sababu za kiafya bro we ni dokta kabisa..mnatumia sababu ya ubinafsi,kuna ma afisa kilimo wako field kuliko wabunge na hawana V8 na wana afya njema..Hata Nyerere hakuwa na V8 na alizeeka yuko fiti
Dr. Hamisi Kigwangalla@HKigwangalla
Waziri akipanda pick up Hilux 2.8 Toyota kwa miaka mitano na akafanya kazi Kama mimi ya kupitia mapori yote nchini kwa Gari, miaka mitano ijayo hatokuwa Waziri tena! Maana atakuwa na vyuma utu wa mgongo mzima, na nyonga zote!
Indonesia
DarMpya retweetledi

Naomba kuuliza hivi unatoza tozo kwenye pesa yangu ambayo iko Bank, kwa kuwa serikali imenisaidia nini katika hiyo pesa? Maana mtoa huduma ni bank na ameshakata service fee.
#Serikali ituambie why inakata tozo kwenye pesa yangu ambayo iko bank?
Indonesia

@HKigwangalla Imetosha nini?,Itatosha mpaka siku mtakayoacha kuwaibia wananchi!!
Filipino

Haya wapwa imetosha sasa! Tuendelee na mengine…maana hasira zenu zote za tozo mmenishushia mimi dah! 🙏🏿🤛🏾😩Mnisamehe nilipowakwaza, najua mambo magumu mno site, ila magari siyo ‘unnecessary cost’, ongeleeni nyingine, zipo nyingi na kubwa kuliko hii ya magari, tujadili hizo!
Morogoro, Tanzania 🇹🇿 Filipino

@nikkwapili Huu upuuzi unamuandikia nani? Maendeleo bila maumivu ndio nini? Tuna ubaha wa rasilimali kiasi gani hadi tuanze kupora mali na vipato vya watu kwa jina la kufanya maendeleo? Unyang'anyi mnaofanya, sadly wewe unatumika - na ninakuonya usirudie, hauna justification hata kidogo.
Indonesia















