Sabitlenmiş Tweet
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
208.4K posts

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
@davitheempire
Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania 🏆 A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.
Nairobi Katılım Nisan 2014
1.9K Takip Edilen27.1K Takipçiler

AKILI kama ya LISSU haipaswi kuwa GEREZANI hata kwa sec moja #FreeLissu 😭🙏huyu SAMUYA na genge lake ni WAHAINI wanaoishi ikulu na kutembeleax V8 ipo siku tutawawajibisha ba tutawafunga magerezani kwa majina yao
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

"Tume Nyalali ilipendekeza Katiba ya Chama kimoja ya mwaka 1977 ifutwe iandikwe #KatibaMpya." Mhe. @jjmnyika
Filipino
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

" @SuluhuSamia na watu wake walifungulia silaha dhidi ya wananchi wasio na hatia, wakaua maelefu ya watu.”-; Mhe. @HecheJohn
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

Nimeona video mwili wa mwanafunzi wa UDOM aliyeuwawa, kwa kweli nashindwa kuiposti inatia uchungu sana
inasikitisha sana, tumefikishwa mahali pabaya sana kama tusipojinasua sasa
watu wanachinjwa kisha kutolewa viungo vya mwili ionekane kama ni ushirikina, mfumo unaumiza watu na kutengeneza mazingira kama ni matukio tofauti na sio yaliyofanywa na mfumo
Tusikubali ndugu zetu kuendelea kuuwawa kisha tuambiwe ni ushirikina
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

@CFCSam_X @Adv_innocent Sio malkia ni watoto wa King chazi
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

VIVA ROMA Hii NGOMA ilitoka 2015 ila ina VIBE kama imeachiwa jana KAHAMA imesema bila LISSU kuwa HURU hakuna kitu kitaendelea #FreeLissu
Filipino
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

Eti huyu jamaa na chama chake ndio wawaongoze Tanzania kwenye maridhiano. Eti chama hiki kilichotudharau na kutebeza Watanzania kipindi tunajipanga na maandamano ya kukomboa taifa eti leo ndio kisimamie maridhianozzzz
CCM wanajitekenya na kucheka wenyewe. Maridhiano Kati ya CCM na ACT Wazalendo yasituhusishe Watanzania. Wafanye wenyewe kujifurahisha nafsi zao ila wasituhusishe wanachi.
Watanzania imani yetu ipo kwenye chama kilichosimama na sisi kipindi cha mauaji ya Oktoba 29. Na Chama hiko ni Chadema pekee!!!! Vyama vingine vyote hatuvitambui……
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi
Mwenye ile video ya Zitto Kabwe akiwahakikishia CCm kuwa wasijali hakuna maandamano yatatokea kwenye uchaguzi sababu kuna kimoja tu Tanzania kinachoweza kuitishisha maandamano na chama hiko ni ACt na wao wanashiriki uchaguzi. Naomba nitumie hiyo video WhatsApp +1 424 537 3057
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi

Zitto anadhani hizi video tumezisahau. Anadhani Watanzania wamesahau alivyobeza maandamano. Yani kipindi wananchi tunapambana maandamano yafanyike ili haki ipatikane Zitto alikuwa busy kuwahakikishia watesi wetu kuwa uonevu wao na wizi wao wa uchaguzi utaenda fresh tu sababu yeye Zitto na chama chake ndio wenye nguvu ya kufanya maandamano kwenye nchi.
Indonesia
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi















