MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

208.4K posts

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 banner
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

@davitheempire

Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania 🏆 A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.

Nairobi Katılım Nisan 2014
1.9K Takip Edilen27.1K Takipçiler
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
Huu ni USHAHIDI wa kwamba OCTOBER 29 yale mauaji ni mkakati wa ccm kumlinda samia abaki ikulu AJABU msajili na IGP hawaoni Umuhimu huu USHAHIDI kuwa ni sababu ya kuifuta ccm
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Indonesia
0
9
41
595
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
AKILI kama ya LISSU haipaswi kuwa GEREZANI hata kwa sec moja #FreeLissu 😭🙏huyu SAMUYA na genge lake ni WAHAINI wanaoishi ikulu na kutembeleax V8 ipo siku tutawawajibisha ba tutawafunga magerezani kwa majina yao
Indonesia
0
4
11
314
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
"Tume Nyalali ilipendekeza Katiba ya Chama kimoja ya mwaka 1977 ifutwe iandikwe #KatibaMpya." Mhe. @jjmnyika
Filipino
0
95
433
5.6K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
" @SuluhuSamia na watu wake walifungulia silaha dhidi ya wananchi wasio na hatia, wakaua maelefu ya watu.”-; Mhe. @HecheJohn
Indonesia
0
45
200
3.2K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Nimeona video mwili wa mwanafunzi wa UDOM aliyeuwawa, kwa kweli nashindwa kuiposti inatia uchungu sana inasikitisha sana, tumefikishwa mahali pabaya sana kama tusipojinasua sasa watu wanachinjwa kisha kutolewa viungo vya mwili ionekane kama ni ushirikina, mfumo unaumiza watu na kutengeneza mazingira kama ni matukio tofauti na sio yaliyofanywa na mfumo Tusikubali ndugu zetu kuendelea kuuwawa kisha tuambiwe ni ushirikina
Indonesia
13
70
454
27.4K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
City Xtra
City Xtra@City_Xtra·
Arsenal fans have turned up to see the #ManCity bus arrive at the Vitality Stadium this evening. [via @spbajko]
English
82
69
1.8K
150.2K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Wananunua magari makali yenye thamani kubwa lakini barabara za kuyaendesha hakuna wanayafungia ndani kama ma-toy. 🚮🚮🚮
Filipino
0
6
41
1.3K
(fan)Sam
(fan)Sam@CFCSam_X·
Inasubiriwa brace ya janja tu leo ndo watoe kikosi cha watoto wa malkia. Timu yangu ya pili worldcup🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
(fan)Sam tweet media
Indonesia
4
13
31
405
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Evang. Joseph Ugbonma
Evang. Joseph Ugbonma@JosephUgbonma·
Until my last breath, I will continue preaching the gospel. #Evangelism
Evang. Joseph Ugbonma tweet mediaEvang. Joseph Ugbonma tweet media
English
360
900
15.9K
307.2K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
✌️
Chadema Tanzania tweet media
QME
2
91
776
4.7K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Kahama wamesema kesi ya Mhe. @TunduALissu ni ya mchongo.
Indonesia
3
56
234
2.8K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Eti huyu jamaa na chama chake ndio wawaongoze Tanzania kwenye maridhiano. Eti chama hiki kilichotudharau na kutebeza Watanzania kipindi tunajipanga na maandamano ya kukomboa taifa eti leo ndio kisimamie maridhianozzzz CCM wanajitekenya na kucheka wenyewe. Maridhiano Kati ya CCM na ACT Wazalendo yasituhusishe Watanzania. Wafanye wenyewe kujifurahisha nafsi zao ila wasituhusishe wanachi. Watanzania imani yetu ipo kwenye chama kilichosimama na sisi kipindi cha mauaji ya Oktoba 29. Na Chama hiko ni Chadema pekee!!!! Vyama vingine vyote hatuvitambui……
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi

Mwenye ile video ya Zitto Kabwe akiwahakikishia CCm kuwa wasijali hakuna maandamano yatatokea kwenye uchaguzi sababu kuna kimoja tu Tanzania kinachoweza kuitishisha maandamano na chama hiko ni ACt na wao wanashiriki uchaguzi. Naomba nitumie hiyo video WhatsApp +1 424 537 3057

Indonesia
68
233
1K
52.5K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mwenye ile video ya Zitto Kabwe akiwahakikishia CCm kuwa wasijali hakuna maandamano yatatokea kwenye uchaguzi sababu kuna kimoja tu Tanzania kinachoweza kuitishisha maandamano na chama hiko ni ACt na wao wanashiriki uchaguzi. Naomba nitumie hiyo video WhatsApp +1 424 537 3057
Indonesia
28
172
1.5K
101.2K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Zitto anadhani hizi video tumezisahau. Anadhani Watanzania wamesahau alivyobeza maandamano. Yani kipindi wananchi tunapambana maandamano yafanyike ili haki ipatikane Zitto alikuwa busy kuwahakikishia watesi wetu kuwa uonevu wao na wizi wao wa uchaguzi utaenda fresh tu sababu yeye Zitto na chama chake ndio wenye nguvu ya kufanya maandamano kwenye nchi.
Indonesia
7
57
217
4.5K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
City Report
City Report@cityreport_·
James Trafford adds an FA Cup trophy to the League Cup, having played every minute of each competition. 🏆🏆
City Report tweet media
English
1
34
834
9K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Hapa ni KIWIRA leo Tarehe 17/05/2026 , hakuna kiongozi yoyote wa KITAIFA.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
13
137
1.1K
9.9K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
CHADEMA IMARA
Tanzania Abroad TV tweet media
Português
3
45
484
3.9K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
Mwenyekiti wa KANDA ya PWANI Meya Mstafu wa UBUNGO kaka BONI akiteta jambo na MAKAMU MWENYEKITI wa CHADEMA Taifa Mhe. JOHN WEGESE HECHE
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Indonesia
0
22
241
2.8K