MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

210.4K posts

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 banner
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸

@davitheempire

Generally talk a lot about #M4C #KatibaMpya #ManchesterCity #HumanRights #ChangeTanzania 🏆 A Business man- -C.E.O of Next Zone Shine Wear Group.

Nairobi Katılım Nisan 2014
1.9K Takip Edilen27.4K Takipçiler
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Mdogo wake Polepole Godfrey Polepole awataka waatalii na wageni wanaopanga kutembelea Tanzania wasitishe safari zao kwani Tanzania kwasasa ni nchi hatari kuna magaidi 51 wapo Gerezani.
Indonesia
11
94
601
16.1K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
Asanteni Watanzania. Mpaka sasa tumefanikiwa kukusanya TSh. Milioni 239.5, tumebakiza TSh. Milioni 94.5 kufikia lengo la TSh. Milioni 334 CHANGIA M-Pesa Namba: 0744446969 Jina: CHADEMA HQ NMB Bank Namba ya Akaunti: 22606600140 Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Vitus Nkuna tweet media
Indonesia
0
3
9
216
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Asanteni Watanzania kwa mwitikio wenu mkubwa. Mpaka sasa tumefanikiwa kukusanya TSh. Milioni 238.2, na sasa tumebakiza TSh. Milioni 95.8 pekee kufikia lengo letu la TSh. Milioni 334 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma. CHANGIA M-Pesa Namba: 0744446969 Jina: CHADEMA HQ
Indonesia
4
58
216
3.1K
EL-BIKE⁰⁰¹🤔
EL-BIKE⁰⁰¹🤔@Official_ElBike·
@davitheempire Hivi mnafundishwa kukosoa hata pasipo kosa kama uzuzu(Wanawake) ni nini, Siasa sio hiyo keyboard man
Indonesia
1
0
0
31
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
AIBU gani hii watumishi wanaapishiwa kwenye MATENTI 😂😂😂 Licha ya KUJENGA ikulu CHAMWINO kwa gharama kubwa na licha ya kuwa kuwa na IKULU nzuri tu hapo MAGOGONI ila Kate HAKUKALIKI hadi aende kizimkazi 😂
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Filipino
3
4
27
844
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
In case you missed BASHITE na MAFWERE wao hawatakiwi kuingia MAREKANI kwa saabu ya KUDHURUMU HAKI ZA WATU KUISHI.
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Indonesia
1
5
33
878
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
TANGU Dunia iiumbwe TANZANIA ndio nchi pekee MAGAIDI wake hawana shida ya wananchi wala hawajawahi kuwatishia wananvhibila SERIKALI inaohopa kwani kunanini
Indonesia
0
2
4
79
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
GAIDI mwenye SURA nzuri kuliko BINTI ya Mfalme. Kama sio WIVU ni nini??? Kuwaita watoto wa wenzako MAGAIDI halafu wa kwako WATAKATIFU?????
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Filipino
1
8
25
529
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Gaidi ? Kweli ?
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
29
90
648
23.5K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
Haya ndio mavazi rasmi ya MARATHON kote Duniani. Ukiona kuna mtu alienda DODOMA kwenye MARATHON na alivaa CHUPI ama TAITI na juu akavaaa SHARTI ama TISHERT ama JERSEY huyo hakwenda MARATHON alienda kwenye MRADI wa MaCCM KATAENI miradi ya kihuni ya CCM
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Indonesia
0
2
6
565
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
@tanpol Mwambieni FIFA na CAF hawatakubali kupeleka mashindano kwenye nchi ya MAGAIDI ...nyie si mahodari wakuchafua taswira ya nchi tKILA mwananchi anaekwenda kinume na ccm anaitwa GAIDI haya tuone mtafika wapi watakatifi wa ccm
Indonesia
0
1
4
70
Police Force TZ
Police Force TZ@tanpol·
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, ameongoza Mkutano wa Upimaji wa Utendaji Kazi wa Jeshi la Polisi (PRM) uliofanyika Julai 27, 2026, katika Ukumbi wa Polisi Jamii, Jijini Dodoma. instagram.com/p/DbS-jeVjFyd/…
Police Force TZ tweet mediaPolice Force TZ tweet mediaPolice Force TZ tweet media
Indonesia
35
4
48
9.7K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
#Naythetrueboy
#Naythetrueboy@naythetrueboy·
ZXX
5
37
297
9.7K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
Asanteni Watanzania kwa mwitikio wenu CHANGIA M-Pesa Namba: 0744446969 Jina: CHADEMA HQ NMB Bank Namba ya Akaunti: 22606600140 Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Indonesia
0
12
38
741
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
UPDATES KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TEMEKE Leo Pendo Kileo pamoja na wenzake watatu ambao ni Zack Nigula Shija na Jenfrida Petro Mtuka ambao ni Wanachama na Viongozi wa Chadema Wilaya ya Mbagala na Temeke wamesomewa Mashtaka ya UGAIDI. Ikumbukwe kwamba Julai 1, 2026 Pendo alitoa taarifa kituo cha Polisi Chamazi kwamba kuna watu walitaka kumteka, akawambia Polisi kwamba maeneo ambako anaishi kuna CCTV so Polisi wanaweza kuanzia Uchunguzi wao hapo. Julai 4, 2026 Polisi wa Chang’ombe walimpigia simu wakamwambia kwamba aende ili waweze kumpatia mtaalam ambae ataenda nae kuangalia na kuchukua hiyo CCTV footage Sasa badala ya kupewa msaada ambao ameitiwa, Polisi walimkamata, wamemtesa na kumpiga sana kwa siku zote walizokaa nae, hatimaye leo ndo wameamua kumbambika kesi ya UGAIDI.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
27
92
396
33K