MIKEKA DAILY

16.4K posts

MIKEKA DAILY banner
MIKEKA DAILY

MIKEKA DAILY

@firstborn256

Katılım Ağustos 2022
341 Takip Edilen3.8K Takipçiler
MIKEKA DAILY retweetledi
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Watu wa BUKOBA na ARUSHA tumalize utatael neno CHUGA lina maana gani
Headboy wa mtaa tweet media
Filipino
23
19
166
18.4K
MIKEKA DAILY retweetledi
Papii Mananasi
Papii Mananasi@the_fortuna73·
Ipuuzwe hii ni FAKE
Papii Mananasi tweet media
Eesti
12
13
9
138
MIKEKA DAILY retweetledi
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Good morning 😁🙌
Headboy wa mtaa tweet media
English
50
44
311
9.9K
MIKEKA DAILY retweetledi
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Kitu gani umewahi kufanya mpaka leo unajutia? Hutamani wengine wapitie pia Sema ukweli 😁🙌
Indonesia
12
16
51
3K
MIKEKA DAILY retweetledi
kabokamchizi
kabokamchizi@kabokamchizii·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Wananchi tunajua kwamba Tume ya Rais ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29 bado haijamaliza kazi yake. Tunajua pia kwamba Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi hawana tena agenda wameanza kupotosha kuhusu taarifa ya Tume. Tunasubiri siku na tarehe ya
Indonesia
1
7
5
45
MIKEKA DAILY retweetledi
kabokamchizi
kabokamchizi@kabokamchizii·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Baada ya Umoja wa Mataifa kutuma Mwakilishi nchini pamoja viongozi wake kupongeza hatua za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuunda Tume ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29; jambo hilo limewauma Wanaharakati uchwara wanaoishi nje ya nchi na vibaraka wao. Sasa
Indonesia
1
8
6
64
MIKEKA DAILY retweetledi
kabokamchizi
kabokamchizi@kabokamchizii·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Baada ya Wanaharakati Uchwara kuwatuma vibaraka wao kwenda Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kufungua shauri la kupinga Tume ya Rais ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29; Mahakama Kuu imekataa maombi yao tarehe 13.03.2026 na kwamba sababu zao za kuipinga
Indonesia
1
6
4
35
MIKEKA DAILY retweetledi
kabokamchizi
kabokamchizi@kabokamchizii·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi hawaeleweki kama Popo. Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan aliunda Tume kuchunguza vurugu walizochochea wao za Oktoba 29, wakaipinga Tume. Wananchi tukaiunga mkono, sasa wameanza propaganda na kuanza ubashiri wa
Indonesia
1
6
4
91
MIKEKA DAILY retweetledi
Zed🇮🇷
Zed🇮🇷@Zephania_Ndaki·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Wananchi tunajua kwamba Tume ya Rais ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29 bado haijamaliza kazi yake. Tunajua pia kwamba Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi hawana tena agenda wameanza kupotosha kuhusu taarifa ya Tume. Tunasubiri siku na tarehe ya
Indonesia
2
7
7
345
MIKEKA DAILY retweetledi
𝗞𝗔𝗞𝗔✍️
𝗞𝗔𝗞𝗔✍️@Kaka_Tzey·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi hawaeleweki kama Popo. Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan aliunda Tume kuchunguza vurugu walizochochea wao za Oktoba 29, wakaipinga Tume. Wananchi tukaiunga mkono, sasa wameanza propaganda na kuanza⤵️
Indonesia
2
10
8
100
MIKEKA DAILY retweetledi
Idriss🌍
Idriss🌍@IdrisaIddyTz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Wanaharakati Uchwara wanaoishi nje ya nchi hawaeleweki kama Popo. Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan aliunda Tume kuchunguza vurugu walizochochea wao za Oktoba 29, wakaipinga Tume. Wananchi tukaiunga mkono, sasa wameanza propaganda na kuanza
Indonesia
2
10
8
96