firstborn260
297 posts

firstborn260 retweetledi
firstborn260 retweetledi
firstborn260 retweetledi
firstborn260 retweetledi
firstborn260 retweetledi

Sema kuna mishangazi mingine bhna ishakatika mshipa wa aibu
Kuna mmama flan hapa mtaani ana age kama 40 years hivi ni jirani yetu mweupe flan hiv afu mnene kidogo afu mumewake ana mawe hivyo bado yupo fresh kabisa.
Sasa toka zamani alikuaga anasema unajua wewe kijana nakupenda pia wewe ni hensam mi nikafikiria ananitaniaga aisee
Sasa saiv nimekua tayar naona mazoea yanazidi mara akinikuta natembea na msichana yoyote hata barabaran ana mind bure tu hata hanisalimii
Juzi kati kaniletea zawad ya saa, na simu kali afu na vipesa kidogo vya matumizi
Siku mbil mbel kanitumia text kua ananipenda sana namuumiza akiniona na wasichan wengine yupo tayar kunipa chochot nachotaka lakjn baht mbay ye ni mkubwa aisee watu wa mtaan wakihis natembea nae wataniona wa hovyo sana
Aisee nawaza kuhama huu mtaa 😢
Filipino
